Afrika Kusini itatakiwa imkamate muuaji Putin na kumpeleka ICC

Afrika Kusini itatakiwa imkamate muuaji Putin na kumpeleka ICC

Hahahah anaingia na hakuna kitu kama hicho kitamtokea.

Sasa afanye basi tuone....tumempania...hata hapo Bongo mumesaini ICC asithubutu kukatiza itabidi na magobole yenu mumkamate tu japo mtachezea kichapo ila tutawalinda.
 
Acha uongo bemba si ndo juzi kapewa uwaziri wa ulinzi kongo
Kapewa uwaziri baada ya ICC kukosa ushahidi kesi yake ilikuwa ICC kama ya Rutto Raisi wa sasa Kenya ushahidi ukakosekana

RUTO Leo Raisi Kenya na alikuwa na kesi ICC na Bemba leo waziri na alikuwa na kesi ICC ushahidi haukutosha.kuwatia hatiani
 
ICC? Urusi sio member wa ICC...
Hana hata habari anajisemea tu kinachomjia - hakuna taifa linalo jitambua linaweza kumchezea Rais wa taifa ambalo ni super power - uwezi kufananisha Putin na akina Ruto na Kenyatta - wewe hizi ndoto zako za mchana mpaka lini - hujifunzi kitu hata kidogo huna hata habari kwamba kauli za kusema kuna arrest warrant za kumkamat Putin ni politocal rhetoric tu hazina maana yoyote - FYI Putin anaweza kuhamua kwenda Merikani hata sasa hivi na Merikani ikakaa kimya bila ya kumugusa au kimfanya lolote - hizi ngonjera eti za kumtaka kumkamata Putin zimebuniwa na Merikani hili kupoteza lengo la kulipuliwa mabomba ya gesi ya Nord1&2 wanataka vyombo vya habari viachane na habari za Amerika kudaiwa kwamba ndiye muhusika mkuu wa hujuma hizo - hivyo kwa kupoteza lengo ndio wakaja na stori za Putin kishtakiwa ICC na cha ajabu ICC kuna sijui mjumbe wa Merikani taifa ambalo silo member wa taasisi hiyob- je, anafanya nini pale that os a million dollar question.

Hapa wanafanya maigizo tu, narudia hawawezi kumfanya lolote Putin labda kama hawajipendi au kama vipi waanze kukamatwa kwanza G.Bush jr na Tony Blair walio waho kufanya war crimes chungu mzima - hilo hawalisemi - masaa yote kusema sema Putin kwamba ni mwarifu huku wala hawana ushahidi hata kidogo - ulaghai mtupu.
 
Mahakama ya kimataifa ya ICC haitambui hizo titles zote wao wanamtambua kwa title moja tu wanamtambua kama mtu binafsi mhalifu wa kivita hayo ya raisi ni ya kwako
Ingekuwa ya haki basi ilipochimbwa mkwara na trump pale ilipotaka kuchunguza na kujamata wanajeshi wa marekani kwa makosa ya kivita isingepiga kimya.

Kama ilifyata mkia kuwakamata wanajeshi wa marekani kisa kutishiwa vikwazo basi haina uwezo wa kumkamata Putin. Hata akitua marekani hapo hakuna anayeweza kuthubutu kumkamata.
 
Uingereza ujerumani na marekani&canada watume inter police na vikosi vingine maalumu kumkamata mbona rahisi tu? Wasimuangushie mzigo SA
Walishindwa kumkamata Bashir mpaka alippondolewa madarakani ije kuwa Putin.

Mahakama kibogoyo haina meno ndio maana ilishindwa kuwachukulia hatua wanajeshi wa marekani kisa trump aliichimba bati ya vikwazo kwa bw. Bensouda na wenzake.

Haina meno na haina usawa hivyo ikae kimya tu
 
Back
Top Bottom