Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BRICS inawasumbua sana NATO
And still recruiting other nations soon N. Korea Venezuela , Cuba zitajiunga
Ata ulaya siyo rahisi kihivoAjaribu bas kutia maguu ulaya
Nimecheka jinsi ulivyoibeza hiyo kauli ya kumkamata Putin. Lakini huo ndio ukweli wenyewe.Hata akisema aitembelee mahakama hiyo aone ilivyojengwa kuanzia walinzi na hao hakimu wa mahakama hiyo hawatathubutu kumsogelea, mpaka atakapomaliza utalii wake na kuondoka
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
South Afrika waliigoma kumkama Omar Al Bashir WaSudan wenyewe wakamkamata na bunge likaidhinisha apelekwe ICCAfrica ya Kusini ilishawahi kukataa kumkamata Al Bashir wa Sudan who is relatively weaker than Putin na ICC haikufanya kitu. Sasa sijui hao wanapata wapi mawazo ya kudhani kwamba SA itamkamata Putin? Wasahau. Wapambane kwanza na hali zao.
PUTIN Hiyo ziara South Afrika hajafanya bado anatarajia kufanya mwezi August 2023Hawawezi kufanya hivyo, rejelea wakati Omar al-bashir wa sudan alivyotembelea Africa ya kusini wakati huwo kukiwa na tangazo la kumkamata na kufikishwa the hague, mbona hawakufanya hivyo? Putin atakuwa salama akiwa Africa ya kusini kwa sababu asingeweza kufanya ziara SA bila kuwa na uhakika wa usalama wake.
Kumbe unaelewa eeeh? And BrazilIndia na China wote wanachama wa BRICS wanabutuana[emoji1787]
J::::JINGAHata akienda UK hakuna wa kumgusa. Sema wewe ni kubwa j.... tu
Unafikiri Putin U. Kenyatta wenu?Mataifa yote 127 yaliyotia mkataba na ICC yanatakiwa yamkamate pindi akitua nchini mwao, Putin amepanga kuitembelea Afrika Kusini mnamo Agosti, anasubiriwa akamatweeee...
Ila machoko bana hapa washalikologa mpaka akili hamnaMaskini Putin, ndo tunamkosa hivi hivi.
Acha uongo bemba si ndo juzi kapewa uwaziri wa ulinzi kongoWapo kibao wako kibao
Yuko Joseph Kony ,yuko Bemba wa kongo,yuko kiongozi wa waasi wa M23 hadi leo kesi inaendelea ICC ,wako wahusika wa mauaji ya kimbari ya Rwanda
Wengi mno ambao wala sio maraisi kesi ziko ICC
Atuje tu japo ka-AustraliaAta ulaya siyo rahisi kihivo
Wapumbavu sana wa america na kama kuna mtu hawajui vizuri hawa watu basi ni upinde huyoNdani ya miaka 23 hawa maraisi wa 3 wa Marekani (Clinton, Bush, Obama) walivamia nchi 9 tofauti duniani na kusababisha vifo vya watu zaidi ya milioni 11 wasio na hatia.
Na hakuna mahali ilisemwa kuwa ni war criminals wakashtakiwe ICC
View attachment 2564647
Hizo nchi ulizozitaja ndo zimetoa warrant?Uingereza ujerumani na marekani&canada watume inter police na vikosi vingine maalumu kumkamata mbona rahisi tu? Wasimuangushie mzigo SA
Concept mbili tofauti. Tunaongelea nchi mwanachama kumkamata mtu anayetakiwa na ICC. Kwa case manake unatabiri Russia kuna siku itamkatama Putin na kumkabidhi kwa ICC. Russia sio mwanachama wa ICC. Sio signatory wa Roma StatueSouth Afrika waliigoma kumkama Omar Al Bashir WaSudan wenyewe wakamkamata na bunge likaidhinisha apelekwe ICC
Aliruka mkojo Soith Afrika akakanyaga mavi nchini kwake
Putin naye yaweza mkuta hayohayo