Afrika Kusini itatakiwa imkamate muuaji Putin na kumpeleka ICC

Afrika Kusini itatakiwa imkamate muuaji Putin na kumpeleka ICC

Putin na Russia yake ni nguvu kuu Duniani, America wala haimuwezi na ndiyo maana inafanya ushawishi kwa nchi zingine kumuunga mkono, lakini nchi hizi zote zikikaa pembeni na wakapambana America na Russia, America itabaki magofu na wataomba wasaidiwe, hii vita ingekua ni Afrika au nchi za Kiarabu tungeona namna ambavyo mapema kabisa Amerika angejitafutia sifa, lakini kwa Putin atasanda vibaya, kama Osama aliwasumbua na ni mtu dhaifu, leo ije iwe Putin?
 
Mataifa yote 127 yaliyotia mkataba na ICC yanatakiwa yamkamate pindi akitua nchini mwao, Putin amepanga kuitembelea Afrika Kusini mnamo Agosti, anasubiriwa akamatweeee..... waumini wa Putin povu ruksa...
Huna akili jamaa umemsikia Malema au Ramaphosa?
 
BRICS inawasumbua sana NATO

And still recruiting other nations soon N. Korea Venezuela , Cuba zitajiunga
 
Mahakama ya kimataifa ya ICC haitambui hizo titles zote wao wanamtambua kwa title moja tu wanamtambua kama mtu binafsi mhalifu wa kivita hayo ya raisi ni ya kwako
Jamaa kumbe huna akili kiasi hiki? Ushawahi kuona raia anapelekwa ICC bila kumhusisha na ukuu wa nchi
 
Jamaa kumbe huna akili kiasi hiki? Ushawahi kuona raia anapelekwa ICC bila kumhusisha na ukuu wa nchi
Wapo kibao wako kibao

Yuko Joseph Kony ,yuko Bemba wa kongo,yuko kiongozi wa waasi wa M23 hadi leo kesi inaendelea ICC ,wako wahusika wa mauaji ya kimbari ya Rwanda

Wengi mno ambao wala sio maraisi kesi ziko ICC
 
Wapo kibao wako kibao

Yuko Joseph Kony ,yuko Bemba wa kongo,yuko kiongozi wa waasi wa M23 hadi leo kesi inaendelea ICC ,wako wahusika wa mauaji ya kimbari ya Rwanda

Wengi mno ambao wala sio maraisi kesi ziko ICC
Wote Kutoka Africa! Vipi kuhusu bush Jr & Tony Blair? Kesi zao zinaendelea huko ICC?
 
Huyu ni mmoja ya washindi wa JF 2022 na amezawadiwa (pengine vizuri tu). Dah🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Naitwa papa mzee wa JF battles, njooni na povu kama zote humu ruksa..

Sikujua haya mavitu ukiyafanya kuna tuzo na zawadi, yaani mumekosea kunizawadia maana humu hamtalala, sio kwa nyuzi nitakazowafulumula nazo humu.
 
Wamiliki wa dunia walishatoa agizo huyo akamatwe, hao akina Malema sijui Zulu au mfalme Mswati hawana lolote.
Wamiliki gani hawawezi kumfuata mtu mmoja pamoja kujiunga kwao 31 Nations dhidi ya Taifa mmoja infact mtu mmoja. Wanaishia kutikisa mikia yao katikati ya miguu.

Mwanaume ni yule anasema mwenyewe na anatenda mwenyewe pasipo kumtegemea mtu mwingine.

Mtu gani kila kukicha anaiba fedha za nchi zingine kwa kisingizio cha vikwazo vya kiuchumi
 
ICC huwa inashtaki mtu binafsi sio nchi

Haijalishì nchi ni mwanachama au la wao Humshitaki awe raia wa nchi mwanachama au la

Putin anashtakiwa yeye kama yeye kwa uhalifu wake sio nchi ya Urusi
Hili naona mmelikazania sana, hebu nipe tofauti ya Putin na Russia, tunaposema urusi si mwanachama tunaamanisha watu wake ikiwemo na Putin au wewe ulijua majengo? Tunaposema south Africa imkamate Putin ni watu sio majengo, hoja yako haina mashiko.

Putin ni Russia na Russia ni Putin,, usituletee habari za sijui icc haishtaki nchi ila mtu binafsi,, kwani kwa mfano ili iishtaki nchi wewe ulitaka nini kifanyike labda?kwa akili yako?
 
Hili naona mmelikazania sana,, hebu nipe tofauti ya Putin na Russia,, tunaposema urusi si mwanachama tunaamanisha watu wake ikiwemo na Putin,,, au wewe ulijua majengo...
Soma kazi za ICC

Who can be prosecuted before the ICC?

The ICC prosecutes individuals, not groups or States. Any individual who is alleged to have committed crimes within the jurisdiction of the ICC may be brought before the ICC.

Putin ni individual
 
Back
Top Bottom