EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
So hao wote either wawe wakuu wa nchi au waasi, niambie kuna kiongozi gani wa kizunguWapo kibao wako kibao
Yuko Joseph Kony ,yuko Bemba wa kongo,yuko kiongozi wa waasi wa M23 hadi leo kesi inaendelea ICC ,wako wahusika wa mauaji ya kimbari ya Rwanda
Wengi mno ambao wala sio maraisi kesi ziko ICC
Kumbe kizibo hivyo nani wakumkamata MWAMBA?Wamiliki wa dunia walishatoa agizo huyo akamatwe, hao akina Malema sijui Zulu au mfalme Mswati hawana lolote.