Afrika Kusini: Raia wakataa Mrembo mwenye asili ya Nigeria kuwania Miss South Africa

Afrika Kusini: Raia wakataa Mrembo mwenye asili ya Nigeria kuwania Miss South Africa

Mashindano ya Urembo yamezua Mjadala mkali wa Ubaguzi baada ya watu Mtandaoni kudai kuwa Mshiriki Chidimma Adetshina (23) ni Mnaigeria, na hivyo kudai hawataki kuwakilishwa na Raia wa Kigeni

Waaandaaji wa Mashindano ya Miss South Africa wamethibitisha kuwa Chidimma ni Raia wa Nchi hiyo na alizaliwa Soweto na kukulia CapeTown Waziri wa Utamaduni wa nchi hiyo Gayton McKenzie, alisema

“Hatuwezi kabisa kuwa na Wanigeria kushiriki katika shindano letu la Miss SA. Nataka kupata ukweli wote kabla ya kutoa maoni lakini tayari inanipa hisia za ajabu,”

Hata hivyo bado Mrembo huyo hajaenguliwa katika Shindano, hali inayoleta hisia zaidi kuhusu iwapo anaweza kuibuka Mshindi kwenye Fainali za Jumamosi ya Agosti 10, 2024

..............

Beauty contest sparks row over who counts as South African

South African Chidimma Adetshina has faced online abuse with people questioning her nationality

When law student Chidimma Adetshina clinched a coveted spot as a Miss South Africa finalist, her triumph unleashed a vicious backlash, unearthing a seam of xenophobia that lies close to the surface for some in the country.

The 23-year-old’s name hints at her connection to Nigeria, but internet detectives wanted to know more and combed through every inch of her life. They found that her father is Nigerian and though her mother is South African, her family had come from neighbouring Mozambique.

"On behalf of South Africans, we don’t recognise her and that name! She better start packing and go home,” raged one commenter on X.
But where is home? Ms Adetshina is South African, as verified by the organisers of the pageant. She has said in interviews that she was born in Soweto - the township next to Johannesburg - and grew up in Cape Town.

However, the “go-home” sentiment, and even harsher attacks, flooded social media. There was also a petition demanding her removal from the high-profile televised competition that amassed more than 14,000 signatures before it was taken down.

The country’s Culture Minister Gayton McKenzie, the leader of the Patriotic Alliance party, which has joined a coalition government and made migration issues a key part of its platform, chimed in.
“We truly cannot have Nigerians compete in our Miss SA competition. I wanna get all facts before I comment but it gives funny vibes already," he said on X.
The issue has touched a nerve in South Africa that goes beyond who will appear on stage at the final next weekend.


Source: BBC
mbona hujaweka picha
 
Kwani kama ana Uraia wa South Afrika kuna shida gani? Angekuwa mwanariadha au mcheza mpira wangesema asiwakilishe taifa la South Afrika? Hata tushukuru wazungu waliopo South Afrika , hawa ndio wamejenga nchi ya South Afrika, mbona wazungu wa South Afrika huwa wanawakilisha nchi kwenye mchezo wa mpira wa mikono?
 
Karibu wote wana asili ya Afrika. Na wengine ni weusi tii..!!

1722746796531.png
 
Mashindano ya Urembo yamezua Mjadala mkali wa Ubaguzi baada ya watu Mtandaoni kudai kuwa Mshiriki Chidimma Adetshina (23) ni Mnaigeria, na hivyo kudai hawataki kuwakilishwa na Raia wa Kigeni

Waaandaaji wa Mashindano ya Miss South Africa wamethibitisha kuwa Chidimma ni Raia wa Nchi hiyo na alizaliwa Soweto na kukulia CapeTown Waziri wa Utamaduni wa nchi hiyo Gayton McKenzie, alisema

“Hatuwezi kabisa kuwa na Wanigeria kushiriki katika shindano letu la Miss SA. Nataka kupata ukweli wote kabla ya kutoa maoni lakini tayari inanipa hisia za ajabu,”

Hata hivyo bado Mrembo huyo hajaenguliwa katika Shindano, hali inayoleta hisia zaidi kuhusu iwapo anaweza kuibuka Mshindi kwenye Fainali za Jumamosi ya Agosti 10, 2024

..............

Beauty contest sparks row over who counts as South African

South African Chidimma Adetshina has faced online abuse with people questioning her nationality

When law student Chidimma Adetshina clinched a coveted spot as a Miss South Africa finalist, her triumph unleashed a vicious backlash, unearthing a seam of xenophobia that lies close to the surface for some in the country.

The 23-year-old’s name hints at her connection to Nigeria, but internet detectives wanted to know more and combed through every inch of her life. They found that her father is Nigerian and though her mother is South African, her family had come from neighbouring Mozambique.

"On behalf of South Africans, we don’t recognise her and that name! She better start packing and go home,” raged one commenter on X.
But where is home? Ms Adetshina is South African, as verified by the organisers of the pageant. She has said in interviews that she was born in Soweto - the township next to Johannesburg - and grew up in Cape Town.

However, the “go-home” sentiment, and even harsher attacks, flooded social media. There was also a petition demanding her removal from the high-profile televised competition that amassed more than 14,000 signatures before it was taken down.

The country’s Culture Minister Gayton McKenzie, the leader of the Patriotic Alliance party, which has joined a coalition government and made migration issues a key part of its platform, chimed in.
“We truly cannot have Nigerians compete in our Miss SA competition. I wanna get all facts before I comment but it gives funny vibes already," he said on X.
The issue has touched a nerve in South Africa that goes beyond who will appear on stage at the final next weekend.


Source: BBC
Ni mrembo sana hadi wanamuogopa?Hebu tupia picha ya bibie Chidimma nimuone kwa mawaidha ya hapa na pale kwa masandawana mkuu.Oooiii bafwetu!Kunjaani bafwetu?
 
Hatujioni sisi wenyewe tulivyo wabaguzi.
Kwa misingi ya rangi, dini, tunapotokea, kabila na mitazamo ya kisiasa. Tuna raia wa madaraja tafauti nchini mwetu.
SI ndo hapo halafu tunawasema wazungu wabaguzi kumbe hata sisi ni walewale
 
Mashindano ya Urembo yamezua Mjadala mkali wa Ubaguzi baada ya watu Mtandaoni kudai kuwa Mshiriki Chidimma Adetshina (23) ni Mnaigeria, na hivyo kudai hawataki kuwakilishwa na Raia wa Kigeni

Waaandaaji wa Mashindano ya Miss South Africa wamethibitisha kuwa Chidimma ni Raia wa Nchi hiyo na alizaliwa Soweto na kukulia CapeTown Waziri wa Utamaduni wa nchi hiyo Gayton McKenzie, alisema

“Hatuwezi kabisa kuwa na Wanigeria kushiriki katika shindano letu la Miss SA. Nataka kupata ukweli wote kabla ya kutoa maoni lakini tayari inanipa hisia za ajabu,”

Hata hivyo bado Mrembo huyo hajaenguliwa katika Shindano, hali inayoleta hisia zaidi kuhusu iwapo anaweza kuibuka Mshindi kwenye Fainali za Jumamosi ya Agosti 10, 2024

..............

Beauty contest sparks row over who counts as South African

South African Chidimma Adetshina has faced online abuse with people questioning her nationality

When law student Chidimma Adetshina clinched a coveted spot as a Miss South Africa finalist, her triumph unleashed a vicious backlash, unearthing a seam of xenophobia that lies close to the surface for some in the country.

The 23-year-old’s name hints at her connection to Nigeria, but internet detectives wanted to know more and combed through every inch of her life. They found that her father is Nigerian and though her mother is South African, her family had come from neighbouring Mozambique.

"On behalf of South Africans, we don’t recognise her and that name! She better start packing and go home,” raged one commenter on X.
But where is home? Ms Adetshina is South African, as verified by the organisers of the pageant. She has said in interviews that she was born in Soweto - the township next to Johannesburg - and grew up in Cape Town.

However, the “go-home” sentiment, and even harsher attacks, flooded social media. There was also a petition demanding her removal from the high-profile televised competition that amassed more than 14,000 signatures before it was taken down.

The country’s Culture Minister Gayton McKenzie, the leader of the Patriotic Alliance party, which has joined a coalition government and made migration issues a key part of its platform, chimed in.
“We truly cannot have Nigerians compete in our Miss SA competition. I wanna get all facts before I comment but it gives funny vibes already," he said on X.
The issue has touched a nerve in South Africa that goes beyond who will appear on stage at the final next weekend.


Source: BBC
Sisi ni wabaguzi sana. Hata hapa iliwah kutokea kwa yule dada mwenye asili ya kihindi. Lakini sisi tunataka raia wenye asili ya kiafrika wakawe hadi viongozi hukk ulaya na marekani.
 
WANAJUA ATASHINDA... HAO NI WASHINDANI WAKE WAMEANZA KUMSAGIA KUNGUNI.

MBONA HATUA ZA AWALI ALISHINDA?!
 
Safi sana. Kwa nini miss South Afrika awe pandikizi la Nigeria ? Check her ethnic background and check it good!

South Afrika wanajitambua, wanalinda identity yao, na fursa zao, na maslahi yao, na mali zao kwa umakini na wivu mkali.

hakuna mibaharia na mi rejects kukimbia ma failed state ya Afrika kwenda kuwajazia nchi yao.

Oooh... Wa sauzi ni wavivu sana, wanapenda ngono na pombe....

okay, kama wageni ndio mnaweza sana kazi, hamfagilii pombe na ngono, na mko locked in kwenye mindset ya maendeleo then thats a great recipe for success and development wherever you are, kabebeni makarai ya zege mjenge makwemu, au kazi yeyote mnayoweza makwenu, mbaki huko huko makwenu, hamtabaguliwa mkiwa kwenu!
 
Safi sana. Kwa nini miss South Afrika awe pandikizi la Nigeria ? Check her ethnic background and check it good!

South Afrika wanajitambua, wanalinda identity yao, na fursa zao, na maslahi yao, na mali zao kwa umakini na wivu mkali.

hakuna mibaharia na mi rejects kukimbia ma failed state ya Afrika kwenda kuwajazia nchi yao.

Oooh... Wa sauzi ni wavivu sana, wanapenda ngono na pombe....

well then, kama wageni ndio mnaweza sana kazi, na hamfagilii pombe na ngono, na mko locked in kwenye mindset ya maendeleo then thats a great recipe for success and development, kabebeni makarai ya zege mjenge makwemu, au kazi yeyote mnayoweza makwenu, mbaki huko huko makwenu, hamtabaguliwa mkiwa kwenu!
Umenena mkuu nashangaa mijtu inayong'ang'ana kutoboa kwenye nchi za watu, na kwao yameshindwa acha yabaguliwe tu
 
Kwani kama ana Uraia wa South Afrika kuna shida gani? Angekuwa mwanariadha au mcheza mpira wangesema asiwakilishe taifa la South Afrika? Hata tushukuru wazungu waliopo South Afrika , hawa ndio wamejenga nchi ya South Afrika, mbona wazungu wa South Afrika huwa wanawakilisha nchi kwenye mchezo wa mpira wa mikono?
we ndo umepoteana bora kwenye mpira na michezo angeweza kuwakilisha ikiwa ana uraia, ila hilo nishindano la urembo, yaani warembo wa south afrika sio raia wa south afrika
 
Kwa hili wasauz nawaunga mkono kweli wanajitambua yaani watoto wote hao wa kizulu warembo leo wawakilishwe na mnigeria hii dharau, hata kama kazaliwa hukohuko ethnicity inamkataa
 
Back
Top Bottom