Tetesi: Afrika Kusini: Rais Magufuli adaiwa kutunukiwa Tuzo ya Amani ya Mandela (Mandela Peace Prize)

Tetesi: Afrika Kusini: Rais Magufuli adaiwa kutunukiwa Tuzo ya Amani ya Mandela (Mandela Peace Prize)

Status
Not open for further replies.
Hivi yule mwandishi wa habari amepatikana?
Ili nijue kweli kuna amani!
Huu ni uzushi, hakuna cha tuzo hapo, tundu lissu mwenyewe hajapona bado, ben wa saanane mpaka leo hajapatina, hiyo itakuwa tuzo ya lumumba🙂)😀
Wakibiti na Mkuranga mbona huwataji?, dhambi hii ya ubaguzi haitaicha chadema salama hata kidogo
 
Jimbo,
Ni kweli mkuu, ingekuwa Tuzo ya Malikia wa Uingereza ama D. Cameroon, tungeshangilia kweli x2. Hivi ni nani alyeanzisha msemo wa "Miafrica ndivyo tulivyo", nimekumbuka usemi huu ghafla
[emoji16][emoji16][emoji16] slaves mentality
 
Naona madikteta tupu kasoro Kenyatta ,huyu mwenyekiti wa hiyo tume pamoja na wajumbe kama hawavuti bangi sijui maana vigezo vya kishenzi haijawahi kutokea blood fucking
 
Jinyongeni sasa maana tuzo ndio kapewa
Uzuri tuzo haijatolewa na Wanywa viroba Wa Ufipa
 
Kama JPM kapewa tuzo kweli kesho tu utamsikia kwenye media akijisia wakati wafanyakazi wake na wananchi wanateseka
 
magufuli+pic.jpg

Johannesburg, Afrika Kusini. Rais John Magufuli ametunukiwa tuzo ya amani ya Mandela (Mandela Peace Prize) kwa kuendeleza shughuli ya kulinda amani na kupigania usawa wa kijamii.

Kamati ya tuzo za Mandela kwa mwaka 2017 ilipokea maombi ya wawania tuzo 4,956. Wengine waliotunukiwa ni Rais Uhuru Kenyatta aliyeshinda tuzo ya Mandela ya Demokrasia kutokana na kuendeleza demokrasia nchini Kenya.

Pia, Mahakama ya Juu nchini Kenya na Jeshi la Zimbabwe zimetunukiwa tuzo ya ujasiri (Mandela Boldness) kwa kufanya uamuzi kwa kijasiri kwa masilahi ya mataifa yao.

Rais wa Taasisi ya Mandela, Dk Paul Kananura amesema Rais Kenyatta ametunukiwa kwa kudhihirisha demokrasia kwa kukubali uamuzi wa Mahakama ya Juu hivyo kuheshimu kanuni za utengano wa mamlaka. Mahakama ya Juu ya Kenya ilibatilisha matokeo ya urais katika uchaguzi wa Agosti 8,2017 yaliyompa ushindi Kenyatta na kuamuru uchaguzi kurudiwa ambao alishiriki na kuibuka mshindi.

"Hii inaonyesha kuwa Rais Kenyatta amechangia katika uimarishaji wa demokrasia Kenya,” amesema Dk Kananura. Rais wa Chad, Idriss Itno amepata tuzo ya Mandela ya Ulinzi (Mandela Security) kutokana na sera ya kupambana na ugaidi katika maeneo ya Sahel na Ziwa Chad. Mwingine ni Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza aliyetuzwa tuzo ya ujasiri (Mandela Courage).


Mahakama na jeshi la Zimbabwe ndio wastahili stahiki wa hizi tuzo
 
Tuzo zingine zimekosa pakupelekwa huku ni kumdhalilisha Mandela.
Mh...jamani acheni ...watu wenye nia njema, watafiti na wadau wenye sayansi ya siasa they never deal with comedy politics like that you know; only facts are there to be scruitinized for real data!
 
hahahaha Bawacha wamefura kweli walifikiri atapewa Tundu lissu Teh teh
 
Naona miaka inaenda haraka huyu jamaa anatakiwa aongezewa mihula ya kutawala ili majizi yanyoke kabisa!
 
Kama hata Nkurunziza pia kapewa, basi tumeshaielewa hiyo tuzo maana yake, si ajabu Magu nae akapewa!
 
Magufuli ni chaguo la Mungu wasiopenda wahame nchi maana bado ana miaka 7 ya kuingoza nchi hii
Kauli za namna hii zikitokea mkoa wa Kagera zinaumiza sana. Kuna watu tuliopoteza ndugu na jamaa 1978 sababu watani zetu wasiendelee kuolewa na Nduli Iddi Amin, leo hii mgole wewe unabana tu pua kiuwepesii. Wallah maneno haya usiyasemee kanda maalum Tarime na Rorya
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom