Afrika Kusini: Wanawake waruhusiwa kuolewa na mwanaume zaidi ya mmoja

Afrika Kusini: Wanawake waruhusiwa kuolewa na mwanaume zaidi ya mmoja

Akipata mimba DNA itaweka wazi nani ni Baba. Ndiyo itokee ana wanaume wanne halafu majibu ya DNA hakuna hata mmoja ambaye ni mhusika na hiyo mimba! 😜
they believe that the population of their country will drop.

Pia ni dalili ya kupungua kwa nguvu za kiume huko rsa.
😛 😛 😛
 
Akipata mimba DNA itaweka wazi nani ni Baba. Ndiyo itokee ana wanaume wanne halafu majibu ya DNA hakuna hata mmoja ambaye ni mhusika na hiyo mimba! 😜

Itakuwa wanawake wa huko ni shidaa. Wanatembeza moto kuliko wanaume.

Halafu pia si inasemwaga kwamba sisi wanaume ni wachache? Sasa si uhaba utaongezeka zaidi!!?
😀😁😀
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Mimi nadhani KE wengi siku hizi hawako kama mama zetu sijui ni haya maisha ya siku hizi au na wao wameujua utamu na hawataki kuulazia damu hivyo matokeo ya ME wanapewa K kimasikhara tu!
😜😜😜😜 mwingine unaweza ukaanza kama ubishi tu nani ataomba po kwenye kupeana utamu kati ya ME na KE na ubishi wao ukaishia faragha. Kimasikhara mtu kishavuliwa picchu!
Itakuwa wanawake wa huko ni shidaa. Wanatembeza moto kuliko wanaume.

Halafu pia si inasemwaga kwamba sisi wanaume ni wachache? Sasa si uhaba utaongezeka zaidi!!?
😀😁😀
 
Mimi nadhani KE wengi siku hizi hawako kama mama zetu sijui ni haya maisha ya siku hizi au na wao wameujua utamu na hawataki kuulazia damu hivyo matokeo ya ME wanapewa K kimasikhara tu!
😜😜😜😜 mwingine unaweza ukaanza kama ubishi tu nani ataomba po kwenye kupeana utamu kati ya ME na KE na ubishi wao ukaishia faragha. Kimasikhara mtu kishavuliwa picchu!

Ni shidaa?
Nao wanataka watupange,
😁😀😁
 
Huku kwetu Tundu alihalalisha na kusema mapenzi ya jinsia moja ni ruksa na wasiingiliwe kwenye hiyo faragha.

Mungu nae akahakikisha anapata kura milioni mbili tuu

Mungu tunusuru sisi na watoto wetu
 
Hivi kule Eritrea bado kuna upumgufu wa wanaume???
 
Kama mwanaume upo okay kushare mke na mwanaume mwenzio sioni tatizo acha maisha yaendelee.
 
Whatever! Wisely, directly everybody should be unmarried.Takwimu zinatisha.
qoute GBS-Marriage is to me is apostasy, profanation of the sanctuary of my soul, violation of my manhood, sale of my birthright, shameful surrender, ignominious capitulation, acceptance of defeat.
Tough souls don't marry.
 
MT. :24:33
nanyi kadhalika, myaonapo hayo yote, tambueni ya kuwa yu karibu, milangoni
 
Back
Top Bottom