King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Khumbu ataolewa na wanaume wawili ,ngoja nijaribu bahati.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza wamiliki wangapi kwa wakati mmoja ?Kwa jinsi nguvu' zilivyo janga kuu kwa Sasa hata wanaume wanne uwezekano wa kuwamiliki kwa mkupuo upo
Mkuu habari, nimejaribu Ku PM inakuwa ngumu sorry naomba uni pm nikuoneKwa jinsi nguvu' zilivyo janga kuu kwa Sasa hata wanaume wanne uwezekano wa kuwamiliki kwa mkupuo upo
....that Women are allowed to marry more than one man.
View attachment 1788196
they believe that the population of their country will drop.
Pia ni dalili ya kupungua kwa nguvu za kiume huko rsa.
😛 😛 😛
Akipata mimba DNA itaweka wazi nani ni Baba. Ndiyo itokee ana wanaume wanne halafu majibu ya DNA hakuna hata mmoja ambaye ni mhusika na hiyo mimba! 😜
Itakuwa wanawake wa huko ni shidaa. Wanatembeza moto kuliko wanaume.
Halafu pia si inasemwaga kwamba sisi wanaume ni wachache? Sasa si uhaba utaongezeka zaidi!!?
😀😁😀
Mimi nadhani KE wengi siku hizi hawako kama mama zetu sijui ni haya maisha ya siku hizi au na wao wameujua utamu na hawataki kuulazia damu hivyo matokeo ya ME wanapewa K kimasikhara tu!
😜😜😜😜 mwingine unaweza ukaanza kama ubishi tu nani ataomba po kwenye kupeana utamu kati ya ME na KE na ubishi wao ukaishia faragha. Kimasikhara mtu kishavuliwa picchu!
Wengi tuUnaweza wamiliki wangapi kwa wakati mmoja ?
Huyo kwenye avatar ni ndugu yako ?
Haiwezekani hiyo mkuu, poleMkuu habari, nimejaribu Ku PM inakuwa ngumu sorry naomba uni pm nikuone
na mie basi ni add kwenye list yako 🙂Wengi tu
Sina undugu nae
Kwa jinsi nguvu' zilivyo janga kuu kwa Sasa hata wanaume wanne uwezekano wa kuwamiliki kwa mkupuo upo