Afrika mashariki na afrika kwa ujumla Tanzania kuongoza kuwa na reli ya kisasa ya umeme.

Afrika mashariki na afrika kwa ujumla Tanzania kuongoza kuwa na reli ya kisasa ya umeme.

I like such progress. But let's wait to see construction commencement. I remember standard gauge central line song that started some years ago but up to the moment nothing is going on.
 
Wakenya hapa lazima wakae, iga ufe, Tz is rich and resourceful.. sasa ni maendeleo tu..

Kenya wamejenga gari moshi la 1980 like.. haaa, linatumia makaa ya mawe, omg..!!

Wacheni maneno wakenya, leteni train ya umeme..!!



 
AnkaraKonya.jpg
Kampuni zilizotiliana saini makubaliano hayo na Serikali ni ya ubia kati ya YAPI MERKEZI ya uturuki na MOTA-ENGIL AFRIKA ya ureno kwa grahama ya dola zaidi ya bilioni moja za kimarekani.

Akishuhudia utiliaji saini uliofanyika jijini Dar es Salaam, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa amesema ujenzi wa reli hiyo itayotumia umeme na kwenda kwa spidi ya kilometa 160 kwa saa itakuwa ni ya kwanza kwa Afrika ikifuatiwa na nchi ya Morocco.

“Tunataka kuifanya nchi yetu iwe ndogo kwa kutumia miundombinu ya kisasa ndio maana Serikali imeamua kujenga reli hii itakayotumia umeme na kwenda spidi kubwa kuliko nyingine zote barani Afrika”, amesema Prof. Mbarawa.

Ameongeza kuwa ujenzi wa reli hiyo utaongeza chachu ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa wananchi na kubainisha kuwa Safari ya Dar hadi Moro itatumia muda wa saa 1:16 wakati Dar hadi Dodoma itatumia muda wa saa 2:30 na safari ya Dar had Mwanza itatumia muda wa saa 7:30.
train-jpg.466922


Aidha, Prof. Mbarawa amesisitiza kuwa gharama za ujenzi wa reli hiyo haitakuwa sawa na mikoa mingine kutokana na kutofautiana na hali ya jiografiia kwenye mikoa ambapo reli hiyo itapita.

Kuhusu kukamilisha mradi huu, Waziri Prof. Mbarawa ameahidi kuongeza bajeti ya ujenzi wa reli hiyo kwa mwaka ujao wa fedha na kuendelea kutafuta mkopo wa gharama nafuu ili kufanikisha ukamilishawaji wake.

Waziri Prof. Mbarawa amewataka wadau kujitokeza kwa wingi kuomba zabuni zIlizotangazwa hivi karibuni za ujenzi wa reli hiyo kwa awamu nyingine kutoka Morogoro-Makotopora KM 336, Makotopora-Tabora KM 294, Tabora-Isaka KM 133 na Isaka hadi Mwanza KM 248 ambazo zinatarajiwa kufunguliwa mwezi Aprili mwaka huu na kuahidi kuwa utaratibu wake utatendeka kwa uwazi na haki.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni Hodhi Miliki ya Rasilimali za Reli (RAHCO), Masanja Kadogosa amesema kuwa ujenzi wa reli hiyo utajengwa kwa muda wa miezi 30 kutokea sasa na kuhusisha ujenzi wa miundombinu ya umeme, Stesheni sita za abiria na sita za kupishani treni na ujenzi wa wigo wa KM 102 kwa usalama wa watu na magari.

Kwa upande wake Balozi wa Uturuki nchini Mhe. Yassemin Eralp ameiahidi kuendeleza ushirikiano na Serikali katika mradi huo mkubwa na kuupongeza uongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano katika kufanikisha maendeleo kwa wananchi wake.

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano


Ila sisi tutatumia underground cables.. sio hiyo milingoti kubebea umeme, haipendezi...

 
Kwanini hakuna reli aina hii kwenda Kusini - Mtwara, Ruvuma, Iringa, Mbeya, Songwe, Rukwa ambako pia kuna resources za kutosha?
 
AnkaraKonya.jpg
Kampuni zilizotiliana saini makubaliano hayo na Serikali ni ya ubia kati ya YAPI MERKEZI ya uturuki na MOTA-ENGIL AFRIKA ya ureno kwa grahama ya dola zaidi ya bilioni moja za kimarekani.

Akishuhudia utiliaji saini uliofanyika jijini Dar es Salaam, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa amesema ujenzi wa reli hiyo itayotumia umeme na kwenda kwa spidi ya kilometa 160 kwa saa itakuwa ni ya kwanza kwa Afrika ikifuatiwa na nchi ya Morocco.

“Tunataka kuifanya nchi yetu iwe ndogo kwa kutumia miundombinu ya kisasa ndio maana Serikali imeamua kujenga reli hii itakayotumia umeme na kwenda spidi kubwa kuliko nyingine zote barani Afrika”, amesema Prof. Mbarawa.

Ameongeza kuwa ujenzi wa reli hiyo utaongeza chachu ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa wananchi na kubainisha kuwa Safari ya Dar hadi Moro itatumia muda wa saa 1:16 wakati Dar hadi Dodoma itatumia muda wa saa 2:30 na safari ya Dar had Mwanza itatumia muda wa saa 7:30.
train-jpg.466922


Aidha, Prof. Mbarawa amesisitiza kuwa gharama za ujenzi wa reli hiyo haitakuwa sawa na mikoa mingine kutokana na kutofautiana na hali ya jiografiia kwenye mikoa ambapo reli hiyo itapita.

Kuhusu kukamilisha mradi huu, Waziri Prof. Mbarawa ameahidi kuongeza bajeti ya ujenzi wa reli hiyo kwa mwaka ujao wa fedha na kuendelea kutafuta mkopo wa gharama nafuu ili kufanikisha ukamilishawaji wake.

Waziri Prof. Mbarawa amewataka wadau kujitokeza kwa wingi kuomba zabuni zIlizotangazwa hivi karibuni za ujenzi wa reli hiyo kwa awamu nyingine kutoka Morogoro-Makotopora KM 336, Makotopora-Tabora KM 294, Tabora-Isaka KM 133 na Isaka hadi Mwanza KM 248 ambazo zinatarajiwa kufunguliwa mwezi Aprili mwaka huu na kuahidi kuwa utaratibu wake utatendeka kwa uwazi na haki.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni Hodhi Miliki ya Rasilimali za Reli (RAHCO), Masanja Kadogosa amesema kuwa ujenzi wa reli hiyo utajengwa kwa muda wa miezi 30 kutokea sasa na kuhusisha ujenzi wa miundombinu ya umeme, Stesheni sita za abiria na sita za kupishani treni na ujenzi wa wigo wa KM 102 kwa usalama wa watu na magari.

Kwa upande wake Balozi wa Uturuki nchini Mhe. Yassemin Eralp ameiahidi kuendeleza ushirikiano na Serikali katika mradi huo mkubwa na kuupongeza uongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano katika kufanikisha maendeleo kwa wananchi wake.

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
Iko vizuri MUNGU TUBARIKI TANZANIA
 

Mkuu!
siko usingiizni. sisi bado sana kwenye kutekeleza miradi....hebu niambie FlyOvers ziko wapi kwanza. Tatizo tunaongea sana. halafu baadaye tunaingia mitini!
Nahisi upo kijijini wewe
kama ungelikuwa mjini usingeli ulizia hilo

fly over hazijengwi kama kibanda cha machinga!!


Ujenzi unaendelea
ulitakiwa uulize tumefikia wapi?
23e9acb215f790646bfdbba679721987.jpg
43199df1890ad1bae27816496a3b378d.jpg
8c043f66ddae22b57e8690427eebec31.jpg
350e6c0b16d0ec63f6cd558a0d6b84ed.jpg
4e7a07dc4ac1225a132cada56b563bc2.jpg
 
Hakika mbwembwe zinazidi mategemeo!

sisi kwa masuala ya mipango tu tuko juu!ila inapokuja suala ma utekelezaji hapo ndio pumba na mchele hutenganishwa!
wewe na nani!!?
wacha kuabisha wanao jitambua
 
Halafu inaelekea Mwanza na siyo kigoma? Dar Mwanza kuna barabara ya Lami, Kigoma ambapo hakuna lami kutoka Dar imeachwa hoi, mpaka aje Raisi kutoka kigoma ndo itajengwa? Haya bwana...
Kigoma hamna lami?
Hongera zenu ila hapo pa kusema kwamba yenu ndio itakua ya kwanza ya umeme naona kama mumeniacha kwenye mataa. Maana nielewavyo mimi hata SGR yetu itakua ya umeme SGR electric upgrade to cost taxpayers Sh49bn more


Your worries are far more than just electricity. Unless you allow those Turks to manage the whole topology for the next 20 years, am not sure if you Bongos are capable of maintaining trains moving at that speed.

Just recently I saw somewhere in the news your deluxe train overturned, luckily it wasn't travelling fast.
WhatsApp%2BImage%2B2017-01-29%2Bat%2B05.59.38.jpeg


Tuwe makini na hizi treni za mwendo kasi, yasitokee kama yale ya Tanzania
 
Lugha ya kiswahili imerasimishwa kenya mnamo 2000 kama lugha rasmi.

Lugha ya kiswahili imerasimishwa Tanzania mnamo 1880s kama lugha rasmi.

Nani mwenye lugha?

Kurasimishwa hakumaanishi unakimiliki!....huo urasmishwaji wa kitanganyika ulikua ni ulazimishwaji!
 
Kurasimishwa hakumaanishi unakimiliki!....huo urasmishwaji wa kitanganyika ulikua ni ulazimishwaji!
Chama cha Kiswahili Kenya kimesajiliwa kama NGo na mtu binafsi 1990s

Baraza la Kiswahili Tanzania limepitishwa na bunge rasmi kama mamlaka kamili ya uendelezaji lugha ya kiswahili Tanzania 1964

Nani mwenye lugha?
 
Achana nae mkuu ufipa ndio walivyo hukumbuki kwenye ndege walibisha hazitopatikana na zilipofika wakasema chakavu na hana hii train yetu ikikamilika hawakawii kusema ya udongo na hata huo umeme hauui basi ilimradi hawakosi cha kuongea.
Kwani huzo ndege si chakavu? Hivi mfanyiweje mjue mmepigwa kwenye ndege?
 
waongeze mzigo walete 200km/h /250 km/h ili iwe inawahi zaidi....lkn kama ni kweli
 
Back
Top Bottom