Yaani kama huelewi uzito wa point hiyo ni kwamba kiswahili nchini Kenya kinasimamiwa na mtu binafsi sababu entity kubwa ya kiswahili Kenya ni mali ya mtu binafsi kama tution Center.
Wakati Tanzania major institution dealing with kiswahili language is regulated by the government in accordance with its own proper laws and regulations.
Fact nyingine.
BAKITA Baraza la Kiswahili la Taifa limeingiza zaidi ya 40% ya maneno ya kiswahili yanayozungumzwa ulimwenguni kote Kenya included
CHAKITA Chama cha kiswahili cha taifa Kenya sina list hata ya neno moja.
Nani mwenye lugha?
Ficha upumbavu!
Tukija kwenye mtandao/GOOGLE pekee ,ni Kenya ndiye aliyetafsiri kiswahili kinachotumika kotekote mitandaoni zama zile kabla ya nyie kujua ulimwengu ni nini.
Kamusi zote kuu ni Kenya alizitafsiri na Kiswahili cha Kenya ndicho kilichotumika.
Bado mlikua bongolala mkiketi vijiweni na ujamaa wenu huo, kawaulize watanganyika wenzio mwana.
Kuna uzi ulioletwa humu na bongolala mwenzako baada ya kugundua kila aendako ughaibuni wanakifahamu Kiswahili kama lugha ya Kenya kabla hata kulifikiria neno Tanzania.
Hamjulikani kokote na mlilala usingizi wa pono,mmeshtuka juzi Kenya ikiwa tayari imeshaibeba nembo ya Kiswahili.
Bunge lenyu hilo na sheria pamoja na lafudhi zenu hizo za ajabu zina faida gani kwetu?
Chuo kuu nchi za nje ni walimu wa Kenya walio wengi hufunza Kiswahili, hususan Ulaya na Marekani..CC Marehemu Prof. Ali Mazruhi,Mungu ailaze roho yake pahala pema peponi.
Mwana,Tazania halina lolote la kuizidi Kenya tukija kwenye swala hili,labda nyimbo za kina Ali na Diamondi pamoja na skendo za vijiweni.
Ikiwa ni taarabu,tunayo Mombasa,Lamu na Pate n.k