Afrika ndio atakayepata hasara katika vita kati ya Ukraine na Urusi

Nato hawapokei simu za rais wa Ukraine watu wanasema labda ajaribu kutuma sms..🤣🤣
Wiki mbili mbali huko!
🤣🤣🤣

Ndio maana tuendelee tu kulipenda taifa letu pendwa Tanzania....kwani hata wanasiasa "wanaotumiwa nao" na mwisho kukimbilia UGHAIBUNI huishia tu kupata STRESS baada ya kuendelea kuishi mafichoni huku wakipewa ULINZI MKATE NA SIAGI tu.....🤣🤣

#KutumiwaKubaya
#UsalitiMbaya
 
hakuna cha safari we mwenyewe umeona jamaa anadai viongozi karibu wote nchi ulaya wameshimdwa kumjibu.Unadhani nini kinaendelea si wanaogopa
Jamaa kajiaibisha mno...

Hili ni FUNZO kwa sisi vijana tunaopiga makelele ya "domookraasia" muda wote......

Wanadoomokrasia wamemtelekeza swahiba yao 🤣🤣🤣
 
Biden: Nilizungumza na viongozi wa G7 leo, na tukakubaliana kikamilifu kuwa;

○Tutapunguza uwezo wa Urusi kuwa sehemu ya uchumi wa dunia.
○Tutadumaza uwezo wao wa kufadhili na kukuza jeshi la Urusi.
○Tutahathiri uwezo wao wa kushindana katika teknolojia ya hali ya juu kwenye uchumi wa karne ya 21.


Kutokana na maneno haya ya Biden na freezing kwa akaunti kwenye mabenki Russia itapata pigo ila kwa issue ya military power is hidden issues sababu kuja watu/nations they're silently to see what's going kwa mataifa chokozi na chonganishi.
 
Vita ina gharama yake.....

Itaanzia kwa hao wapiganao na kufikia hadi kwetu....

Kikubwa tu DUNIA haijaweza kuwa sehemu salama wakati wote....changamoto za vipindi aina hii ni vya kujifunza na KUJIFUNGA MIKANDA TU .....

#Siempre JMT🙏
 
Hakika UCHAWI si tu kuruka na ungo usiku na kupiga wengine "mwangeni"......

Magharibi hawataki kuiona URUSI ikipiga hatua ya maana kimaendeleo 🤣🤣
 
Awapi subiri utaona Urusi ana nini cha maana? akipewa hapo hata Ufarasa pekee inamtosha
Russia alitoka akaenda kumlinda Maduro Us kama wana jeuri hiyo waende wapeleke majeshi Ukrain
Jamaa kajiaibisha mno...

Hili ni FUNZO kwa sisi vijana tunaopiga makelele ya "domookraasia" muda wote......

Wanadoomokrasia wamemtelekeza swahiba yao 🤣🤣🤣
Hakuna anayetaka vita mkuu kila mtu anaogopa nukes
 
Hivi Israel wao huwa hawasaidii nchi zingine?
Israel ana kimeo chake Iran, bora NATO watulie ngoma isije kuwa vita ya tatu ya dunia maana unaelewa Iran na Hamas watapiga makombora yao kuelekea wapi...
 
hakuna cha safari we mwenyewe umeona jamaa anadai viongozi karibu wote nchi ulaya wameshimdwa kumjibu.Unadhani nini kinaendelea si wanaogopa
Sio wameogopa ndugu yangu wamechagua busara ya kumkalia kimya mjinga mwenye matusi.Baada ya hili Putin ataanza kulalamikiwa duniani kote na hata raia wake watamnanga.Anajichapa mwenyewe ngoja lipoe hili utaona
 


Jambo hili linaweza kuwa na athari pamoja na faida pia. Uchambuzi wako umejikita katika kutazama kesho ya afrika kwa kutazama nini kinafanayika au kitafanyika nje ya afrika. Uchambuzi wako kwa kutazama nini kitanyika nje ya afrika uko sahihi lakini hujatazama changamoto hizi zinaweza kuleta nini afrika.

Waafrika tumekuwa wazito sana katika kutazama mbele na kuchukua hatua stahiki.

mzozo wa ulaya mimi naona unaweza kuikomboa afrika. Chukulia nchi kama Tanzania tuna gesi ya sili na upo uwezekano wa kutumia gesi ya asili badala ya mafuta. nakumbuka zamani sana nilisikia mpango wa kubadirisha magari yetu ili yatumie gesi ya asili badala ya mafuta lakini hatutekelezi.

bora bei za mafuta zipande ili tuwe na akili za kufanyia kazi mipango yetu ukiwemo kutumia gesi kuendesha magari na mitambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…