Afrika ndio atakayepata hasara katika vita kati ya Ukraine na Urusi

Hakuna kampuni ya madini inayopata hasara.Hio ni lugha ya kukwepea kodi
 
Putin atapigwa mpk ajinyee

Kska Kumbuka Putin Ana Back up ya China…
Sasa hivi ulaya Na Marekani Tishio kwao ni China.
Urusi piavAtquza Gas yake China,
Tayari alishafanya Mipango Tangu 2014
 
Israel ana kimeo chake Iran, bora NATO watulie ngoma isije kuwa vita ya tatu ya dunia maana unaelewa Iran na Hamas watapiga makombora yao kuelekea wapi...
Ujerumani imeshatuma ndege 3 za kivita kwenda Romania kutoa msaada kwa Raia wa Ukraine
 
Bado majirani zetu wakunya,mazombi,wamala

Inabidi tuwateke tu kmmqe
 
Wao wako hai lakini mtesi wao yupo Jehanum amefanywa kuwa kuni ,
Mungu Fundi
Ashukuriwe kwa kutufanyia mapinduzi baridi bila kumwaga damu
 
Hakuna kampuni ya madini inayopata hasara.Hio ni lugha ya kukwepea kodi
Sasa mbona Petrus Diamonds-Williamson Mwadui Mine,wanalalamika sana kupata hasara,kiasi cha kushindwa kuwalipa Wakandarasi,akiwemo Casspian Ltd,ya Rostam Aziz,mpaka wameamua kumpatia umiliki 45% %
 
Sasa mbona Petrus Diamonds-Williamson Mwadui Mine,wanalalamika sana kupata hasara,kiasi cha kushindwa kuwalipa Wakandarasi,akiwemo Casspian Ltd,ya Rostam Aziz,mpaka wameamua kumpatia umiliki 45% %
Huwezi pata hasara na kuendelea na biashara hiohio
 
walisema hivyohivyo corona ilivyoanza lakini wakajikuta kwenye mshangao! Hili bara la Africa nyie liangalieni tu, siyo bara rahisi kuathirika kihivyo! Tutapita tu salama, Mungu yupo upande wetu!
 
Tanzania tunayo historia ya kuingia uchumi wa kati wakati mataifa mengine yote duniani chumi zao zikiwa zimedorora! Kwako Samia are up for the challenge?😀
 
I said it yesterday
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…