Afrika ni bara la ujinga na limekosa dira

Afrika ni bara la ujinga na limekosa dira

KHM 1995

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2020
Posts
461
Reaction score
729
Mimi ni mwana wa Afrika, pia ni mwana wa Afrika Mashariki, nalia na bara langu, nalilia Afrika, machozi yangu bila kuficha hayaendi endi bure, wewe Afrika kwanini uko nyuma kitechnologia.

Wewe Afrika kwanini had leo bado unapokea misaada, wewe Afrika lini utasimama kwa miguu yako, utapiga hatua na utatumia mikono yako kufanya vile unavotaka si vile wanavyotaka, naililia afrika na silioni tumaini lolote la Afrika kuafanya mission mars.

Afrika ni darkness continent
 
Vile viongozi wa Afrika_Tanzania wakijaribu kuwaza jinsi ya kuleta maendeleo makubwa kwa kutumia tozo😁😁😁
e0f159e6.jpg
 
Mimi ni mwana wa afrika ,pia ni mwana wa Afrika mashariki, nalia na bara langu, nalilia Afrika, machozi yangu bila kuficha hayaendi endi bure, wewe Afrika kwanini uko nyuma kitechnologia,

Wewe Afrika kwanini had Leo bado unapokea misaada, wewe Afrika lini utasimama kwa miguu yako,utapiga hatua na utatumia mikono yako kufanya vile unavotaka si vile wanavyotaka, naililia afrika na silioni tumaini lolote la Afrika kuafanya mission mars,

Afrika ni darkness continent
twende mars kufanya nini?
bongo hatuhamiii
 
twende mars kufanya nini?
bongo hatuhamiii
Mkuu research tulizozifanya sasa Afrika tunapaswa kuzitumia ,kuliko kuziacha zinarundikana kwenye makabrasha
 
Ukute ni kapuku mwajiriwa huna.maono hata ya kuisogeza taasisi yako hata hatua moja mbele unasubiria mshahara.

Au umekimbilia.mbele umekuwa MTUMWA wakufanya kazi4 kwa siku tena vibarua unatumia wifi ya bure kukashifu Africa

Unakaa kwa wazazi unakula ugali wa baba, shemeji, mjomba ushashiba umemaliza kuosha vyombo umevimba kwenye kochi limechakaa unaandika huu ujinga

Pengine dalali tu wa simu za.wizi


Pumbavuuuu heshimu bara letu pimbi wewe[emoji35][emoji35][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959]
 
Ukute ni kapuku mwajiriwa huna.maono hata ya kuisogeza taasisi yako hata hatua moja mbele unasubiria mshahara.

Au umekimbilia.mbele umekuwa MTUMWA wakufanya kazi4 kwa siku tena vibarua unatumia wifi ya bure kukashifu Africa

Unakaa kwa wazazi unakula ugali wa baba, shemeji, mjomba ushashiba umemaliza kuosha vyombo umevimba kwenye kochi limechakaa unaandika huu ujinga

Pengine dalali tu wa simu za.wizi


Pumbavuuuu heshimu bara letu pimbi wewe[emoji35][emoji35][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959]
Hatuwezi kuliheshimu kama baadhi ya watu wake kama wewe na viongozi wake kama hawajajitambua,tatizo la mwafrika ni mwafrika mwenyewe, hii imejidhihirisha kupitia mawazo uliyoto, ni jambo gumu sana kuzibadilisha fikra zako ziwe zenye kuwaza mawazo makubwa kuliko ngamia kupita kwenye tundu la sindano, lakini tutafika
 
Hatuwezi kuliheshimu kama baadhi ya watu wake kama wewe na viongozi wake kama hawajajitambua,tatizo la mwafrika ni mwafrika mwenyewe, hii imejidhihirisha kupitia mawazo uliyoto, ni jambo gumu sana kuzibadilisha fikra zako ziwe zenye kuwaza mawazo makubwa kuliko ngamia kupita kwenye tundu la sindano, lakini tutafika
Mkuu uongozi unaanza na.mtu.mmoja mmoja niambie what have you Achieved as a person which is so extraordinary. Ili tukufikirie kukupa kitengo ukiendeshe kwa mafanikio
 
Mkuu uongozi unaanza na.mtu.mmoja mmoja niambie what have you Achieved as a person which is so extraordinary. Ili tukufikirie kukupa kitengo ukiendeshe kwa mafanikio
Of course ni true lakin sio applicable Afrika, najua unaufaham ukwel mkuu...
 
Of course ni true lakin sio applicable Afrika, najua unaufaham ukwel mkuu...
[emoji1756][emoji1756][emoji1756] don't blame we ukifanikiwa na mimi na yule tutapunguza utegemezi kwa.serikali ambapo itapata fursa kuwasaidia wengine
 
[emoji1756][emoji1756][emoji1756] don't blame we ukifanikiwa na mimi na yule tutapunguza utegemezi kwa.serikali ambapo itapata fursa kuwasaidia
Serikali haiwezi kujiengua katika mtego huu,lawama zote lazima ziangukie tu kwa serikali za Afrika, zimeshindwa kuweka mazingira wezeshi kwa vijana ,Afrika na viongozi wake wamejaa siasa.
 
Serikali haiwezi kujiengua katika mtego huu,lawama zote lazima ziangukie tu kwa serikali za Afrika, zimeshindwa kuweka mazingira wezeshi kwa vijana ,Afrika na viongozi wake wamejaa siasa.
Ulipofaulu 4m6 ulichagua degree wenzako wakaenda veta kusomea
Umeme wa:
majumbani
Magari
Ujenzi
Kuchora ramani za majengo

Ufundi mwingine saivi wanapiga dili wewe (sio wewe as a person ) unamavyeti yako huna hata ujuzi maana hata fields uliishia kutumwa vitafunwa tu
 
Back
Top Bottom