Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unaongea ukweli mkuu [emoji1][emoji1]Ulipofaulu 4m6 ulichagua degree wenzako wakaenda veta kusomea
Umeme wa:
majumbani
Magari
Ujenzi
Kuchora ramani za majengo
Ufundi mwingine saivi wanapiga dili wewe (sio wewe as a person ) unamavyeti yako huna hata ujuzi maana hata fields uliishia kutumwa vitafunwa tu
[emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322]Mbona unaongea ukweli mkuu [emoji1][emoji1]
Msururu wa kodi tunazolipa unafanya nini? Angalia maisha ya viongozi je yanaakisi uchumi wa nchi? Tumewachagua kuwa viongozi wetu, matokeo yake wamejitungia sheria za kuwalinda na wamekuwa hawagusiki.Umeisaidiaje bara la afrika ndg?
Nimekupata ndg yngNinaleta hoja ili tujue tumekosea nini?, tufanye nini tujikomboe kwenye vifungo vya fikra tulivyojifunga mkuu
Kuna waafrika (watanzania ) had kesho humlaumu JK wa kwanza kwa kuwafukuza wazungu mapema kabla hawajalijenga taifa lao , kpitia kauli zao waweza tambua kilicho ndani ya vichwa hivi vyeusiMimi ni mwana wa afrika ,pia ni mwana wa Afrika mashariki, nalia na bara langu, nalilia Afrika, machozi yangu bila kuficha hayaendi endi bure, wewe Afrika kwanini uko nyuma kitechnologia,
Wewe Afrika kwanini had Leo bado unapokea misaada, wewe Afrika lini utasimama kwa miguu yako,utapiga hatua na utatumia mikono yako kufanya vile unavotaka si vile wanavyotaka, naililia afrika na silioni tumaini lolote la Afrika kuafanya mission mars,
Afrika ni darkness continent
Kuna waafrika (watanzania ) had kesho humlaumu JK wa kwanza kwa kuwafukuza wazungu mapema kabla hawajalijenga taifa lao , kpitia kauli zao waweza tambua kilicho ndani ya vichwa hivi vyeusiMimi ni mwana wa afrika ,pia ni mwana wa Afrika mashariki, nalia na bara langu, nalilia Afrika, machozi yangu bila kuficha hayaendi endi bure, wewe Afrika kwanini uko nyuma kitechnologia,
Wewe Afrika kwanini had Leo bado unapokea misaada, wewe Afrika lini utasimama kwa miguu yako,utapiga hatua na utatumia mikono yako kufanya vile unavotaka si vile wanavyotaka, naililia afrika na silioni tumaini lolote la Afrika kuafanya mission mars,
Afrika ni darkness continent