Afrika ni bara la ujinga na limekosa dira

Mbona unaongea ukweli mkuu [emoji1][emoji1]
 
Poor leadership and lack of technology are perennial deathbed to Africa.
 
Bara hili lina laana ya asili, ukifanikiwa unaanza kuchukiwa na ndugu masikini. Vijana wanapata afadhali ya maisha kwa kushinda kwenye social networks, huko ni matusi, kusengenya na roho mbaya tu. Waafrika weusi sio watu waliokamilika.

Sent from my Android using JamiiForums mobile app
 
Kuna waafrika (watanzania ) had kesho humlaumu JK wa kwanza kwa kuwafukuza wazungu mapema kabla hawajalijenga taifa lao , kpitia kauli zao waweza tambua kilicho ndani ya vichwa hivi vyeusi
 
Kuna waafrika (watanzania ) had kesho humlaumu JK wa kwanza kwa kuwafukuza wazungu mapema kabla hawajalijenga taifa lao , kpitia kauli zao waweza tambua kilicho ndani ya vichwa hivi vyeusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…