Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Mimi sio shabiki wa Yanga ila nashabikia timu mbili tu.
Hapa duniani ambazo Liverpool na barcelona ila nikiangalia hapa Africa hamna timu ya kuifunga Yanga SC msimu huu Yanga inaenda kuchukua Ubingwa wa Africa kama Kuna timu Ina uwezo wa kuifunga Yanga msimu huu naombeni muitaje.
Hapa chini sababu nilikua naona kama Al Ahly ataweza kuifunga Yanga ila nimeiangalia Al Ahly inavyocheza nimeona wapo unga sana hamna timu mule kwa jinsi Yanga wanavyochezea aisee hamna wakuwazuia Africa hii.
Hapa duniani ambazo Liverpool na barcelona ila nikiangalia hapa Africa hamna timu ya kuifunga Yanga SC msimu huu Yanga inaenda kuchukua Ubingwa wa Africa kama Kuna timu Ina uwezo wa kuifunga Yanga msimu huu naombeni muitaje.
Hapa chini sababu nilikua naona kama Al Ahly ataweza kuifunga Yanga ila nimeiangalia Al Ahly inavyocheza nimeona wapo unga sana hamna timu mule kwa jinsi Yanga wanavyochezea aisee hamna wakuwazuia Africa hii.