Afrika sijaona timu ya kuifunga Yanga SC

Afrika sijaona timu ya kuifunga Yanga SC

Mimi sio shabiki wa Yanga ila nashabikia timu mbili tu.

Hapa duniani ambazo Liverpool na barcelona ila nikiangalia hapa Africa hamna timu ya kuifunga Yanga SC msimu huu Yanga inaenda kuchukua Ubingwa wa Africa kama Kuna timu Ina uwezo wa kuifunga Yanga msimu huu naombeni muitaje.

Hapa chini sababu nilikua naona kama Al Ahly ataweza kuifunga Yanga ila nimeiangalia Al Ahly inavyocheza nimeona wapo unga sana hamna timu mule kwa jinsi Yanga wanavyochezea aisee hamna wakuwazuia Africa hii.
Mimi sio shabiki wa Yanga ila nashabikia timu mbili tu.

Hapa duniani ambazo Liverpool na barcelona ila nikiangalia hapa Africa hamna timu ya kuifunga Yanga SC msimu huu Yanga inaenda kuchukua Ubingwa wa Africa kama Kuna timu Ina uwezo wa kuifunga Yanga msimu huu naombeni muitaje.

Hapa chini sababu nilikua naona kama Al Ahly ataweza kuifunga Yanga ila nimeiangalia Al Ahly inavyocheza nimeona wapo unga sana hamna timu mule kwa jinsi Yanga wanavyochezea aisee hamna wakuwazuia Africa hii.
Kuna team inaitwa Tabora, wame Fanya yao kabla hata match za Africa hazijaanza
 
Wazee wa,kubweka kama Luc alivyowaita...
Screenshot_20241108-163213_WhatsAppBusiness.jpg
 
Huyu dogo LIL DURK Hajaingia JF tokea Ijumaa saa 8 mchana baada ya kitimu chake kufirimbwa na Mboka Manyema.

Watoto wadogo msiwe na mihemko kiasi hiki, sisi Baba zenu tumeyaona mengi ya dunia.
Afungwe Madrid ya Vini Jr sembuse ka Utopolo? WTF
 
Mimi sio shabiki wa Yanga ila nashabikia timu mbili tu.

Hapa duniani ambazo Liverpool na barcelona ila nikiangalia hapa Africa hamna timu ya kuifunga Yanga SC msimu huu Yanga inaenda kuchukua Ubingwa wa Africa kama Kuna timu Ina uwezo wa kuifunga Yanga msimu huu naombeni muitaje.

Hapa chini sababu nilikua naona kama Al Ahly ataweza kuifunga Yanga ila nimeiangalia Al Ahly inavyocheza nimeona wapo unga sana hamna timu mule kwa jinsi Yanga wanavyochezea aisee hamna wakuwazuia Africa hii.
Ulimaanisha Al Ahly au Al Hilal ya Sudan
 
MAADUI WAKUU WA TAIFA.

" MAADUI HAWA NI MAADUI KWELI KWELI SIO MAADUI WA DHIHAKA.
UMASIKINI.
UJINGA.
MARADHI."

JK NYERERE 1961.
 
Mimi sio shabiki wa Yanga ila nashabikia timu mbili tu.

Hapa duniani ambazo Liverpool na barcelona ila nikiangalia hapa Africa hamna timu ya kuifunga Yanga SC msimu huu Yanga inaenda kuchukua Ubingwa wa Africa kama Kuna timu Ina uwezo wa kuifunga Yanga msimu huu naombeni muitaje.

Hapa chini sababu nilikua naona kama Al Ahly ataweza kuifunga Yanga ila nimeiangalia Al Ahly inavyocheza nimeona wapo unga sana hamna timu mule kwa jinsi Yanga wanavyochezea aisee hamna wakuwazuia Africa hii.
Ni wazi ugonjwa wa akili Tz kwa sasa ni tatizo kubwa.
 
Back
Top Bottom