Afrika tumejipanga kuwa karibu na mapenzi ya jinsia moja?

Afrika tumejipanga kuwa karibu na mapenzi ya jinsia moja?

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Vijana wengi barani Afrika ni wapenzi wa kabumbu (mpira wa miguu), kwa hesabu za haraka ni takribani asilimia 90 tayari vijana wamechotwa akili kwenye mpira, asilimia 9.99 wamejiweka kwenye michezo mengine mfano wa mpira wa magongo, mikono, magari na hata mbio.

Hakika michezo ni njia moja wapo ya kujenga urafiki na udugu (mshikamano na ushawishi), kupitia michezo kuna asasi nyingi zinatengenezwa kulinda na kutetea haki ya mchezo (sheria) na wanamichezo, lakini kama tunavyojua wenzetu wanaanza kujijenga na kuvuta kupitia vyombo vya habari na tasnia za michezo na burudani Halafu wanaingiza jambo lao wanaolitaka taratibu.

Mfano mdogo; Katika ligi nyingi za Ulaya kuna ubaguzi na wamechukua mda mrefu kupingana nao, hata sasa bado wanaendelea nao kwa kuwapa wachezaji ubalozi (Vini Jr) na wengineo, lakini kupitia matangazo yanayopita kwenye kuta za uwanjani na hata wachezaji wenyew hubeba jumbe za kufikisha lengo.

Sasa naomba nirudi kwenu sisi Waafrika tumejipanga kwa hilo!?
 
Afrika iponee wapi? Tayari ilishamezwa, mpira wa wanawake kama wanaume picha imekamilika ni usagaji mtupu. Wanawake wako kama wanaume, ma tom boy yamekuwa mengi, kuna mmoja alibusiwa na kiongozi wa soka wa nchi yake kwenye kombe la dunia la wanawake huyo kiongozi akaishia kulazimishwa kuachia ngazi kwa kashfa ya kumbusu tom boy wakati alimpa heshima ya uanamke
 
Afrika iponee wapi? Tayari ilishamezwa, mpira wa wanawake kama wanaume picha imekamilika ni usagaji mtupu. Wanawake wako kama wanaume, ma tom boy yamekuwa mengi, kuna mmoja alibusiwa na kiongozi wa soka wa nchi yake kwenye kombe la dunia la wanawake huyo kiongozi akaishia kulazimishwa kuachia ngazi kwa kashfa ya kumbusu tom boy wakati alimpa heshima ya uanamke
hahaha, lakini alimvunjia heshima.
 
hahaha, lakini alimvunjia heshima.
yule ni mwanamke kubusiwa vile ilitosha kupewa heshima yake kama mwanamke. Mbona kwa wazungu mabusu ni kitu cha kawaida sana? Ingekuwa afrika ingeonekana ni kituko. Lile busu lilikuwa ni busu la kumpongeza, halikuwa na hisia za kimapenzi. Labda kama wangekuwa kwenye mazingira yasiyoruhusu busu kutolewa huku mwanamke naye hataki abusiwe ndio tungesema kang'ang'aniza busu, huo ndio uzalilishaji
 
Kwa Mkapa zidutwe zile gaysh[emoji517][emoji304] signs afu ndo tuanzie hapo[emoji120]
Ilishasemwa na waratibu wa African football league kwamba hizo rangi zinawakilisha utamaduni wa mwafrika.

Hivi hata tofauti huoni za hizo rangi? Onyesha kwenye bendera ya mashoga wapi kuna rangi nyeusi? Kwanini mnapenda kulazimisha kitu ambacho sicho?
 
yule ni mwanamke kubusiwa vile ilitosha kupewa heshima yake kama mwanamke. Mbona kwa wazungu mabusu ni kitu cha kawaida sana? Ingekuwa afrika ingeonekana ni kituko. Lile busu lilikuwa ni busu la kumpongeza, halikuwa na hisia za kimapenzi. Labda kama wangekuwa kwenye mazingira yasiyoruhusu busu kutolewa huku mwanamke naye hataki abusiwe ndio tungesema kang'ang'aniza busu, huo ndio uzalilishaji
kwan c jamaa alikula mate au?
 
Aisee! Hii dunia inashangaza sana hivi dume kabisa anakatikia kiuno mwanaume mwenzake aaah!
 
Ilishasemwa na waratibu wa African football league kwamba hizo rangi zinawakilisha utamaduni wa mwafrika.

Hivi hata tofauti huoni za hizo rangi? Onyesha kwenye bendera ya mashoga wapi kuna rangi nyeusi? Kwanini mnapenda kulazimisha kitu ambacho sicho?
Bendela ya LGBT ina rangi saba hakuna rangi ime achwa
 
Ilishasemwa na waratibu wa African football league kwamba hizo rangi zinawakilisha utamaduni wa mwafrika.

Hivi hata tofauti huoni za hizo rangi? Onyesha kwenye bendera ya mashoga wapi kuna rangi nyeusi? Kwanini mnapenda kulazimisha kitu ambacho sicho?
Huu ndiyo ujinga walionao wengi, kazi yao ni kusambaza habari za uongo bila kufanya tafiti.
 
Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.

Mithali 22:6
 
Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.
Mithali 22:6
 
Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.
Mithali 22:6
 
Back
Top Bottom