Afrika tumejipanga kuwa karibu na mapenzi ya jinsia moja?

Afrika tumejipanga kuwa karibu na mapenzi ya jinsia moja?

Hamjui viashiria vyabushoga alafu mnataka mpambane nao?

Hamjui nani anaratibu alafu mnataka mpambane na ushoga?

Hatuna elimu1 kuhusu ushoga alafu mnataka mpambane na ushoga?

Nchi maskini na tegemezi iinaanzaje kupinga ushoga?
 
MLETA MADA SIJUI UNAAKILI TIMAMU KWELI????

KUNA MTU AMEKUSHIKIA BASTOLA UWE SHOGA

ACHA UPUMBAVU
USITULETEE MAMBO YA USHOGA KWENYE JUKWAA LETU LA MICHEZO..

PELEKA UPUMBAVU WAKO HUKO HUKO.
 
Mods wamebadilisha kichwa cha uzi,yaani hapo juu inaonekana kama natetea ushoga wkt niliandika"afrika imejipanga vipi kukabiliana na ushoga pmj na usagaji?na content yng haikuwa kubased kwenye ligi ya AFL ni dunia nzima.
 
Ilishasemwa na waratibu wa African football league kwamba hizo rangi zinawakilisha utamaduni wa mwafrika.

Hivi hata tofauti huoni za hizo rangi? Onyesha kwenye bendera ya mashoga wapi kuna rangi nyeusi? Kwanini mnapenda kulazimisha kitu ambacho sicho?
Hizi kelele zote ni za utopolo kwa kutokuwepo kwenye mashindano haya,hii mijitu ni ya hovyo sana.
 
Back
Top Bottom