Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
Upo sahihi MkuuMadilu kakuzidi kila kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi MkuuMadilu kakuzidi kila kitu
Kawaida mambo yakiharibika huwa jamii ailaumu watumishi wa umma bali wanasiasa (mawaziri).Huko wanafuata nini? Hakuna watumishi wengine wa umma?
Ni self justifications tu zisizo na maana na kutotaka kugatusha madaraka pamoja na resources
Pasco, mara nyingine unachangia hoja kama mtu asiyejielewa. Hizo pesa za kununua hayo magari zinatoka wapi?Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Anakwenda mbele kama anarudi nyuma, na akirudi nyuma kama anakwenda mbele.
Pasingekuwa na issue ya kukopa kila siku hata sisi wanyonge tungefikiri kama Pascal..tuache mzaha kwenye mambo yanayotushushia hadhi duniani.Kama hizo fedha zipo, why not?.
With all due respect Pascal 600 M for one car😳 let's check out the reality HIYO HELA HAKUNA. Piga mahesabu kuanzia DC, wabunge na wengineo wakitumia GXR bajeti tunayospendi kwenye magari KIASI Gani?
I saw an article from the Citizen where Tanzania is one amoung the countries which spend a lot of money for buying expensive cars to government officials
Hao wako jamii moja tu watu weupeMuhindi na Mchina wako wapi?😀
Si tunakusanya kwenye kodi zetu!.Pasco, mara nyingine unachangia hoja kama mtu asiyejielewa. Hizo pesa za kununua hayo magari zinatoka wapi?
Vv
Mafisadi wanapenda raha utadhani hawataishia kaburini. Chawa utawasikia anaupiga mwingiMtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476045View attachment 2476044
🤣🤣🤣🤣Bahati nzuri utakuwa raisi ambaye atahudumu kwa muda mfupi mno. 🤣🤣🤣 Kabla Corona ya mchongo haijalala mbele na wewe.
Ndio maana madaraka yanapiganiwa sio kutumikia bali kutumikiwa! Huku ni kutumikiwa. Viongozi wana deserve kuwezeshwa lakini huku ni kudekezwa katikati ya lindi la umaskini!Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Akili zako ndio zinavyokwambia watu wanamshambulia Rc?.watu wanaongelea manunuzi ya magari ya anasa kwenye uchumi wa tozo wewe unawaza uRC.Ninachojua hilo gari la serikali unaonyesha kumshambulia RC kana kwamba ni lake wakati akikoma kuwa rc analiacha serkalini.Hii Roho ya kushambulia viongozi bila Elimu mnapata wapi?
Kwanini viongozi watembelee armored cars wakati nchi inajiasibu kisiwa cha amani?Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Umetumia uhuru wako na demokrasia ila kuwa na huruma na maneno yako, but ngoja tusubiri mkeka wa uDCKama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Kwahiyo hapo ufumbuzi kwa kiongozi wa serikali ni kununua gari itakayomtipitisha yeye binafsi kwenye hiyo barabara mbovu nasio kutengeneza barabara ili itumike kwa wananchi wote?
Baada ya kuyapiga picha mjini, kuna upande mwingine hayo Magari yanaenda. Njia mvua ikinyesha mtihani. Hapo walikwama kwa masaa mawili.
Ukiweka magari ambayo siyo imara hakuna sehemu watafika kwa wakati na udhani kama hayo magari yenyewe yatamudu.
Kwa kuangalia tu hizi ziara zao haya magari ya viongozi hasa mawaziri sitoshangaa kabisa kama kwa mwaka yanapiga zaidi ya 10000 miles +.
Kasheshe uwe una ziara ya week halafu gari sio comfortable na hayo makongoro ya njiani sio muda unatengua kiuno na safari yenyewe inakuwa ngumu ukifika kwenye hiyo ziara ata kwenye kazi inaweza kuwa shida.
Halafu hilo gari alifiki tsh 600 million
Mtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476045View attachment 2476044
Umeamua kujitoa ufahamu tuKama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Sure broo hela zetu zinatumika kizembe sanaNdo maana hutakiwi ionea huruma hela ya serikali.
Wala usilipe kodi.
Rais hana nia ya kupunguza matumizi