Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
I really hope and pray for the sake of the respect I have for you that you are being sarcastic.Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
kwa classification ya wazungu Mchina ni 'manjano' na muhindi/muarabu ni brown
Hao Ndiyo Cheo Kutwa KusifiaWacha halafu unaambiwa kuna uhaba wa madarasa
🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣Afu unakutana na mtu
Kuwa mdhalendo, lipa kodi
Kwan ni yeye au serikali ndo imepamga atumie gar ganMtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476045View attachment 2476044
Jitahidi Kafulila alianza hivyo hivyo
Mayala kwa kisukuma maana yake njaa. Njaa mbaya sana na hautapata teuzi. Atateuliwa mpwayungu village au GENTAMYCIME ila si wewe.Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Tatizo hizo fedha hazipo, ndomaana tunakopa.Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Hahah, wahindi na Wachina wanawazidi waarabu mbona?Wao wako kwenye group la mwarabu.
Watu wa Asia wote nimewatumbukiza humo kwa mwarabu
Boss naomba mkopo tafadhaliYes kama una uwezo wa kulipa, kopa tuu, why not?.
P
Kwa comment hii ulistahili kupata kura moja.Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Deni kila mwaka linaongezeka utasemaje una uwezo wa kulipaYes kama una uwezo wa kulipa, kopa tuu, why not?.
P
Hivi mjapani mramba asali kupitia hela ya serikali atakubali na uamuzi wako?. Kuna mambo mengine tunalaumu serikali zetu lakini anae nufaika zaidi serikali yenye ile bidhaa huweka mfumo wake. Ukija kuuondoa nae anakuondoa kwa mapinduzi au atakavyo yeye.Nikiwa Rais naondoa huu upuuzi wa magari..kila mtu ajinunulie gari lake au adandie daladala..
Mbona wafanyakazi wengine wanatumia gharama zao kufika maeneo yao ya kazi?.
Gari zitakuwa chache tu na zitakuwa hazina mwenyewe..ukitokea uhitaji wa kusafiri kikazi ndo utatumika tu and not otherwise.