bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Muhindi na Mchina wako wapi?😀Mungu-Mzungu-mwarabu-mwafrika-Sokwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muhindi na Mchina wako wapi?😀Mungu-Mzungu-mwarabu-mwafrika-Sokwe
Wao wako kwenye group la mwarabu.Muhindi na Mchina wako wapi?😀
Bahati nzuri utakuwa raisi ambaye atahudumu kwa muda mfupi mno. 🤣🤣🤣 Kabla Corona ya mchongo haijalala mbele na wewe.Nikiwa Rais naondoa huu upuuzi wa magari..kila mtu ajinunulie gari lake au adandie daladala..
Mbona wafanyakazi wengine wanatumia gharama zao kufika maeneo yao ya kazi?.
Gari zitakuwa chache tu na zitakuwa hazina mwenyewe..ukitokea uhitaji wa kusafiri kikazi ndo utatumika tu and not otherwise.
Paskali hata bwana Yesu alipo hitaji usafiri alipelekewa punda-V8 ya wakati uleKama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Huyu RC baba yake alikuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa IringaMtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476045View attachment 2476044
Nje ya mada ,mzee umeamka na hangover mpk umesahau ulichokomenti hapa..Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Pascal Mzee wa Reverse gear!Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Sema ni watu hawajui tuu kuwa kusudi la Mungu kumuumba binadamu, ni ili binadamu apate raha!. Raha ni baraka na shida ni laana!.Paskali hata bwana Yesu alipo hitaji usafiri alipelekewa punda-V8 ya wakati ule
Ni sahihi kabisa ila Mungu hakuwa na kusudi watu wale raha kwa hela haramu ufisadi au kodi za wananchi masikini. Pata raha kwa jasho lako.Sema ni watu hawajui tuu kuwa kusudi la Mungu kumuumba binadamu, ni ili binadamu apate raha!. Raha ni baraka na shida ni laana!.
Kama ulivyo utajiri ni baraka, umasikini no laana!.
P
Lawama kwa chama chake! Chama chawalaMtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476045View attachment 2476044
HakikaHakika haya ni matumizi mabaya ya rasilimali za taifa. this nonsense should stop. Taifa hili lina matatizo mengi ambayo hiyo fedha ingetumika kuyatatua. Mama Samia tunakuomba uzuie, huo ndiyo uhujumu uchumi.
Bado m DC, mawaziri, RAS, DAS, DED, PM, rais mwenyewe na convoy lakeHuyo ni RC tu[emoji22]
Wapo kwa ajiri ya sitarehe sio mbunge wala waziri na raisMtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476045View attachment 2476044
Kwenye taifa lililojaa vijana wasiokuwa na ajira rasmi na umasikini wa kutupwa?kwani kipindi kile Mwalimu anatawala kiwanda cha Marcedes Benz kilikuwa bado hakijafunguliwa ili Mwalimu ale Bata na Mawaziri na RCs wake waote!Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Utumwa wa kusubiri kiongozi akiletee ugali mezani ni utumwa uliokubuhuHalafu Kiongozi kama huyo unatarajia akutatulie changamoto zako za kumudu milo mitatu kwa siku.
Ndio nyiyi mnao sumbuliwa na ushamba na urimbukeniJasho gani wewe? Kupiga domo na kuwa chawa unatumia jasho gani?