Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?

Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?

Huu upuuzi ulianza enzi za JK, ukakua zaidi kipindi cha Jiwe na sasa unaendelea.

Usimwamini Mwafrika ndugu.

Magufuli kwenye kampeni 2015 alisema ataondoa ma V8 na alipoingia ndiye aliyebariki mpaka ma DAS kuanza kutembelea ma V8.

Mungu-Mzungu-mwarabu-mwafrika-Sokwe
Nyerere ilikua mabenzi, mwinyi Pajero,mkapa Nissan,jakaya land cruisers,jk v8
 
Kwenye taifa lililojaa vijana wasiokuwa na ajira rasmi na umasikini wa kutupwa?kwani kipindi kile Mwalimu anatawala kiwanda cha Marcedes Benz kilikuwa bado hakijafunguliwa ili Mwalimu ale Bata na Mawaziri na RCs wake waote!
Huwa nawaza hivi hizi pesa tungezielekeza kwenye Kilimo kupitia Magereza na JKT wqkishirikiana na SUA si tungekuwa mbali sana kwa kulisha Afrika na Dunia.
Kaka Pascal tumepotea sana Tanzania au ndiyo Mungu anatuonesha watesi wetu kwa vitendo!
Tuna tatizo Tanzania bado tuna tatizo la upangaji vipaumbele vyetu, baada ya Elimu, Afya na kilimo, ilipaswa ije nishati!. Ni aibu na hatari kupikia kuni na mkaa!
P
 
So mkuu wa mkoa atembelee gari gani?..pendekeza
Kwani kazi yake inahusiana moja kwa moja na aina ya gari ya kutumia au unakusudia hadhi yake? Niliona interview moja juzi kati Mzee makamba akielezea wakati alipokuwa mkuu wa mkoa, alisema kazi ya mkuu wa mkoa ni rahisi sana maana wataalamu wote wapo.
 
Mtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476045View attachment 2476044
Ninachojua hilo gari la serikali unaonyesha kumshambulia RC kana kwamba ni lake wakati akikoma kuwa rc analiacha serkalini.Hii Roho ya kushambulia viongozi bila Elimu mnapata wapi?
 
Viongozi wako buzzy kupiga pesaa kwa manufaa binafsi, wananchi na raia wako buzzy kupinga ushoga na usagaji tyuuh.

Khalhaghabhao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476045View attachment 2476044
Viongozi wa nchi za kiafrika wanajifanya ni wa muhimu kuliko binadamu wengine.

Anatembelea gari la milioni 600 ila kipindi chote cha uongozi wake hawezi tengeneza sera za kuingiza thamani ya hilo gari lake.

Hata wakipanda mwendokasi no one cares about them.
 
Kwani kazi yake inahusiana moja kwa moja na aina ya gari ya kutumia au unakusudia hadhi yake? Niliona interview moja juzi kati Mzee makamba akielezea wakati alipokuwa mkuu wa mkoa, alisema kazi ya mkuu wa mkoa ni rahisi sana maana wataalamu wote wapo.
Nimekuuliza mkuu wa mkoa ambae huambatana na msafara wa rais atembelee gari gani!?..we unaleta story za makamba
 
Mtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476045View attachment 2476044
Nipo napita Hapa Karibu na shule ya msingi moja hivi Naona Wanafunzi wanajisaidia nje wavulana kwa wasichana

Nikasema hebu niangalie tatizo nini, Nakuta matundu 12 na ni machafu kiasi cha wao wenyewe kuhofia kuingia ndani wasijepata magonjwa

Inasikitisha kwakweli
 
Huwa tunawapiga picha na haya magari wakiwa mjini.

Lakini kiuhalisia uwe mkuu wa mkoa Ruvuma halafu uanze ziara za Nantumbo huko sijui wilaya gani nyingine ambazo miundombinu ya barabara ovyo. Mara umeitwa Dodoma utoke Mwanza usiku wa manane

Au ziara za mawaziri mikoani sehemu zingine mapori, milima, upite kwenye mto; mjomba kama unatumia gari ‘tia maji, tia maji’ kila siku unabadili shock absorbers au unajikuta unatafuta fundi gari maporini na awepo huyo fundi mwenyewe.

Jumlisha na shughuli ya kushinda njiani siku kadhaa au week, surely unahitaji gari comfortable kidogo.

Binafsi sikubaliani na matumizi mengi ya ovyo ila kwenye magari naona logic yake, it is justified.
 
Mtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476045View attachment 2476044
Kuna mawili Ni aidha Serikali imewanunulia au yeye binafsi kanunua lake na kuweka plate namba..

Nadhani RCs wa Dom,Dar,Mwanza na Arusha wanatembelea gari zenye hadhi za Mawaziri.

Msisahau Yale ya Makonda kipindi kile.
 
Back
Top Bottom