Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?

Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?

Kwa Africa tulipofika saizi bora ukoloni kuliko haya yaliyopo na yanayoendelea saizi,watawala wa sasa ni wakatili kwa waafrika wenzao bora hata wazungu.

Kitabu cha THIS TIME TOMORROW Cha Ngugi wa Thiongi kinaishi
 
Nikiwa Rais naondoa huu upuuzi wa magari..kila mtu ajinunulie gari lake au adandie daladala..

Mbona wafanyakazi wengine wanatumia gharama zao kufika maeneo yao ya kazi?.

Gari zitakuwa chache tu na zitakuwa hazina mwenyewe..ukitokea uhitaji wa kusafiri kikazi ndo utatumika tu and not otherwise.
Labda Rais wa vikoba vyaama lishe hapo Ikwiriri
 
download.jpg

Huwa nafikiria kwanini viongozi wote wa serikali wasingekuwa wanatumia gari za hv,kwani hz ubaya wake ni nini
 
Kama hizo fedha zipo, why not?.

With all due respect Pascal 600 M for one car😳 let's check out the reality HIYO HELA HAKUNA. Piga mahesabu kuanzia DC, wabunge na wengineo wakitumia GXR bajeti tunayospendi kwenye magari KIASI Gani?

I saw an article from the Citizen where Tanzania is one amoung the countries which spend a lot of money for buying expensive cars to government officials
Niko Ulaya hizi gari hakuna hata moja.

Sisi watu weusi tunatia aibu sana. Ni washamba!
Umaskini wetu uko kichwani!

Mi Huwa nikitembelea viongozi home kwao Kila mmoja nakuta uani Kuna michuma ya V8 mitatu na madereva wake wawili , walinzi wawili (jeshi na ffu) na wapishi wawili, yaani kiongozi mmoja anaishi na waajiriwa 6 wanakula tu kodi za wajinga!
 
Huu upuuzi ulianza enzi za JK, ukakua zaidi kipindi cha Jiwe na sasa unaendelea.

Usimwamini Mwafrika ndugu.

Magufuli kwenye kampeni 2015 alisema ataondoa ma V8 na alipoingia ndiye aliyebariki mpaka ma DAS kuanza kutembelea ma V8.

Mungu-Mzungu-mwarabu-mwafrika-Sokwe
Uchangiaji wako umemlenga Magufuli kwa kiasi kikubwa, pathetic, the man has gone
 
Back
Top Bottom