Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?

Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?

Huu upuuzi ulianza enzi za JK, ukakua zaidi kipindi cha Jiwe na sasa unaendelea.

Usimwamini Mwafrika ndugu.

Magufuli kwenye kampeni 2015 alisema ataondoa ma V8 na alipoingia ndiye aliyebariki mpaka ma DAS kuanza kutembelea ma V8.

Mungu-Mzungu-mwarabu-mwafrika-Sokwe
Ulivomalizia hapo kiongozi umenivunja mbavu sana! 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Sijui uchawi gani wameweka wajapan kwenye hayo madude maana ukishapanda Tu basi maisha yote ya njaa unasahau....tutapiga kelele Sana ila hawateza kuacha kutumia V8
Ukitaka kujua hivyo vyuma vipoje safir navyo.mzee tuta unafukia na husikii hata kunesa.iin short haya magar sio kwamba yeye Mh Rc kachagua.naona mnashambulia utafikir ni yeye ndio kaenda showroom kuchagua wakat yey anapeleka ombi tu kwa Pm. Wao wanachakata kibal kinarudi mkoa unapewa gari
Ulitaka rais wa mkoa atembelee harier?? Mnapenda muwe mnaskia ajali kila siku na vibakuli? Madungu jesh hayo ndio imara kwa barabara za africa.haliiingii gerej hilo kubadilisha kitu in 10 years. Zaid ya oil.tu.
Tuachen watu wa procumnent ndio tunajua msitupangie
 
Huwa tunawapiga picha na haya magari wakiwa mjini.

Lakini kiuhalisia uwe mkuu wa mkoa Ruvuma halafu uanze ziara za Nantumbo huko sijui wilaya gani nyingine ambazo miundombinu ya barabara ovyo. Mara umeitwa Dodoma utoke Mwanza usiku wa manane

Au ziara za mawaziri mikoani sehemu zingine mapori, milima, upite kwenye mto; mjomba kama unatumia gari ‘tia maji, tia maji’ kila siku unabadili shock absorbers au unajikuta unatafuta fundi gari maporini na awepo huyo fundi mwenyewe.

Jumlisha na shughuli ya kushinda njiani siku kadhaa au week, surely unahitaji gari comfortable kidogo.

Binafsi sikubaliani na matumizi mengi ya ovyo ila kwenye magari naona logic yake, it is justified.
Uovyo wa miundo mbinu ya barabara unaletwa na wananchi hadi muwakamue kiasi hicho kununua gar za milion 600?
 
Back
Top Bottom