Unajuaga kutetea upuuzi.Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajuaga kutetea upuuzi.Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Kuna popote nimesema naumia?. Kila mtu anayeingiza income yoyote, no matter how little it is, lazima alipe kodi!.Unaumia nn?, Halafu maskini toka lini analipa Kodi, msituchoshe
Kama nasifia napewa LC300 series shida ipo wapi?Hawa ndiyo walamba miguu wenyewe
Kufa kabisa. Mnajaza nzi hamna faida kabisaRoho imeniuma
[emoji3][emoji3][emoji3]Paskali hata bwana Yesu alipo hitaji usafiri alipelekewa punda-V8 ya wakati ule
Madilu kakuzidi kila kituHuu Mpira Wa LC 2022 Nilijua anao Madilu Peke yake kumbe na RC dom anao, Hongera kwao
Ulivomalizia hapo kiongozi umenivunja mbavu sana! 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Huu upuuzi ulianza enzi za JK, ukakua zaidi kipindi cha Jiwe na sasa unaendelea.
Usimwamini Mwafrika ndugu.
Magufuli kwenye kampeni 2015 alisema ataondoa ma V8 na alipoingia ndiye aliyebariki mpaka ma DAS kuanza kutembelea ma V8.
Mungu-Mzungu-mwarabu-mwafrika-Sokwe
Ukitaka kujua hivyo vyuma vipoje safir navyo.mzee tuta unafukia na husikii hata kunesa.iin short haya magar sio kwamba yeye Mh Rc kachagua.naona mnashambulia utafikir ni yeye ndio kaenda showroom kuchagua wakat yey anapeleka ombi tu kwa Pm. Wao wanachakata kibal kinarudi mkoa unapewa gariSijui uchawi gani wameweka wajapan kwenye hayo madude maana ukishapanda Tu basi maisha yote ya njaa unasahau....tutapiga kelele Sana ila hawateza kuacha kutumia V8
Kwa huyu wa baidoa sidhani, ila ya Mungu mengiJitahidi Kafulila alianza hivyo hivyo
Leo unanijibu hv kwavile tumbo umeshalijaza mav ila 2025 utakuja unanililia kama malaya aliekosa bwana januaryWewe pambania na umachinga, Huna unachojua
Utaolewa mkuuKama nasifia napewa LC300 series shida ipo wapi?
Uovyo wa miundo mbinu ya barabara unaletwa na wananchi hadi muwakamue kiasi hicho kununua gar za milion 600?Huwa tunawapiga picha na haya magari wakiwa mjini.
Lakini kiuhalisia uwe mkuu wa mkoa Ruvuma halafu uanze ziara za Nantumbo huko sijui wilaya gani nyingine ambazo miundombinu ya barabara ovyo. Mara umeitwa Dodoma utoke Mwanza usiku wa manane
Au ziara za mawaziri mikoani sehemu zingine mapori, milima, upite kwenye mto; mjomba kama unatumia gari ‘tia maji, tia maji’ kila siku unabadili shock absorbers au unajikuta unatafuta fundi gari maporini na awepo huyo fundi mwenyewe.
Jumlisha na shughuli ya kushinda njiani siku kadhaa au week, surely unahitaji gari comfortable kidogo.
Binafsi sikubaliani na matumizi mengi ya ovyo ila kwenye magari naona logic yake, it is justified.
Akulilie Nani? Hivi mnawazaga kuwa kuna anayewaogopa mkishapewa kofia, vitenge na pilau?Leo unanijibu hv kwavile tumbo umeshalijaza mav ila 2025 utakuja unanililia kama malaya aliekosa bwana january
We umeolewa na bodaboda umepata nn?Utaolewa mkuu
Kumbe kuna wazee wajingawajinga namna hii?Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Who cares? Kafie mbeleUovyo wa miundo mbinu ya barabara unaletwa na wananchi hadi muwakamue kiasi hicho kununua gar za milion 600?