Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?

Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?

Comfortable kwakuwa wenzako wanaopanda treni la TRC hawafai kuwa comfortable? Kwani pickup Hilux haliko comfortable?


Baada ya kuyapiga picha mjini, kuna upande mwingine hayo Magari yanaenda. Njia mvua ikinyesha mtihani. Hapo walikwama kwa masaa mawili.

Ukiweka magari ambayo siyo imara hakuna sehemu watafika kwa wakati na udhani kama hayo magari yenyewe yatamudu.

Kwa kuangalia tu hizi ziara zao haya magari ya viongozi hasa mawaziri sitoshangaa kabisa kama kwa mwaka yanapiga zaidi ya 10000 miles +.

Kasheshe uwe una ziara ya week halafu gari sio comfortable na hayo makongoro ya njiani sio muda unatengua kiuno na safari yenyewe inakuwa ngumu ukifika kwenye hiyo ziara ata kwenye kazi inaweza kuwa shida.

Halafu hilo gari alifiki tsh 600 million
 
Kuna wakati fulani aliyekuwa Rais wa awamu ya 3 wa Tanzania Late BW MKapa aliwahi kuuliza, kuna wenye SERA Mbadala? Kukosoa tu bila kuja na sera mbadala ni kukosa shabaha........nadhani wanaosema VX V8 ni ghali kwa aina ya uchumi wetu, wangependekeza model nyingine mpya ya kuepukana na gharama, labda kupunguza safari zinazodidi 250km kwa kila Kiongozi,mfano badala ya PM or Waziri wa Kilimo kwenda hadi Mpanda,Katavi, RC na DC wa eneo husika wanaweza kupewa instruements za kufanya kile ambacho PM/Waziri angetekeleza............hii itapunguza operational costs
 
Mtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476045View attachment 2476044
Na Bata juu !! Africa unategemea iendelee kivipi ??! Uk 🇬🇧 wanatembelea gari za kawaida tu na ni nchi tajiri ! Selfishness ndio janga letu kuu. !!
 
Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.

P
Paskali kaka !!!
Watoto wanakaa chini mashuleni ujue , na ni hapa hapa dar ,
Kiongozi anatembeleaje gari ya pesa ndefu hivo ilhali wananchi wanataabika?
 
Bro, this is damn low unless your injecting some sarcasm into this whole thing. Kodi zetu badala ya kufanya mambo ya maana, zina-service maisha ya viongozi. Na kwa idadi ya viongozi, ni pesa nyingi sana zinatumika kuwapa maisha bora viongozi. Inaumiza sana kiongozi wa nchi iliyoendelea anamlipa transport allowance kiongozi, tena kiasi cha kupanda public bus, lakini sisi tunampa mtu gari inayofanya rounds za kazini, sikoni, kanisani/msikitini, sehemu ya starehe, shuleni kwa watoto, nyumbani likizo na mikutanoni!!

Pesa zinazohitajika kufanya maendeleo zinatumika kutunza viongozi wasiolipia hata bills za maji, umeme, kodi ya nyumba wala samani!!
In another way around we borrow money from Europe to serve the leaders.

Mwakaujao utasikia wananunua magari mengine tena, yani wanashindana na matoleo viwandani, wanataka kila toleo jipya watumie.

Viongozi wanafanya unyama usio pimika kwa wananchi.

This is not acceptable.
 
Kuna wakati fulani aliyekuwa Rais wa awamu ya 3 wa Tanzania Late BW MKapa aliwahi kuuliza, kuna wenye SERA Mbadala? Kukosoa tu bila kuja na sera mbadala ni kukosa shabaha........nadhani wanaosema VX V8 ni ghali kwa aina ya uchumi wetu, wangependekeza model nyingine mpya ya kuepukana na gharama, labda kupunguza safari zinazodidi 250km kwa kila Kiongozi,mfano badala ya PM or Waziri wa Kilimo kwenda hadi Mpanda,Katavi, RC na DC wa eneo husika wanaweza kupewa instruements za kufanya kile ambacho PM/Waziri angetekeleza............hii itapunguza operational costs
Hakuna haja yoyote ya kumpa mkuu wamkoa gari kama hiyo, niufujaji wakodi tu bila huruma na utu.

Land cruiser za kawaida zinatosha kabisa kuhudumu katika office za wakuu wa mikoa.

Land cruiser zenye thamani ya chini ya mill 100 it's more than enough kwa wakuu wamikoa.
 
Nikiwa Rais naondoa huu upuuzi wa magari..kila mtu ajinunulie gari lake au adandie daladala..

Mbona wafanyakazi wengine wanatumia gharama zao kufika maeneo yao ya kazi?.

Gari zitakuwa chache tu na zitakuwa hazina mwenyewe..ukitokea uhitaji wa kusafiri kikazi ndo utatumika tu and not otherwise.
Mapema Sana kipindi Cha pili mwanzoni hatuko na wewe ,, Kama Ni wa chato utapelekwa chato ukapumzike
 
Back
Top Bottom