Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?

Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?

Kwenye taifa lililojaa vijana wasiokuwa na ajira rasmi na umasikini wa kutupwa?kwani kipindi kile Mwalimu anatawala kiwanda cha Marcedes Benz kilikuwa bado hakijafunguliwa ili Mwalimu ale Bata na Mawaziri na RCs wake waote!
Huwa nawaza hivi hizi pesa tungezielekeza kwenye Kilimo kupitia Magereza na JKT wqkishirikiana na SUA si tungekuwa mbali sana kwa kulisha Afrika na Dunia.
Kaka Pascal tumepotea sana Tanzania au ndiyo Mungu anatuonesha watesi wetu kwa vitendo!
Unajua gari alizokuwa anatumia kipindi kile zilikuwa Aina gani na ulaji wake Wa mafuta ukokuaje? Au unapayuka tuu
 
Kiukweli katiba mpya inatakiwa ujinga wa namna hii uishe nchi inamatatizo kibao lakini wao wanaona raha kutembelea gari za milioni 600? Kiukweli ccm wanatakiwa wapumzishwe!
Katiba mpya ndio inasema Serikali usinunue gari? 🤣🤣🤣🤣🤣.

Acheni ujinga jamani,Nchi nyingi Zina hizo Katiba mpya vipi huko maisha Ni matamu? Tuanze na Ghana, Kenya,South Africa?
 
Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.

P

Bro, this is damn low unless your injecting some sarcasm into this whole thing. Kodi zetu badala ya kufanya mambo ya maana, zina-service maisha ya viongozi. Na kwa idadi ya viongozi, ni pesa nyingi sana zinatumika kuwapa maisha bora viongozi. Inaumiza sana kiongozi wa nchi iliyoendelea anamlipa transport allowance kiongozi, tena kiasi cha kupanda public bus, lakini sisi tunampa mtu gari inayofanya rounds za kazini, sikoni, kanisani/msikitini, sehemu ya starehe, shuleni kwa watoto, nyumbani likizo na mikutanoni!!

Pesa zinazohitajika kufanya maendeleo zinatumika kutunza viongozi wasiolipia hata bills za maji, umeme, kodi ya nyumba wala samani!!
 
Huwa tunawapiga picha na haya magari wakiwa mjini.

Lakini kiuhalisia uwe mkuu wa mkoa Ruvuma halafu uanze ziara za Nantumbo huko sijui wilaya gani nyingine ambazo miundombinu ya barabara ovyo. Mara umeitwa Dodoma utoke Mwanza usiku wa manane

Au ziara za mawaziri mikoani sehemu zingine mapori, milima, upite kwenye mto; mjomba kama unatumia gari ‘tia maji, tia maji’ kila siku unabadili shock absorbers au unajikuta unatafuta fundi gari maporini na awepo huyo fundi mwenyewe.

Jumlisha na shughuli ya kushinda njiani siku kadhaa au week, surely unahitaji gari comfortable kidogo.

Binafsi sikubaliani na matumizi mengi ya ovyo ila kwenye magari naona logic yake, it is justified.
Comfortable kwakuwa wenzako wanaopanda treni la TRC hawafai kuwa comfortable? Kwani pickup Hilux haliko comfortable?
 
Ndio maana siasa ni kama vita Africa.
 
Back
Top Bottom