NCHI TAJIRI SANA NA WANANCHI WAKE WANAISHI VIZURI SANAMtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476045View attachment 2476044
Inasikitisha sana sana aisee 😩😫😩😫Mtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476044
Kiburi cha madaraka, na bado ngarama za kuyahudumia ndo balaa zakeNimepiga mahesabu ya TOZO zetu nikasema kweli TOZO ni tamu sana.
Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy! Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
We mzee huwa najua una akili kumbe ni mpuuzi wa kiwango hiki!Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy! Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Kwanini huwa mnawaza hivi? Uingereza hata waziri wa fedha hatembelei gari aghali kama hili. Matajiri wana bana matumizi, masikini kama sisi ndio matumizi yetu balaa. Hatujihurumii.Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy! Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Hao wezi waendelee kulindwa ili waibe zaidi au,wanashambuliana wao kwa wao kwa tamaa zao za madaraka,wananchi wa kawaida wananufaika padogo sana na uwaziri wao au ubunge na vyeo vingine mbali mbali vya utumishi wao wa umma.Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy! Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari ya viongozi wetu wakiwemo wabunge, mawaziri yote yawe ni armored.
P
Au sioKama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy! Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari ya viongozi wetu wakiwemo wabunge, mawaziri yote yawe ni armored.
P
Kwa taarifa nilizonazo hizo gari hazinunuliwi direct,ni kama promotion ila spare ndo zinanunuliwaMtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476044
Mbona hamuulizi makaa ya mawe na uranium inayosombwa inasimamiwa na nani na je faidi inaelekea wapiNi asili yetu, magari kama haya yakipungua sana Serikalini kote ni 300. Sasa piga hesabu mzee wangu hiyo hela si inatosha kusambaza maji vijiji vyote TZ.
Unaongea kama vile umekata tamaa. Don't give up. Tuombe uzima tu. Kila la kheri MkuuYes kama una uwezo wa kulipa, kopa tuu, why not?
P
Hivi unaakili kweli, ninani aliyemfukuza kazi das wa geita kwa kuwa na gari la bei kubwaHuu upuuzi ulianza enzi za JK, ukakua zaidi kipindi cha Jiwe na sasa unaendelea.
Usimwamini Mwafrika ndugu.
Magufuli kwenye kampeni 2015 alisema ataondoa ma V8 na alipoingia ndiye aliyebariki mpaka ma DAS kuanza kutembelea ma V8.
Mungu-Mzungu-mwarabu-mwafrika-Sokwe