Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?

Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?

Mtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476044
Hiyo bei unakuta asilimia kama 30 ni cha juu. Isitoshe wafanyabiashara ndio wanashawishi ununuzi wa magari sio serikali inapima mahitaji. Enzi ya jpm alitaka uwepo mpango wa serikali kununua kwa pamoja magari toka viwandani au maajenti wa viwanda toka nchi wanakotaka kununua. Wafanya biashara waagizaji magari wahindi bila shaka wakalifanyia kazi wazo hilo na kulipiga manati.😂🤣
 
Rwanda hali ni tofauti sana viongozi wa umma hupewa mikopo kunua magari yao ambapo tenure yao ikiisha magari haya huwa yao!

Hakuna kiongozi atakopa gari la milioni 600 kisha alipie
 
Mtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476044
Unakuta ukichukua cost ya magari ya wakubwa 7 mkoani (Regional Secretariat) yanaweza kuchukua zaidi ya 4bn gharama ya kununua magari.

Mathalani, kama serikali mkoani Dodoma LGA ingeweka Gov Guarantee kama wana hiyo mandate ili kufanya equipment purchase kuwekekaza kwenye value chain hata ya machinery ya kusaga/kukoboa na kufungasha unga Dodoma ili kuuza unga Kenya, Rwanda, Burundi na Congo badala ya kuuza mahindi. Na pumba zikafungashwa na mchanganyiko mwingine na kuuzwa kama animal feeds.

US$ 1.59M sawia na 4bn ni hela nyingi sana kama kuna serious investment. Imagine tuna mikoa 31; wizara, wilaya, wakala/mamalaka za serikali kuna mabilion (millions of USD) tuna-export forex kila mwaka kwenda Toyota na Nissan Japan
What is the mechanism used to import forex through our exports of goods and services?

Hao wakubwa, RC, Mawaziri wapewe kibali cha kukopesheka ili walipie magari kwa fedha zao. It's worth kuwekeza kwenye kuzalisha kuliko kuweka ma-bn kwenye spending ya luxurious vehicles na ukipima return on investment; on serious notice gov spending, inaudhi sana, inakera sana.
 
Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy! Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari ya viongozi wetu wakiwemo wabunge, mawaziri yote yawe ni armored.

P
Msimila nchi yetu bado ina matatizo mengi sana mkibahatika kwenda vijijini maisha ya watanzania ni mabaya sana.watu wanaishi kwenye lindi kubwa la uskini.wananchi wanashindwa hata kununua panadol,wanafunzi wanaenda shule peku,watu mpaka leo hii wanalala nyumba za nyasi tena chini sakafuni.hali ni yeye sana.hizo pesa zinazonunua hayo mashangingi ni bora yangetumika kuboreshaaisha ya watanzania
 
Unakuta ukichukua cost ya magari ya wakubwa 7 mkoani (Regional Secretariat) yanaweza kuchukua zaidi ya 4bn gharama ya kununua magari.

Mathalani, kama serikali mkoani Dodoma LGA ingeweka Gov Guarantee kama wana hiyo mandate ili kufanya equipment purchase kuwekekaza kwenye value chain hata ya machinery ya kusaga/kukoboa na kufungasha unga Dodoma ili kuuza unga Kenya, Rwanda, Burundi na Congo badala ya kuuza mahindi. Na pumba zikafungashwa na mchanganyiko mwingine na kuuzwa kama animal feeds.

US$ 1.59M sawia na 4bn ni hela nyingi sana kama kuna serious investment. Imagine tuna mikoa 31; wizara, wilaya, wakala/mamalaka za serikali kuna mabilion (millions of USD) tuna-export forex kila mwaka kwenda Toyota na Nissan Japan
What is the mechanism used to import forex through our exports of goods and services?

Hao wakubwa, RC, Mawaziri wapewe kibali cha kukopesheka ili walipie magari kwa fedha zao. It's worth kuwekeza kwenye kuzalisha kuliko kuweka ma-bn kwenye spending ya luxurious vehicles na ukipima return on investment; on serious notice gov spending, inaudhi sana, inakera sana.
Umeona gari za serikali za india. Alafu kuna mtu atakuja kukupanga eti viongozi wanasafiri sana sijui umbali wakati India ni nchi kubwa zaid viongozi wao wanatembelea gàri za kawaida tena made in India
65763996.cms.jpg


Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
Huu upuuzi ulianza enzi za JK, ukakua zaidi kipindi cha Jiwe na sasa unaendelea.

Usimwamini Mwafrika ndugu.

Magufuli kwenye kampeni 2015 alisema ataondoa ma V8 na alipoingia ndiye aliyebariki mpaka ma DAS kuanza kutembelea ma V8.

Mungu-Mzungu-mwarabu-mwafrika-Sokwe
mungu-mzungu-mwarabu-mwafrika-sokwe 😅😅😅
 
Msimila nchi yetu bado ina matatizo mengi sana mkibahatika kwenda vijijini maisha ya watanzania ni mabaya sana.watu wanaishi kwenye lindi kubwa la uskini.wananchi wanashindwa hata kununua panadol,wanafunzi wanaenda shule peku,watu mpaka leo hii wanalala nyumba za nyasi tena chini sakafuni.hali ni yeye sana.hizo pesa zinazonunua hayo mashangingi ni bora yangetumika kuboreshaaisha ya watanzania
Sio shughuli ya Afisa Manunuz hiyo
 
Huu upuuzi ulianza enzi za JK, ukakua zaidi kipindi cha Jiwe na sasa unaendelea.

Usimwamini Mwafrika ndugu.

Magufuli kwenye kampeni 2015 alisema ataondoa ma V8 na alipoingia ndiye aliyebariki mpaka ma DAS kuanza kutembelea ma V8.

Mungu-Mzungu-mwarabu-mwafrika-Sokwe
Dah mkuu huo mnyororo hapo mwishoni unasikitisha sana kwakweli.
 
Yes kama una uwezo wa kulipa, kopa tuu, why not?
P
Kaka, unaniangusha bwana hata wewe ushabikie jambo la kipuuzi kama Hilo, Kwa uchumi gani tulionao.tuna zahanati na vituo vya afya havina watumishi. Wala nyumba za watumishi. Kuna should Zina walimu wanna tu.
 
Kwa kuongoza wajinga wengi acha nae ajipoze humo!Unaweza muuliza mtu swali la IQ atakachokujibu utashangaa halafu ni mtu mzima sasa!
 
Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy! Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari ya viongozi wetu wakiwemo wabunge, mawaziri yote yawe ni armored.

P
Wazo ni zuri sana, lkn je na wazazi wanaoshindwa kumudu gharama za matibabu wakati wa kujifungua na kusababisha vifo vya mama na mtoto?

Vp kuhusu shida za maji zinazowakabili wananchi latika vijiji na miji yao .

Vipi kuhusu matumizi ya kuni na kuteketeza misitu wakati nishati za kutengeneza BIOGAS zimewazunguka ?

Vp kuhusu shule za awali ,Msingi na sekondari uliachilia mbali A - level kuwa ziko mbali mno na maeneo wanayoishi?

Kila mwananchi anataka kwenda mjini HASWA vijana, sababu huko ndiko kwa wapiga kelele na kuishi kwa hali bora kuliko vijijini ambako wananchi HAPIGI KELELE na wanaokuja na kupiga kelele ni wale wanaoishi mijini na kuja kuishi na kukimbia.

Viongozi Lugha zao vijana wasome na kufikiria kujiajiri !! Kweli kauli hii iko SAWA nani hataki hayo MASTAREHE!

VIONGOZI tuwape hayo magari na raha zote lkn WATUKUMBUKE na kuziishi shida zetu.

Chini ya ardhi yetu , kumejaa maji, mito na maziwa achana na Bahari mvua nyingi zipo iweje nchi iwe na uhaba wa maji kwa wananchi wake sababu ya starehe kwa viongozi.!

Yapo matumizi fulani hivi WAKIYAHAIRISHA japo kwa mwaka tu! Yanaweza kutatua PAKUBWA.

VITOTO VINGI, vinaacha shule, havipekwi shule vinazurura tu huko vijijini WATAZAMWE na kupewa japo kidogooo vitu vinavyotaka kufanana na ARMORED CAR.
 
Back
Top Bottom