hahaha always done
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 1,126
- 1,973
HahahahaCcm hawajui kutofautisha kati ya kejeli na sifa, wao hata ukikejeli wanazichukua kejeli na kuweka kwenye kapu la sifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaCcm hawajui kutofautisha kati ya kejeli na sifa, wao hata ukikejeli wanazichukua kejeli na kuweka kwenye kapu la sifa
Yes , that's all about African.Dah mkuu huo mnyororo hapo mwishoni unasikitisha sana kwakweli.
Nchi hii ina viongozi walionda shule na wana vyeti vya kutundika kwenye kuta na picha wakiwa wamevaa majoho.Umeona gari za serikali za india. Alafu kuna mtu atakuja kukupanga eti viongozi wanasafiri sana sijui umbali wakati India ni nchi kubwa zaid viongozi wao wanatembelea gàri za kawaida tena made in India View attachment 2843101
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Yule bwana Watson alipata mashaka kama sisi watu weusi ni species sawa na wengine...kumbe tuko sawa ila sisi ni Wajinga tu!Ndo maana hutakiwi ionea huruma hela ya serikali. Wala usilipe kodi.
Rais hana nia ya kupunguza matumizi
Hunan lolote la maana!Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy! Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari ya viongozi wetu wakiwemo wabunge, mawaziri yote yawe ni armored.
P
Umesema ukweli kabisa!Hii nchi inahitaji mapinduzi ya serikali kilazima.
ila we jamaa ni K..Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy! Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari ya viongozi wetu wakiwemo wabunge, mawaziri yote yawe ni armored.
P
Viongozi wa Afrika hatuletewi labda kutoka sayari nyengine bali hutoka miongoni mwetu mimi,wewe ndugu na jamaa zetu ndio huwa viongozi wa nchi zetu za Afrika.viongozi wa Africa ni sheedah! Huwa natamani tungeazima uongozi wote wa juu kutoka Ulaya au nchi kama Singapore, China au Malasya
Alafu yakijengwa hata mawili ya 35 milioni wanapishana kuyazindua kwa misafara yenye magari kama hilo zaidi ya 10.Wacha halafu unaambiwa kuna uhaba wa madarasa
Na bado wanalawiti wanafunzi wa SAUT.Huyo ni RC tu😢