Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?

Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?

Hebu lipeni kodi acheni kubwabwaja

Siku zote wanadam ndo mlivyo ,ukiona mwenzako anafaidi huchelewi kumtilia figisu,viongozi ni watoto wa masikini ,waacheni waendelee kula mema ya nchi hadi pale milija itakapo katika,hata tuwaweke nyie wana jf kwenye ulamba asali ,mtatufanyia mambo ya ajabu hadi tutamani kufa

Waacheni watembelee 600ml ,ni mda wao,mda ukiisha watatoka
Watatoka na watakuja wengine na deni litapaa kama Bombardia !!
 
Kwa kiuhalisia, shida ni wivu.
Kwa kiuhalisia, shida ni porojo.
Kwa kiuhalisia, shida ni Uwongo wa Kupandikiza.

Hayo mabilioni hata hawa manabii uchwara kwa mabakuli yao tu....V.800??? Kibao. Sembuse serikali.

Mbadala unaoletwa ni wa kukejeli, wa kuduwaza kama sio kudumaza. Porojo tu

Inanishangaza, kuona baadhi ya wanahudhuri na viherehere vyao, Ati, kwa sababu Hao Viongozi ni Masikini, wametoka vijijini, washamba n.k basi V.8 haziwafai- Ni wivu tu huo.

Wanavyo linganisha na kutofautisha-mtu au Kiongozi katoka wapi; na Gari anayostahili tena kwa lugha ya ukimbari ni karaha tupu! Wivu tu huo tena wa kukaripiwa. Wanapeana dole tupu Aaati?

Mwisho wa siku hakuna anayeleta mbadala bila kejeli au mbadala usio na kejel au dhihaki- halafu ndio unategemea Serikali iwatilie maanani? Tunapandikiza chuki tu

Kama ni vya kujadiliwa, viwe vinajikita kwenye mchakato mzima wa upatikanaji wa hayo Magari au? Mie naona humo ndio kuna hitilafu.

Kuna jamaa amesema miaka ya nyuma tulikuwa na 'European cars' Je anajua kwa nini ilikuwa rahisi kupatikana kwa magari hayo? Unajua Tanganyika motors? Unajua kwa nini Serikali ilitumia TM? Kwanini walibadilisha?
Eniweyi nimetupia tu hilo mtajijiju.

Kiuhalisia hakuna Serikali isiyokuwa na Matumizi- Yeyote ile, hata NGO's

Kiuhalisia inakuwa vizuri Serikali kujitathmini kila baada ya mda kuona kama kuna ulazima wa kuwa na hayo Magari yenye, kama wengi wanavyodai ni ya Kifahari mno na wala hayamfai.mtu aliyotoka Kijijini. Pathetic fikra gani hizo???

Kitaeleweka.
Yaani Blangeti Kubwa Afrika....halafu unaonyeshwa Toyota ya R.C Tanzania wapi na wapi?

Nape tunakuomba wewe na Kamati yako mfanye kazi kwa Haraka. Najua unalo Kabrasha la kulimwaga Davos.

Mtujuze
Huwezi amini sijaelewa
 
We jamaa wakati akili zinagaiwa ulikuwa kwa Mpalanger ukipalanga!

Hii gari ina 800 cylinders na 100 pistons mafuta ya kuiwasha tu ni budget ya IST ya miezi sita! Reserve yake gari inatoka Dar hadi Dom!

In short wewe unawaza gharama za maintenance ambayo ni mara moja tu kwa mwezi wakati sisi tunawaza

1. Sisi tunawaza viongozi wetu wengi ni washamba wamezaliwa bush wanatafuta sifa kwa kununua magari ya bei mbaya kwa kodi za maskini.
2. Nchi inapoteza mabilioni kwa kununua magari makubwa pesa ambazo zingefanya mambo mengine ya maana zaidi
3. Bei ya kuzinunua hizo gari ni kubwa mno ila fikra zetu haziko huko
4. mafuta ya kuziendesha hizo gari ambazo ziko nchi nzima ni pesa nyingi mno ya kujenga Nyerere Dam kumi
5. Our thinking is corrupt , brainwashed and primitive!
6. Nchi hii imejaa wajinga wengi maisha magumu ajira hakuna na rasilimali zao zinachezewa mbele ya macho yao ila hawaoni!
7. Kizazi Cha majizi kimebakiza 30 to 40 years mengi yanayopenda gari hizi ni mazee yalizaliwa bush na yako jioni Sasa muda wa vijana kula nchi yao uko jirani

What next?
Lipa Tozo, matumizi waachie Viongozi
 
Ndiyo na kuna ngazi za uongozi zinazoweka kufanya hilo likafanyika kwa ufanisi mkubwa.

Mmeweka siasa mbele hadi watendaji mnahojiana na kufukuzana kazi kwenye majukwaa kama vile hamna vikao rasmi na mawasiliano ya kiofisi.
Kati ya tabia ya kipuuzi ni hii
 
It’s not personal but facts of travelling on the tarmac and bush roads. Kwa yeyote it was a general question ukisafiri kwa masaa nane, unapofika hiyo safari unakuwa katika hali gani (most of us hoi).

Halafu imagine asubuhi kumekucha unafanya ziara, mchana unaanza tena safari upya. Na kuna magari viti kama sio comfy ukifika shingo, mgongo na kiuno unasikia adhabu waliyopotia.

Na kama njia makongoro halafu gari aina spring za kutosha unesenese badala ya kusikilizia bumps ndio kabisa hiyo sasa sio kazi adhabu.
Kama sababu ni za kiafya hayo magari wangepewa wahandisi,waganga wakuu na maafisa elimu wa Wilaya wanaoshinda vijijini Kila siku.
Kiliko ambao wanaenda mara moja Kwa mwezi na wakifika Halmashauri wanabadilisha wanapanda land Cruiser Hardtop
 
Kama hizo fedha zipo, why not?.

With all due respect Pascal 600 M for one car[emoji15] let's check out the reality HIYO HELA HAKUNA. Piga mahesabu kuanzia DC, wabunge na wengineo wakitumia GXR bajeti tunayospendi kwenye magari KIASI Gani?

I saw an article from the Citizen where Tanzania is one amoung the countries which spend a lot of money for buying expensive cars to government officials
Pesa ndogo hiyo Saudi Arabia police wanatumia Lamborg
 
Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.

P
Hapa nakuona P kwenye ubora wako. Nakuona kwenye engo nyingine kabisa😂️😂️😂️😂️😂️
 
Ok kwahiyo sababu za msingi kununuliwa hayo magari ni kuwa na hadhi ya kuendana na msafara wa Rais na sababu ya pili ni baadhi ya mikoa kuna barabara korofi na hayo ndio magari yenye kufaa kwa hizo barabara.
Magari mazuri kwa barabara zote na zozote zilizopo Tanzania nzima ni L/Cruiser hard top a.k.a Mkonga !! Kila siku tunaambiwa Nchi hii ni masikini bandugu ! Sasa masikini halafu tunataka maisha ya kifahari ! Wapi na wapi !!
 
Afadhali umeanza "kama fedha zipo" . Haya magari hata matajiri wanaotupa hiyo mikopo na misaada ni nadra kutumia. Ungejisikiaje ukimuona maskini aliyekuja kukuomba fedha ya chakula akikata wine na whisk kwa ule msaada wako? Halafu anaishiwa tena anarudi tena kukuomba anafanya vivyo hivyo?!!
Hapo sasa !!
 
Mtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476045View attachment 2476044
Hili suala kwakweli tulifanye agenda ya kitaifa.
Tatizo kubwa ni kuwa na raia wote wezi kiasilia kiasi kwamba anayeona kuna shida kama nchi maskin anachukuliwa ni wivu au siasa chafu.
Kifupi kuna tatizo pahala. Anayetaka anasa ajichange tu mwenyewe.
NAmna hii hata kumshawishi raia wa kawaida na mfanyabiashara mkubwa kuona soni ya kukwepa kodi ni ngumu
 
Huwezi amini sijaelewa
Duh hata gugu? Haielewi? Soma vizuri tu. Utaelewa. Umejizimisha tuu.

Kwani wewe umekuja kuelewa humu JamiiForums? Au Kutupa vijembe?

Onyesha bandiko lako lolote lile kwenye hii mada, Unapoelewa na hakuna kijembe.



Weka mfedheheko wako hapa chini
 
Hili suala kwakweli tulifanye agenda ya kitaifa.
Tatizo kubwa ni kuwa na raia wote wezi kiasilia kiasi kwamba anayeona kuna shida kama nchi maskin anachukuliwa ni wivu au siasa chafu.
Kifupi kuna tatizo pahala. Anayetaka anasa ajichange tu mwenyewe.
NAmna hii hata kumshawishi raia wa kawaida na mfanyabiashara mkubwa kuona soni ya kukwepa kodi ni ngumu
Afadhali wewe Unaelewa sana. Mnapoteza rasilimali zenu.
 
Back
Top Bottom