shabanmbarak
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 1,178
- 1,150
Na kama unadhan hao black American ni waafrica jaribu kuwagusia africa ndo utaelewa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] .Kasikilize interview ya Mayweather kuhus africaHii dhana naona ni kichaka tu...
Mtu mweusi kukuta anambagua mtu mweupe wazi wazi ni nadra sana ila hao watu wajamii zingine wanakubagua hata ukiwa kwako, kule america wanaitwa black american and its normal.
Afu kama unadhani hao ni waafrica uje uwaite waaafrica hao wahindi, mchina au waarabu