Afrika yaingia Nusu Fainali ya Kombe la Dunia 2022

Huyo mchezaji amekuja kusakafia tu, lakini so many times Morocco hata viongozi wao na wananchi wa kawaida hawapendi kuitwa wa Africa, huyo mchezaji hakusema huu ushindi uende kwa wa Africa... Alisema Arabs na Muslims
 
Hao siyo waafrica ni waislamu na waarabu hatuwapendi
Sikutegemea kukutana na comment ya kipumbavu kipindi hiki cha mwisho wa mwaka kama hii.
Siajabu dada wewe unayesambaza chuki upo kwenye gari unaelekea mbali huko kujumika na familia kipindi hiki cha sikukuu ya mwisho mwaka; badala ya kuwaza mema na kumuomba Mungu ayasimamie vema maisha yako na wapendwa wako, we ndo kwanza unasambaza chuki zako kwa watu wasio na habari wala shida nawe. Kwahiyo ukipiga mzinga hapo unaenda kumkabidhi Muumba michuki yako hiyo ikiwa ndo ulichovuna duniani hapa.

Kama huwapendi basi jiue tu maana wapo wapo sana....umewakuta na utawaacha.
 
Huyo mchezaji amekuja kusakafia tu, lakini so many times Morocco hata viongozi wao na wananchi wa kawaida hawapendi kuitwa wa Africa, huyo mchezaji hakusema huu ushindi uende kwa wa Africa... Alisema Arabs na Muslims
kuna wakati eti Morocco waliomba kujiunga na jumuiya ya Ulaya[emoji849]
 
Watu wanajishikiza kwa nguvu hata kama hawatakiwi na wameshatamkiwa wazi lakini wamo tu.
Njoo na fact tukuelewe cyo uje na maneno ya kijiweni halaf utegemee tupokee point Yako tu


Kwa nn morocco cyo mwafrica??JIBU swali hilo kwa hoja siyo porojo za Facebook
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…