Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Usimtambue asiyekutambua, haikusaidii kitu kujipendekeza.lakini ilifuzu kwenda kwenye michuano ya kombe la dunia kupitia michuano ya Afrika sio michuano ya ulaya.
ndio maana tunawaita kuwa ni wawakilishi wa afrika.