Kusimama kwako na France na kuiacha Morocco kunabadilisha nini mtu kapuku kama wewe?Nasimama na france. #moroccosiowaafrica
Kwa hiyo Kagera ni Uganda na Tunduma ni Zambia?Moroko iko ulaya zaidi kuliko Afrika, ni kama Kigamboni na Kurasini kwani ukiwa upande wa Moroko ulaya inaiona na insweza kuingia kwa kuogelea tu.
Nimewaachia nyie matajiri iyo morocco yenu ya wanywa mikojo ya ngamia.Kusimama kwako na France na kuiacha Morocco kunabadilisha nini mtu kapuku kama wewe?
Huyu Malisa ndio mwanzilishi wa msemo wa anaupiga mwingiMnapinga ubaguzi huku nyie ndo wabaguzi wa kwanzaView attachment 2442241
Swala la kwamba waafrika tumeingia nusu fainali hilo nakataa waarabu ndio wako nusu fainali.No body cares who you support "albalashwa"
Usijipe umuhimu kwenye mataifa ya watu
Niko pamoja na ufaransaWeusi 9 kati ya 11....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nasikia kombe lijalo waafrika watakuwa na team nyingi.....[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Watu mna mifano mpaka mtoa mada inabidi ajione mjinga vinginevyo asipojiona hivyo, kweli atakua mjinga.
Ficha ujinga wako......Hao siyo waafrica ni waislamu na waarabu hatuwapendi
Njoo na Facts usije na mihemko yako kuhusu Hilo swalaSwala la kwamba waafrika tumeingia nusu fainali hilo nakataa waarabu ndio wako nusu fainali.
Ushakuwa mpumbavu nawewe etKwa mara ya kwanza tangu kombe la dunia lianze, Afrika kupitia timu ya Morocco yaingia nusu fainali.
Pongezi kwa wawakilishi wetu morocco kwa kuweka historia.
Naunga mkono hoja... Na umasikini bado anaubaguzi, je angekuwa na kituMtu mweusi/mwafrica ndiye mtu mbaguzi kuliko wote hapa duniani.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Facts zipi tena ngoja nikupe mfano France zaidi ya nusu ya wachezaji ni Africans morocco wote waarabu acha hilo wanawakilisha arabs league na Muslims kingine walikuwa wanaomba eu wawaruhusu kucheza ligi za ulaya na sio za Africa.Njoo na Facts usije na mihemko yako kuhusu Hilo swala
Unaposema nusu ya wachezaji wa ufaransa ni Africa unamaanisha nini?? uafrica ni weusi??Facts zipi tena ngoja nikupe mfano France zaidi ya nusu ya wachezaji ni Africans morocco wote waarabu acha hilo wanawakilisha arabs league na Muslims kingine walikuwa wanaomba eu wawaruhusu kucheza ligi za ulaya na sio za Africa.
Hao wenzako huo uafrika wakushea eneo hawautambui wanatambua ngozi zao na ndio maana walisema arabs n muslims kuua so. Uafrika ni rangi ndio, waarabu wazanzibar watangazie ndoa ndio utagundua kama ni waafrica au sio.Unaposema nusu ya wachezaji wa ufaransa ni Africa unamaanisha nini?? uafrica ni weusi??
Wamorocco wote ni waarabu ndiyo...Kwa hiyo waarabu wa hapo Zanzibar cyo waafrica??
Yaan unachokifanya ukienda ulaya ukafanyiwa hivyo utalalamika umebaguliwa.....yaan kina koulibally wanalalamika kwamba wazungu Wanawabagua kila siku wanapiga goti pale EPL ww uko hapa unashabikia ubaguzi kwa waarabu na unajiona uko sawa??
Au nikuulize swali jepesi tu uafrica ni nini??yaan nini kinamfanya mtu awe mwafrica?
KweliMtu mweusi/mwafrica ndiye mtu mbaguzi kuliko wote hapa duniani.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Tangu umeijua JF ukawaona wa Facebook hawafai.Sikujibu sasa maana uandishi wako wenyewe tu hao wa Facebook wana afadhari.Njoo na fact tukuelewe cyo uje na maneno ya kijiweni halaf utegemee tupokee point Yako tu
Kwa nn morocco cyo mwafrica??JIBU swali hilo kwa hoja siyo porojo za Facebook
Aliyetuloga kafa,Nakuunga mkono
Hii ngozi Ina tabu sana