Uturuki ni Waarabu wanaoiwakisha Ulaya(Wazungu)Kwani ulaya yote ni ya wazungu tu? Uturuki ni wazungu?
For the Arabs and Islam world wenyewe wameshasemaKwa mara ya kwanza tangu kombe la dunia lianze, Afrika kupitia timu ya Morocco yaingia nusu fainali.
Pongezi kwa wawakilishi wetu morocco kwa kuweka historia.
Na kweli ndio uhalisia wao sio Waafrica ni waarabu,hata hizo Nchi za Morocco, Tunisia,Algeria kuwepo bara LA Africa ni mbinu za wazungu ili Africa isiwe na umojaHuyo mchezaji amekuja kusakafia tu, lakini so many times Morocco hata viongozi wao na wananchi wa kawaida hawapendi kuitwa wa Africa, huyo mchezaji hakusema huu ushindi uende kwa wa Africa... Alisema Arabs na Muslims
Leta ushahid wapi aliutaja UislamLakini si waliweka wazi ushindi wao ni kwa ajili ya Arabs na Waislamu wote Duniani.
Hata akiomba msamaha Mara 1000 ukweli ni ukweli tu Waarabu sio Weusi hivyo sio waafrica by nature.Alishaomba msamaha , kauli imetoka kwa mtu mmoja tena sio msemaji wa timu wala kocha.
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706] ningekutus bas tu.Hao siyo waafrica ni waislamu na waarabu hatuwapendi
Waislam ni wabaguzi hilo lipo wazi na halina discussion.Leta ushahid wapi aliutaja Uislam
Mbona hii nchi raia wake ni wehu kias hiki [emoji15]
By nature unamaanisha nn wew?Hata akiomba msamaha Mara 1000 ukweli ni ukweli tu Waarabu sio Weusi hivyo sio waafrica by nature.
Lakini si waliweka wazi ushindi wao ni kwa ajili ya Arabs na Waislamu wote Duniani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii nchi ban.Em ngoja nkuulize wew uislam unaufaham vp?Waislam ni wabaguzi hilo lipo wazi na halina discussion.
Boss unalazimisha sababu kuna watu wanangalia matamanio halisi ya wamoroco na sio eneo walilopo.Akuna anaelazimisha jambo ila ukweli utabaki kuwa ukweli Morocco ni Waafrika wenye asili ya kiarabu
Hapo ndio point ya msingi,walipitia mashindano ya kupata mwakilishi kupitia Afrika na siyo vingine.hao ni waafrika walio fuzu kupitia michuano ya Afrika ndipo wakaenda kombe la dunia.
wasinge pitia mchujo wa mashindano ya timu za Afrika wasinge fika hapo walipo.
ni waafrika wenzetu hilo ndio la msingi.
Ucha upotoshaji Uafrika ni rangi,Mipaka ya mabara na Nchi ilitokana na kushabihana kwa jamii husika.Ndio maana MTU yoyote mweusi ana be regarded as Mwafrika by nature hata ukizaliwa France au Russia.Nimekua nikiona mada za aina hii, naona wote wanaobisha Morocco hawapo Africa, namuona pimbi.
Swali la msingi? Kwani Uafrika ni nini? Rangi, kama ndio na wale weusi waliopo France, Belgium, Papua Guinea, South American Countries je wote ni waafrika?
Au weupe waliopo humi Afrika, je wote ni waafrika?
Ili iwe Muafrika, inabidi nchi yako iwe ndani ya bara hili regardless ya Rangi, Kimo, nywele au unene?
Afrika, tutambue uafrika sio rangi.
Kwani Afrika inaanzia wapi Hadi useme hawako karibu na Afrika?Hao sio waafrika ni waarabu wabaguzi wa kidini na kirangi pia uko ulaya waliwakataaa ndio maana wapo Africa ila geographically wako karibu na ulaya kuliko africa
Hawa hawa wanaoituhum Morocco kuomba kujiunga ulaya ndo hawa hawa wanaotaman bora wakae homeless ulaya [emoji23][emoji23][emoji23].SAS kama ngoz nyeus kila siku zinakimbilia ulaya sembuse wa MoroccoBoss unalazimisha sababu kuna watu wanangalia matamanio halisi ya wamoroco na sio eneo walilopo.
Moroco ni waafrika wenye asili ya kiarabu na tamaa ya kutokuwa sehemu ya Afrika. Ni sawa na mzazi asiyetaka kuwa mzazi, anabaki kuwa mzazi kibiolojia ila anaacha alama ya utambulisho kihistoria ya nia yake halisi.
Mwaka 1987, kama sio kukataliwa kwa sababu za kijiografia leo wangekua sehemu ya umoja wa Ulaya. Sasa kama baadhi ya mashabiki wanaona hii ni sababu tosha ya kutowachukulia kama waafrika katika soka na ww hutaki hapo ni unalazimisha.
"In 1987, Morocco applied to join the European Communities (the precursor to the European Union). The application was rejected on the grounds that Morocco was not considered to be a "European country" and hence could not join."
Tupo kwenye ulimwengu wa Soka. Hakuna mtu anayelalamika morocco kutaka kuwa ulaya sababu ni maslahi yao ila katika soka ni suala la ushabiki katika kuchagua wapi ushabikie na kufurahi nao wanaposhinda na kinyume chake.Hawa hawa wanaoituhum Morocco kuomba kujiunga ulaya ndo hawa hawa wanaotaman bora wakae homeless ulaya [emoji23][emoji23][emoji23].SAS kama ngoz nyeus kila siku zinakimbilia ulaya sembuse wa Morocco