Linapita katikati mwa Dar sluum 2.9 km? πππumeona hilo daraja lakisasa linalopita katikati ya dar urefu wake ni 2.9kmππππ
magu atawatoa roho aiseeLinapita katikati mwa Dar sluum 2.9 km? πππ
magu ni moto heheh amewanyima kabisa usingizi wakenya na wametoa 146billion kwa ajili ya ujenzi wa chuo kikuu cha usafirishaji tanzania ni fireHahaha wachina wamesema wanafanya feasibility study kwa pesa zao wenyewe zaidi ya billion 3 (bure) kutoka Dodoma mpaka Mwanza na kutoka Tabora mpaka Kigoma na Mpanda then ujenzi utaanza on the spot
Tanzania tunabembelezwa mpaka kero
Hizi tuliona last year kwani vyuma vilikaza na kibakuli kutoboka?magu atawatoa roho aisee
View attachment 781738
Sleepers za reli Dar mpaka moro wekeni video zake kama picha hamna.
Tunaelekea Kisumu nyinyi bado Dar hamjaanza sasa Nani mpika changaa?Kazi inaendelea kulingana na work schedule. Contractor huwa na timelines za kufuata na mpango wa kufanya kazi.
You cannot plan to do a steam engine rail, then midway, you change to electric rail without planning. Such things only happens in failed states.
Wewe mtu wa kupkia mungiki changaa unaelewa nini kweli?
Hulalaa wakenya lazima waisomemagu ni moto heheh amewanyima kabisa usingizi wakenya na wametoa 146billion kwa ajili ya ujenzi wa chuo kikuu cha usafirishaji tanzania ni fire
Hawana bundles, safaricom anawapiga balaa.Hahaha.. Sasa video na picha kipi kizuri, Ama kweli Ukizaliwa MKENYA ni hasara Duniani
kisumu ya wapi munajenga kutoka nairobi to naivasha 90km nilitegemea munajenga about 300km kumbe 90km masikini au mumeanza kunusa haruufu ya white elephantππππTunaelekea Kisumu nyinyi bado Dar hamjaanza sasa Nani mpika changaa?
uliona lini ??? hilo daraja limeanza mwaka huu mwezi uliopitaππππHizi tuliona last year kwani vyuma vilikaza na kibakuli kutoboka?
Reli yetu ni 600km n yenyu ni 0km hata kama hauna akili ni wazi kuwa ya Wadanganyika ni white elephant. Ati mnajenga bullet train ya kubebea mizigo??? ππππ na umeme wa 1350MW?? πππ na deni ya $20 billion nusu ya gdp yenyu??? πππ na Nchi yenyewe LDC?? πππ na benki ya CDRB inapumulia kwenye mashine??? πππ na 92% ya Dar Sluum ni Slum? πππ na barabara tarmacked ni 1500km only?? πππ pipeline mnawangoja maskini wenzenu waganda wawajengee??? πππ na Dangote anazifunga viwanda Nchi ya viwonder?? πππ Bandari ya Bagamoyo je πππ na zile skyscrapers zenu tatu naskia hazina wateja wakuzikodisha πππkisumu ya wapi munajenga kutoka nairobi to naivasha 90km nilitegemea munajenga about 300km kumbe 90km masikini au mumeanza kunusa haruufu ya white elephantππππ
Aa wapi Mchina kakataa kuwapa Kshs 38 bln kumalizia Nrb-Naivasha.Tunaelekea Kisumu nyinyi bado Dar hamjaanza sasa Nani mpika changaa?
Wanahisi tupo unemployed kiasi cha kwenda kuwa tumapiga picha Ujenzi wa SGRππ Ukisikia zero brain ndo huyoππHahaha.. Sasa video na picha kipi kizuri, Ama kweli Ukizaliwa MKENYA ni hasara Duniani
Zero brain Mwasiti atakwambia haoniππmagu hataniiππππ
View attachment 781730 View attachment 781729
View attachment 781733 View attachment 781734
malory yana chimba mashino sasa ndio wanaita phase 1 hahahahaSleepers za reli Dar mpaka moro wekeni video zake kama picha hamna.
Hizo pesa tumepewa bure sio msaadaπππ Hapo ndipo wanazidi kuchanganikiwa ikiwa wao mchina anawapiga cha juuπππ[emoji23][emoji23][emoji23] Utawala huu hautawaacha Wana KIBERA salama .. Magu kawatia kichaa
Uliambiwa reli inajengwa kama barabara ?? πππ Muda simrefu ukiona sleepers utaomba trainππ Mwanzo ulianza na concreteππ Zero brain in the makingππSleepers za reli Dar mpaka moro wekeni video zake kama picha hamna.
Akulipe kwa darasa ulilompa huyo Zero BrainππNigga masasit
Video ni picha mingi zinachezwa kwa haraka in succession π
Hamna tofauti kubwa kati ya video na picha.
You can even pause a video and stare at one instance of a picture in the video for a whole day. Even more, you can extract that same image (Unaelewa maana ya screenshot??)
Unaelewa kweli maana ya 30 fps or 60fps video?
Aisee jamaa katoa povu kwenye matundu yoteππ Mume wahi ona mtoto akigombona na mwenzake anavyotoa claims nyingi ?? ππ Ndo zero brain kawa leoππJamaa kawa kama mtotoπReli yetu ni 600km n yenyu ni 0km hata kama hauna akili ni wazi kuwa ya Wadanganyika ni white elephant. Ati mnajenga bullet train ya kubebea mizigo??? ππππ na umeme wa 1350MW?? πππ na deni ya $20 billion nusu ya gdp yenyu??? πππ na Nchi yenyewe LDC?? πππ na benki ya CDRB inapumulia kwenye mashine??? πππ na 92% ya Dar Sluum ni Slum? πππ na barabara tarmacked ni 1500km only?? πππ pipeline mnawangoja maskini wenzenu waganda wawajengee??? πππ na Dangote anazifunga viwanda Nchi ya viwonder?? πππ Bandari ya Bagamoyo je πππ na zile skyscrapers zenu tatu naskia hazina wateja wakuzikodisha πππ