Afumwa akifanya mapenzi ofisini

Afumwa akifanya mapenzi ofisini

Wandugu habari za kazi,

Natumaini mpo poa na mnaendelea kuchapa kazi kwa maaendeleo ya taifa letu.

Leo kumetokea kituko cha mwaka ofisi kwetu yaani mpaka dakika hii bado ni gumzo.

Kuna mdada nafanya nae kazi hapa ni mtu mzima ameolewa na ana watoto wawili.

Cha kushangaza leo namuona mumewe kaja ofisini bila taarifa akamuulizia mkewe, kipindi hicho mkewe alikuwa ametoka Ila hakuna aliyejua alipokuwa. Baada ya sisi kumjibu jamaa hatujui mkewe alipo, jamaa akaniomba nimpeleke kwa bosi kwani anashida nae nikampeleka, Ile kuingia tu namkuta bosi anakula uroda na mke wa jamaa.

Jamaa kuona vile alibutwaa kama dakk kadhaa akawaamuru waendelee kupeana raha, wakati wanashaanga hawataki kuendelea jamaa akatoa bastola akawamuru waendelee vinginevyo atawaua kuona bastola bosi ikabidi aendelee kula mzigo, jamaa akawapiga picha then akaita staff waje kushuhudia uchafu ule.

Kwa kweli sikuamini nilichokiona, siyo siri staff nzima imejionea.. Jamaa alipomaliza kupiga picha akaingia kwenye gari lake akaenda zake. Huku ameacha mtafaruku wa Hali ya juu, namuonea huruma sana shoga yangu sijui kama anandoa tena. Nitawajuza kitakachojiri baada ya hapa.

XxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxX

Mrejesho:

Mwanamke aliyefumaniwa na mumewe leo asubuhi amekunywa sumu kujaribu kujiua kuepuka aibu.

Alitoka ofisini mida ya saa tano baada ya baadhi ya staff kumshauri akatafute wazee aende nao wakamuombee msamaha kwa mumewe.

Badala yake alikwenda kwa dada yake akiwa tayari kanunua vidonge ambavyo idadi yake haikufahamika, alipofika kwa Dada yake maeneo ya sinza alimkuta msichana wa kazi tu maana Dada yake ni muajiriwa.

Alimuagiza amletee safari dukani kisha akainywa na kumeza vidonge.

Kwa mujibu wa Dada wa kazi baada ya kunywa alikwenda kulala huku yeye akiendelea kuandaaa chakula.

Chakula kilipokuwa tayari alikwenda kumuasha ili ale ndipo akakuta anakoroma huku povu latoka mdomoni, akaomba msaada kwa majirani wakamkimbiza hospital mida ya saa kumi.

Hivi ninavyozungumza amekimbizwa hospital kwa matibabu zaidi.
monicca umeolewa?
 
bado wanadamu hawajui kuna nini nyuma ya matukio kama haya.

kuna siri kubwa juu ya hisia au mtu kupata wazo juu ya jambo fulani na kumbe jambo hilo linatokea?

mwanaume huyu mpaka kuja ofisini, tena kaja na kana kwamba anajua kinachotokea na mambo haya yanatokea mengi katika jamii bila watu kupewa taarifa na walioko maeneo ya matukio.

wapo wengine anaweza kuijiwa na hisia juu ya jambo mfano kunatokea jambo baya kwa jamaa wa mtu alafu watu walioko mbali wanaanza kupata ama hisia au ishara au wakati mwingine kujisikia hawana furaha hata kabla hawajapata taarifa.

kukwambia ukweli wakati mwingine huyu dada aliyekumbana na tukio kama hili inaweza kuwa hana tabia za kuchepuka ila siku moja anasikia hisia zinamzidi anafanya tukio la ajabu linasababisha wanaochepuka kila siku kumcheka.

kuna siri gani juu ya matukio kama haya?

ki msingi kuna siri kubwa nyuma ya matukio kama haya au mengine ya namna hii kama tuliosikia kule mara watu wanaingiwa na hisia na kuwaua watu wakiamini hisia zao kuwa ndio wanawakwamisha ua kuwaroga. kuna nini nyuma ya hisia? kuna nini nyuma ya hisia mpaka mtu anaamini anaweza kupata utajiri kwa kutumia kiungo cha albino?

ki msingi kuna siri kubwa nyuma ya hisia but unfortunately our "proffessors kutoka UD wamegoma kulet watu ku uncover what is behind" bado wao wanaamini katika madesa ya kutoka ng'ambo ya maji.

lakini huyu dada ni victim na kwa wakati huu si swala la kumcheka bali kumfariji ili kumuondolea sychological stress.

Wandugu habari za kazi,

Natumaini mpo poa na mnaendelea kuchapa kazi kwa maaendeleo ya taifa letu.

Leo kumetokea kituko cha mwaka ofisi kwetu yaani mpaka dakika hii bado ni gumzo.

Kuna mdada nafanya nae kazi hapa ni mtu mzima ameolewa na ana watoto wawili.

Cha kushangaza leo namuona mumewe kaja ofisini bila taarifa akamuulizia mkewe, kipindi hicho mkewe alikuwa ametoka Ila hakuna aliyejua alipokuwa. Baada ya sisi kumjibu jamaa hatujui mkewe alipo, jamaa akaniomba nimpeleke kwa bosi kwani anashida nae nikampeleka, Ile kuingia tu namkuta bosi anakula uroda na mke wa jamaa.

Jamaa kuona vile alibutwaa kama dakk kadhaa akawaamuru waendelee kupeana raha, wakati wanashaanga hawataki kuendelea jamaa akatoa bastola akawamuru waendelee vinginevyo atawaua kuona bastola bosi ikabidi aendelee kula mzigo, jamaa akawapiga picha then akaita staff waje kushuhudia uchafu ule.

Kwa kweli sikuamini nilichokiona, siyo siri staff nzima imejionea.. Jamaa alipomaliza kupiga picha akaingia kwenye gari lake akaenda zake. Huku ameacha mtafaruku wa Hali ya juu, namuonea huruma sana shoga yangu sijui kama anandoa tena. Nitawajuza kitakachojiri baada ya hapa.

XxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxX

Mrejesho:

Mwanamke aliyefumaniwa na mumewe leo asubuhi amekunywa sumu kujaribu kujiua kuepuka aibu.

Alitoka ofisini mida ya saa tano baada ya baadhi ya staff kumshauri akatafute wazee aende nao wakamuombee msamaha kwa mumewe.

Badala yake alikwenda kwa dada yake akiwa tayari kanunua vidonge ambavyo idadi yake haikufahamika, alipofika kwa Dada yake maeneo ya sinza alimkuta msichana wa kazi tu maana Dada yake ni muajiriwa.

Alimuagiza amletee safari dukani kisha akainywa na kumeza vidonge.

Kwa mujibu wa Dada wa kazi baada ya kunywa alikwenda kulala huku yeye akiendelea kuandaaa chakula.

Chakula kilipokuwa tayari alikwenda kumuasha ili ale ndipo akakuta anakoroma huku povu latoka mdomoni, akaomba msaada kwa majirani wakamkimbiza hospital mida ya saa kumi.

Hivi ninavyozungumza amekimbizwa hospital kwa matibabu zaidi.
 
Whether is fake or cooked all these are non of your business you man like woman.
Hii hapana, usikasirike wakati wa kutoa hoja, jaribu kukubaliana naye kutokubaliana. Hapa JF watu wanaleta taarifa ila wanavyoshushuliwa unatamani ardhi ipasuke ila likija kuwa ni sahihi sioni wanao omba msamaha. Mpotezee tu
 
Hii hapana, usikasirike wakati wa kutoa hoja, jaribu kukubaliana naye kutokubaliana. Hapa JF watu wanaleta taarifa ila wanavyoshushuliwa unatamani ardhi ipasuke ila likija kuwa ni sahihi sioni wanao omba msamaha. Mpotezee tu
Hakuna aliyekasirika..ukija kihuni utabiwa kulingana na ulivyokuja..ukija kwa adabu halikadharika.
Haya ni haki take kulingana na mashauzi yake..wengine mishipa ya aibu ilishakatika zamani.
 
Back
Top Bottom