Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala siwajui nimeamua tu nikueleze ili uacha hiyo tabia uliyo nayo ni mbaya uache tabia ya uchakumbimbi maana ninakuonea huruma gharama ya haya mambo unayoyafanya itakuwa ni kubwa na ipo siku utakumbuka haya maneno ninayokueleza.Au umemind mzigo? Pole sana.
Ni mtu mnafiki na mpenda majungu ndiyo maana ninakushauri narudia tena ninakushauri acha kushabikia mambo yasiyo kuhusu na kuyatangazaUjinga wako unakimbilia kwenye conclusion wakati hujui yaliyo nyuma ya pazia..tatazo langu mi ni mkweli kwako
Ila tabia ya kufanya mapenzi ofisini ni nzuri et? Wakugharimika siyo Mimi ni mfumaniwa kama kinakuuma watafute uwaambie au ni PM nikupe namba zao uwaambie..sibabaishwi na nyau yyte mjini hapa. By the way niliajiriwa kwa taaluma yangu wa si huruma ya bosiWala siwajui nimeamua tu nikueleze ili uacha hiyo tabia uliyo nayo ni mbaya uache tabia ya uchakumbimbi maana ninakuonea huruma gharama ya haya mambo unayoyafanya itakuwa ni kubwa na ipo siku utakumbuka haya maneno ninayokueleza.
Subiri siku nikikuomba ushauri ndiyo unishauri, kwa sasa sihitaji ushauri wako plz...emu pita bhana unanuka kwapa.Ni mtu mnafiki na mpenda majungu ndiyo maana ninakushauri narudia tena ninakushauri acha kushabikia mambo yasiyo kuhusu na kuyatangaza
Subiri siku nikikuomba ushauri ndiyo unishauri, kwa sasa sihitaji ushauri wako plz...emu pita bhana unanuka kwapa.Ni mtu mnafiki na mpenda majungu ndiyo maana ninakushauri narudia tena ninakushauri acha kushabikia mambo yasiyo kuhusu na kuyatangaza
Tulia bint wewe bado mdogo kuna watu wengi wana taaluma na wako mtaani by the way kugharamika siyo kukosa kazi gharama za ni nyingi na pole nimefika mwisho mwenye macha haambiwi tazamaIla tabia ya kufanya mapenzi ofisini ni nzuri et? Wakugharimika siyo Mimi ni mfumaniwa kama kinakuuma watafute uwaambie au ni PM nikupe namba zao uwaambie..sibabaishwi na nyau yyte mjini hapa. By the way niliajiriwa kwa taaluma yangu wa si huruma ya bosi
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125]Kakojoe ukalale huko, tena uwahi mapema
imbombo ngafuAngewapiga masasi tuu
Naomba updates mpya zikitoka unitag mtoto mzuri, remember that!Sasa anaendelea vzr na ameruhusiwa jioni hii
Okay Momy! Keep it coming!Ninazo but nimechoka kuandika ntatupia kesho
Nani kakwambia bado alikuwa mke wake...Kwa hiyo jamaa kaangalia mkewe akibanjuliwa kuna wanaume wanamoyo