Afungiwa na Maiti Chooni Siku 3

Afungiwa na Maiti Chooni Siku 3

Oldmantz

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2023
Posts
704
Reaction score
1,457
Screenshot-2024-06-06-at-11.55.31.png


Mwanamke mmoja Raia wa Kenya ajulikanaye kwa Jina la Beatrice Mutuku asimuklia yaliyomkuta Nchini Saudi Arabia alipoenda kufanya kazi za ndani, Beatrice anadai kwenye nyumba hiyo aliyokuwa akifanya kazi alimkuta mfanyakazi mwengine aitwaye Sharmin ambaye Bosi wake alidaiwa kumuua.

“Bosi wangu alikuwa ananifungia muda wowote anatoka nyumbani, nilikuwa nafanya kazi na mwanadada mwingine nikimuuguza mtoto wa bosi wangu, siku moja nilisikia sauti, baadaye nilisikia mtoto akilia, nikamuita mwenzangu, lakini hakujibu kisha akanijibu huku akiogopa na kuniambia atakufa siku hiyo kisha nikasikia mlango ukigongwa kwa nguvu na sikumsikia tena yule binti,” alikumbuka vyema”

Beatrice alisema mlango wake ulifunguliwa ghafla, na kumuona mtoto akivuja damu, huku mfanyakazi mwenzake (Sharmin) akiwa amelala chini.

“Bosi na Mkewe walitoa mtoto nje ya nyumba na wakaniambia mwili wa mwenzangu Sharmin niupeleke Chooni” alisema Beatrice.

“Haikuniingilia akilini kuwa Bosi anaweza kumfanyia Sharmin kitu kama kile, Sharmin alilala pale chini, nilianza kuwaza kwanini Sharmini haonekani anapumua na kwanini walikuwa wakiniita badala yake, nilijaribu kuita jina lake kwa sauti ya chinichini kwa sababu niliogopa kumchunguza mbele ya Bosi na Mkewe lakini niliogopa Beatrice anasema.

Beatrice alisita kuubeba mwili huo hadi chooni kwa sababu alihofia angeweza kuacha alama za Vidole vyake kwenye mwili wa Sharmin na nguo zake.

Beatrice aliogopa maana sauti ya kwanza aliyosikia ilikuwa ni Mlio wa Risasi kwani Sharmin alikuwa kimya kwa muda, licha ya hofu yake Beatrice aliuvuta mwili baada ya kupigwa bila huruma na Bosi huyo katili.

“Waliponiomba nimvute Sharmin nilimvuta na mara moja nikiwa chooni nilifungiwa naye, alikuwa ni binti mdogo tu hana hata mtoto. nilikaa hapo kwa muda wa siku tatu na mwili huo hadi ukaanza kupata harufu, kwa kweli, nilikuwa nikinywa maji ya chooni, na sikuweza hata kulala, na hadi sasa, nina picha hiyo akilini,” alisimulia Beatrice.

Baada ya Siku tatu Bosi wake ambaye siku hizo hakuwepo nyumbani na Familia yake, alifika kwa ajili yake na kumpa masharti Magumu kabla ya kuachiwa huru, jambo embalo alikubali kwa usalama wake.

Chanzo: BONGO 5
 
KWANINI SERIKALI YA SAUDIA INAKUMBATIA UAJI HUO?AU WAKIMWUA MTU MWEUSI NI SAWA NAKUA KUKU?JE WATUHUMIWA WANASHITAKIWA?JE NI KWANINI SERIKALI ZETU ZPO KIMYA KWA HAYO MAUAJI HAYO WA MABINTI AMBAO HAWANA HATIA?
 
Muislamu ndugu yake muislamu
Walisikika walevi wa dini wakisema.

Whites wote mtu mweusi kwao ni kama nzi tu,
Tukiwapanga nani anaongoza kwa ukatili kwa mweusi itakuwa hivi.
1: Mwarabu
2: Muhindi
3:Mchina
4: mzungu
5: whites wengineo.

Ila hapo kwenye 2 na 3 inaweza tatu ikawa mbili au mbili ikawa tatu.

Blacks tuache Shobo na hao watu
 
Muislamu ndugu yake muislamu
Walisikika walevi wa dini wakisema.

Whites wote mtu mweusi kwao ni kama nzi tu,
Tukiwapanga nani anaongoza kwa ukatili kwa mweusi itakuwa hivi.
1: Mwarabu
2: Muhindi
3:Mchina
4: mzungu
5: whites wengineo.

Ila hapo kwenye 2 na 3 inaweza tatu ikawa mbili au mbili ikawa tatu.

Blacks tuache Shobo na hao watu
TRUE
 
Screenshot-2024-06-06-at-11.55.31.png


Mwanamke mmoja Raia wa Kenya ajulikanaye kwa Jina la Beatrice Mutuku asimuklia yaliyomkuta Nchini Saudi Arabia alipoenda kufanya kazi za ndani, Beatrice anadai kwenye nyumba hiyo aliyokuwa akifanya kazi alimkuta mfanyakazi mwengine aitwaye Sharmin ambaye Bosi wake alidaiwa kumuua.

“Bosi wangu alikuwa ananifungia muda wowote anatoka nyumbani, nilikuwa nafanya kazi na mwanadada mwingine nikimuuguza mtoto wa bosi wangu, siku moja nilisikia sauti, baadaye nilisikia mtoto akilia, nikamuita mwenzangu, lakini hakujibu kisha akanijibu huku akiogopa na kuniambia atakufa siku hiyo kisha nikasikia mlango ukigongwa kwa nguvu na sikumsikia tena yule binti,” alikumbuka vyema”

Beatrice alisema mlango wake ulifunguliwa ghafla, na kumuona mtoto akivuja damu, huku mfanyakazi mwenzake (Sharmin) akiwa amelala chini.

“Bosi na Mkewe walitoa mtoto nje ya nyumba na wakaniambia mwili wa mwenzangu Sharmin niupeleke Chooni” alisema Beatrice.

“Haikuniingilia akilini kuwa Bosi anaweza kumfanyia Sharmin kitu kama kile, Sharmin alilala pale chini, nilianza kuwaza kwanini Sharmini haonekani anapumua na kwanini walikuwa wakiniita badala yake, nilijaribu kuita jina lake kwa sauti ya chinichini kwa sababu niliogopa kumchunguza mbele ya Bosi na Mkewe lakini niliogopa Beatrice anasema.

Beatrice alisita kuubeba mwili huo hadi chooni kwa sababu alihofia angeweza kuacha alama za Vidole vyake kwenye mwili wa Sharmin na nguo zake.

Beatrice aliogopa maana sauti ya kwanza aliyosikia ilikuwa ni Mlio wa Risasi kwani Sharmin alikuwa kimya kwa muda, licha ya hofu yake Beatrice aliuvuta mwili baada ya kupigwa bila huruma na Bosi huyo katili.

“Waliponiomba nimvute Sharmin nilimvuta na mara moja nikiwa chooni nilifungiwa naye, alikuwa ni binti mdogo tu hana hata mtoto. nilikaa hapo kwa muda wa siku tatu na mwili huo hadi ukaanza kupata harufu, kwa kweli, nilikuwa nikinywa maji ya chooni, na sikuweza hata kulala, na hadi sasa, nina picha hiyo akilini,” alisimulia Beatrice.

Baada ya Siku tatu Bosi wake ambaye siku hizo hakuwepo nyumbani na Familia yake, alifika kwa ajili yake na kumpa masharti Magumu kabla ya kuachiwa huru, jambo embalo alikubali kwa usalama wake.

Chanzo: BONGO 5
Kuna siku niliona tangazo la fursa za kazi nchini Saudi Arabia likitangazwa kule Tanganyika,hivi kuna watu walizichangamkia?
 
Tuache shobo na race zisizotuhusu, muarabu ndugu yake muarabu, Mhindi ndugu yake Mhindi, Mzungu ndugu yake mzungu, mwafrica ndugu yake mwafrica.

Haya mambo yakuwashobokea na kuwakaribisha kwenye nchi zetu ilihali huko kwao sisi tunaonekana wapumbavu ndio yanawafanya kutuona wapumbavu.

Sisi tunabaguliwa halafu tumekazana tuko busy eti kupinga ubaguzi na sio na sisi kuanza ubaguzi wa kwa mtu mweupe.

Tuanze tu kuweka nasisi Sheria zetu ngumu za kibaguzi kama, marufuku Mzungu, Mhindi, Muarabu kuoa au kuoelewa na mtu mweusi, marufuku Mzungu, Mhindi au muarabu kumiliki ardhi Africa, biashara yeyote anayofanya Mzungu, Mhindi au muarabu Africa basi nusu na robo ya faida ni mali ya Africa inapaswa kubaki hapa.

Tuanze kufungua kesi kwa waarabu wote, wahindi wote na Wazungu wote walioshiriki kuwauza mababu zetu utumwani, tufungue makesi kwa nchi zote zilizowahi kuikoloni Africa, tulipwe mafidia na malipo ya resources walizochukua Africa.

Walowezi wote eti sijui waarabu wa Kigoma mara Tanga, mara wahindi wa kisarawe sijui Bukoba mara Mzungu sijui wa Mbeya mara Kayavi hawa wote ni wanyonya damu tu na wanatuenjoy tu ( SIO WAAMINIFU KWA AFRICA) hawa wasitambuliwe kama WaAfrica sio walowezi wanapaswa kuishi na passport za kwao kwenye original yao au warudi makwao na hakuna kutambulika eti ni WaAfrica sijui watanzania bali waishi kama wageni wengine.
 
nipo Qatar. niseme ukweli kazi za ndani wema ni 1/10, walau sasa mambo yameratibiwa chini ya taesa. kazi za ndani nchi kama philippines ilishapiga marufuku watu wake kufanya kazi uarabuni. fanya kazi zingine lakini sio za ndani. jamaa bado wako mbali na ustaraabu wa kuheshimu domestic workers.
 
Wewe roho nzuri umerithi kwa nani?
TAFUTA HISTORIA YA ALAH.HAWA JAMAA NI MANYANG`AU HAWAFAI.ROHO YA UPENDO TUMERITHI KWA BABU ZETU NA MUNGU WETU MKUU MUUMBA WA [/QUOTE]TAFUTA HISTORIA YA ALAH.HAWA JAMAA NI MANYANG`AU HAWAFAI.ROHO YA UPENDO TUMERITHI KWA BABU ZETU NA MUNGU WETU MKUU MUUMBA WA VYOTE
 
TAFUTA HISTORIA YA ALAH.HAWA JAMAA NI MANYANG`AU HAWAFAI.ROHO YA UPENDO TUMERITHI KWA BABU ZETU NA MUNGU WETU MKUU MUUMBA WA
TAFUTA HISTORIA YA ALAH.HAWA JAMAA NI MANYANG`AU HAWAFAI.ROHO YA UPENDO TUMERITHI KWA BABU ZETU NA MUNGU WETU MKUU MUUMBA WA VYOTE
[/QUOTE]
Biblia unaijua?
 
Screenshot-2024-06-06-at-11.55.31.png


Mwanamke mmoja Raia wa Kenya ajulikanaye kwa Jina la Beatrice Mutuku asimuklia yaliyomkuta Nchini Saudi Arabia alipoenda kufanya kazi za ndani, Beatrice anadai kwenye nyumba hiyo aliyokuwa akifanya kazi alimkuta mfanyakazi mwengine aitwaye Sharmin ambaye Bosi wake alidaiwa kumuua.

“Bosi wangu alikuwa ananifungia muda wowote anatoka nyumbani, nilikuwa nafanya kazi na mwanadada mwingine nikimuuguza mtoto wa bosi wangu, siku moja nilisikia sauti, baadaye nilisikia mtoto akilia, nikamuita mwenzangu, lakini hakujibu kisha akanijibu huku akiogopa na kuniambia atakufa siku hiyo kisha nikasikia mlango ukigongwa kwa nguvu na sikumsikia tena yule binti,” alikumbuka vyema”

Beatrice alisema mlango wake ulifunguliwa ghafla, na kumuona mtoto akivuja damu, huku mfanyakazi mwenzake (Sharmin) akiwa amelala chini.

“Bosi na Mkewe walitoa mtoto nje ya nyumba na wakaniambia mwili wa mwenzangu Sharmin niupeleke Chooni” alisema Beatrice.

“Haikuniingilia akilini kuwa Bosi anaweza kumfanyia Sharmin kitu kama kile, Sharmin alilala pale chini, nilianza kuwaza kwanini Sharmini haonekani anapumua na kwanini walikuwa wakiniita badala yake, nilijaribu kuita jina lake kwa sauti ya chinichini kwa sababu niliogopa kumchunguza mbele ya Bosi na Mkewe lakini niliogopa Beatrice anasema.

Beatrice alisita kuubeba mwili huo hadi chooni kwa sababu alihofia angeweza kuacha alama za Vidole vyake kwenye mwili wa Sharmin na nguo zake.

Beatrice aliogopa maana sauti ya kwanza aliyosikia ilikuwa ni Mlio wa Risasi kwani Sharmin alikuwa kimya kwa muda, licha ya hofu yake Beatrice aliuvuta mwili baada ya kupigwa bila huruma na Bosi huyo katili.

“Waliponiomba nimvute Sharmin nilimvuta na mara moja nikiwa chooni nilifungiwa naye, alikuwa ni binti mdogo tu hana hata mtoto. nilikaa hapo kwa muda wa siku tatu na mwili huo hadi ukaanza kupata harufu, kwa kweli, nilikuwa nikinywa maji ya chooni, na sikuweza hata kulala, na hadi sasa, nina picha hiyo akilini,” alisimulia Beatrice.

Baada ya Siku tatu Bosi wake ambaye siku hizo hakuwepo nyumbani na Familia yake, alifika kwa ajili yake na kumpa masharti Magumu kabla ya kuachiwa huru, jambo embalo alikubali kwa usalama wake.

Chanzo: BONGO 5
Niliona simulizi yake. Inasikitisha sana. Waarabu ni makatili kweli kweli. Kuna mwingine alisema yeye alifungua friji ya chumba ambacho alikuwa amekatazwa kwenda, akakuta kiwiliwili cha mwanamke.
 
Tuache shobo na race zisizotuhusu, muarabu ndugu yake muarabu, Mhindi ndugu yake Mhindi, Mzungu ndugu yake mzungu, mwafrica ndugu yake mwafrica.

Haya mambo yakuwashobokea na kuwakaribisha kwenye nchi zetu ilihali huko kwao sisi tunaonekana wapumbavu ndio yanawafanya kutuona wapumbavu.

Sisi tunabaguliwa halafu tumekazana tuko busy eti kupinga ubaguzi na sio na sisi kuanza ubaguzi wa kwa mtu mweupe.

Tuanze tu kuweka nasisi Sheria zetu ngumu za kibaguzi kama, marufuku Mzungu, Mhindi, Muarabu kuoa au kuoelewa na mtu mweusi, marufuku Mzungu, Mhindi au muarabu kumiliki ardhi Africa, biashara yeyote anayofanya Mzungu, Mhindi au muarabu Africa basi nusu na robo ya faida ni mali ya Africa inapaswa kubaki hapa.

Tuanze kufungua kesi kwa waarabu wote, wahindi wote na Wazungu wote walioshiriki kuwauza mababu zetu utumwani, tufungue makesi kwa nchi zote zilizowahi kuikoloni Africa, tulipwe mafidia na malipo ya resources walizochukua Africa.

Walowezi wote eti sijui waarabu wa Kigoma mara Tanga, mara wahindi wa kisarawe sijui Bukoba mara Mzungu sijui wa Mbeya mara Kayavi hawa wote ni wanyonya damu tu na wanatuenjoy tu ( SIO WAAMINIFU KWA AFRICA) hawa wasitambuliwe kama WaAfrica sio walowezi wanapaswa kuishi na passport za kwao kwenye original yao au warudi makwao na hakuna kutambulika eti ni WaAfrica sijui watanzania bali waishi kama wageni wengine.
Hivi pale kigali rwanda sio africa?vipi hawakuwa ndugu wale?
 
Back
Top Bottom