Afungiwa na Maiti Chooni Siku 3

Afungiwa na Maiti Chooni Siku 3

Tuache shobo na race zisizotuhusu, muarabu ndugu yake muarabu, Mhindi ndugu yake Mhindi, Mzungu ndugu yake mzungu, mwafrica ndugu yake mwafrica.

Haya mambo yakuwashobokea na kuwakaribisha kwenye nchi zetu ilihali huko kwao sisi tunaonekana wapumbavu ndio yanawafanya kutuona wapumbavu.

Sisi tunabaguliwa halafu tumekazana tuko busy eti kupinga ubaguzi na sio na sisi kuanza ubaguzi wa kwa mtu mweupe.

Tuanze tu kuweka nasisi Sheria zetu ngumu za kibaguzi kama, marufuku Mzungu, Mhindi, Muarabu kuoa au kuoelewa na mtu mweusi, marufuku Mzungu, Mhindi au muarabu kumiliki ardhi Africa, biashara yeyote anayofanya Mzungu, Mhindi au muarabu Africa basi nusu na robo ya faida ni mali ya Africa inapaswa kubaki hapa.

Tuanze kufungua kesi kwa waarabu wote, wahindi wote na Wazungu wote walioshiriki kuwauza mababu zetu utumwani, tufungue makesi kwa nchi zote zilizowahi kuikoloni Africa, tulipwe mafidia na malipo ya resources walizochukua Africa.

Walowezi wote eti sijui waarabu wa Kigoma mara Tanga, mara wahindi wa kisarawe sijui Bukoba mara Mzungu sijui wa Mbeya mara Kayavi hawa wote ni wanyonya damu tu na wanatuenjoy tu ( SIO WAAMINIFU KWA AFRICA) hawa wasitambuliwe kama WaAfrica sio walowezi wanapaswa kuishi na passport za kwao kwenye original yao au warudi makwao na hakuna kutambulika eti ni WaAfrica sijui watanzania bali waishi kama wageni wengine.
Uko sahihi lakini masikini hawezi kumuwekea masharti tajiri
 
Arabuni wafanyakazi wa ndani warabu wanawafanya Kama watumwa,nakumbuka kuna nakala moja ya bbc inaelezea wafantakazi wanauziana kama watumwa Kuwait.
 
Kuna m'moja hadi ilibidi nimtukane ndipo akanielewa. Demu m'moja wa Kinyaturu alitaka kwenda huko, ikabidi nimpe makavu kwa kutumia lugha kali na mwisho wa kauli nikamwambia kama unakwenda nenda na upumbavu wako akili utaikuta huko kwa hao mabwana zao unaowatetemekea.
Wanafanyiwa sana ukatili, waarabu wana ukatili mno, sijui huko kwenye dini wanajifunza nini.
 
Subiri waje watetezi wa uchafu wa waarabu kisa uislamu brazaj
 
Shida iko kwenye akili za Waafrika, sijui kwanini serikali isizuie raia wake kwenda kufanya kazi za ndani katika Mataifa haya? Wakenya wanaongoza kwa kwenda huko na wanaongoza kwa kukumbwa na mabalaa pia na Waganda kwa hapa Afrika Mashariki. Lakini tufike hatua tupunguze tamaa zetu tukubali hali yetu jinsi ilivyo.
 
Screenshot-2024-06-06-at-11.55.31.png


Mwanamke mmoja Raia wa Kenya ajulikanaye kwa Jina la Beatrice Mutuku asimuklia yaliyomkuta Nchini Saudi Arabia alipoenda kufanya kazi za ndani, Beatrice anadai kwenye nyumba hiyo aliyokuwa akifanya kazi alimkuta mfanyakazi mwengine aitwaye Sharmin ambaye Bosi wake alidaiwa kumuua.

“Bosi wangu alikuwa ananifungia muda wowote anatoka nyumbani, nilikuwa nafanya kazi na mwanadada mwingine nikimuuguza mtoto wa bosi wangu, siku moja nilisikia sauti, baadaye nilisikia mtoto akilia, nikamuita mwenzangu, lakini hakujibu kisha akanijibu huku akiogopa na kuniambia atakufa siku hiyo kisha nikasikia mlango ukigongwa kwa nguvu na sikumsikia tena yule binti,” alikumbuka vyema”

Beatrice alisema mlango wake ulifunguliwa ghafla, na kumuona mtoto akivuja damu, huku mfanyakazi mwenzake (Sharmin) akiwa amelala chini.

“Bosi na Mkewe walitoa mtoto nje ya nyumba na wakaniambia mwili wa mwenzangu Sharmin niupeleke Chooni” alisema Beatrice.

“Haikuniingilia akilini kuwa Bosi anaweza kumfanyia Sharmin kitu kama kile, Sharmin alilala pale chini, nilianza kuwaza kwanini Sharmini haonekani anapumua na kwanini walikuwa wakiniita badala yake, nilijaribu kuita jina lake kwa sauti ya chinichini kwa sababu niliogopa kumchunguza mbele ya Bosi na Mkewe lakini niliogopa Beatrice anasema.

Beatrice alisita kuubeba mwili huo hadi chooni kwa sababu alihofia angeweza kuacha alama za Vidole vyake kwenye mwili wa Sharmin na nguo zake.

Beatrice aliogopa maana sauti ya kwanza aliyosikia ilikuwa ni Mlio wa Risasi kwani Sharmin alikuwa kimya kwa muda, licha ya hofu yake Beatrice aliuvuta mwili baada ya kupigwa bila huruma na Bosi huyo katili.

“Waliponiomba nimvute Sharmin nilimvuta na mara moja nikiwa chooni nilifungiwa naye, alikuwa ni binti mdogo tu hana hata mtoto. nilikaa hapo kwa muda wa siku tatu na mwili huo hadi ukaanza kupata harufu, kwa kweli, nilikuwa nikinywa maji ya chooni, na sikuweza hata kulala, na hadi sasa, nina picha hiyo akilini,” alisimulia Beatrice.

Baada ya Siku tatu Bosi wake ambaye siku hizo hakuwepo nyumbani na Familia yake, alifika kwa ajili yake na kumpa masharti Magumu kabla ya kuachiwa huru, jambo embalo alikubali kwa usalama wake.

Chanzo: BONGO 5
Wajinga ndio waliwao.
 
Muislamu ndugu yake muislamu
Walisikika walevi wa dini wakisema.

Whites wote mtu mweusi kwao ni kama nzi tu,
Tukiwapanga nani anaongoza kwa ukatili kwa mweusi itakuwa hivi.
1: Mwarabu
2: Muhindi
3:Mchina
4: mzungu
5: whites wengineo.

Ila hapo kwenye 2 na 3 inaweza tatu ikawa mbili au mbili ikawa tatu.

Blacks tuache Shobo na hao watu
Waarabu by nature ni watu katili Sana no matter mwanamke au mwanaume!
 
Muislamu ndugu yake muislamu
Walisikika walevi wa dini wakisema.

Whites wote mtu mweusi kwao ni kama nzi tu,
Tukiwapanga nani anaongoza kwa ukatili kwa mweusi itakuwa hivi.
1: Mwarabu
2: Muhindi
3:Mchina
4: mzungu
5: whites wengineo.

Ila hapo kwenye 2 na 3 inaweza tatu ikawa mbili au mbili ikawa tatu.

Blacks tuache Shobo na hao watu
1.Muarabu
2.Muarabu
3.Muarabu
 
Moja ya jamii katili zaidi duniani,

Kule kenya kuna makamouni ya mawakala, wanakwenda vijijini. wana danganya wasichana kwamba kuna kazi zenye malipo mazuri.
wakiishafika inchi za uarabuni waajili wao, wana kamata passport na nyaraka nyingine za kusafilia.
ni aina nyingije ya biashara ya binandamu/utumwa.
 
Screenshot-2024-06-06-at-11.55.31.png


Mwanamke mmoja Raia wa Kenya ajulikanaye kwa Jina la Beatrice Mutuku asimuklia yaliyomkuta Nchini Saudi Arabia alipoenda kufanya kazi za ndani, Beatrice anadai kwenye nyumba hiyo aliyokuwa akifanya kazi alimkuta mfanyakazi mwengine aitwaye Sharmin ambaye Bosi wake alidaiwa kumuua.

“Bosi wangu alikuwa ananifungia muda wowote anatoka nyumbani, nilikuwa nafanya kazi na mwanadada mwingine nikimuuguza mtoto wa bosi wangu, siku moja nilisikia sauti, baadaye nilisikia mtoto akilia, nikamuita mwenzangu, lakini hakujibu kisha akanijibu huku akiogopa na kuniambia atakufa siku hiyo kisha nikasikia mlango ukigongwa kwa nguvu na sikumsikia tena yule binti,” alikumbuka vyema”

Beatrice alisema mlango wake ulifunguliwa ghafla, na kumuona mtoto akivuja damu, huku mfanyakazi mwenzake (Sharmin) akiwa amelala chini.

“Bosi na Mkewe walitoa mtoto nje ya nyumba na wakaniambia mwili wa mwenzangu Sharmin niupeleke Chooni” alisema Beatrice.

“Haikuniingilia akilini kuwa Bosi anaweza kumfanyia Sharmin kitu kama kile, Sharmin alilala pale chini, nilianza kuwaza kwanini Sharmini haonekani anapumua na kwanini walikuwa wakiniita badala yake, nilijaribu kuita jina lake kwa sauti ya chinichini kwa sababu niliogopa kumchunguza mbele ya Bosi na Mkewe lakini niliogopa Beatrice anasema.

Beatrice alisita kuubeba mwili huo hadi chooni kwa sababu alihofia angeweza kuacha alama za Vidole vyake kwenye mwili wa Sharmin na nguo zake.

Beatrice aliogopa maana sauti ya kwanza aliyosikia ilikuwa ni Mlio wa Risasi kwani Sharmin alikuwa kimya kwa muda, licha ya hofu yake Beatrice aliuvuta mwili baada ya kupigwa bila huruma na Bosi huyo katili.

“Waliponiomba nimvute Sharmin nilimvuta na mara moja nikiwa chooni nilifungiwa naye, alikuwa ni binti mdogo tu hana hata mtoto. nilikaa hapo kwa muda wa siku tatu na mwili huo hadi ukaanza kupata harufu, kwa kweli, nilikuwa nikinywa maji ya chooni, na sikuweza hata kulala, na hadi sasa, nina picha hiyo akilini,” alisimulia Beatrice.

Baada ya Siku tatu Bosi wake ambaye siku hizo hakuwepo nyumbani na Familia yake, alifika kwa ajili yake na kumpa masharti Magumu kabla ya kuachiwa huru, jambo embalo alikubali kwa usalama wake.

Chanzo: BONGO 5
MNAAMBIWA HAYA MATAIFA YA KIARABU NI UNCIVILIZED MNAKIMBILIA KUFANYA KAZI HUKO.
AYAA HAENI NENDENII.
BONGO TU HAPA WATU WANATESWA NA MABOSS WA KIARABU/KIHINDI,SEMBUSE HUKO KWAO KABISA!?
 
Back
Top Bottom