Afungiwa na Maiti Chooni Siku 3

Afungiwa na Maiti Chooni Siku 3

KWANINI SERIKALI YA SAUDIA INAKUMBATIA UAJI HUO?AU WAKIMWUA MTU MWEUSI NI SAWA NAKUA KUKU?JE WATUHUMIWA WANASHITAKIWA?JE NI KWANINI SERIKALI ZETU ZPO KIMYA KWA HAYO MAUAJI HAYO WA MABINTI AMBAO HAWANA HATIA?
Huo ni mfumo rasmi kabisa. Nenda kajifunze kuhusu contract za kazi za wageni yaani immigrants zilizopo. Wanaita Kafir contracts kama sikosei.

Ni contracts ambazo zinamnyonya muajiriwa na kumdhurumu haki zake ikibidi kudhurumiwa uhai wake.

Hizi contract zinampa muajiri haki ya kumnyanyasa muwajiriwa. Me nashangaa sana hawa wakenya namna wapo very obsessed na kwenda huko.

Katika kitu ambacho mimi siwezi ni kufanya kazi chini ya watu wa Uarabuni, wachina au Asia yoyote yule unless awe ni mtu mwenye exposure ameishi sana ulaya so anajua haki na stahiki za raia wengine.

Ila hawa takataka hawana akili hata kidogo, ukikaa chini yao maana yake umechagua wakutreat kama takataka. Na ndivyo watakutreat hivyo.
 
Dunia hii watu wa hovyo dhidi ya wengine
1. Watu wa asili ya Bara la Asia
2.Watu wa asili ya Bara la Asia
3.Watu wa asili ya Bara la Asia
4.Watu wa asili ya Bara la Asia
5.Watu wa asili ya Bara la Asia
6.Watu wa asili ya Bara la Asia
7.Watu wa asili ya Bara la Asia
8.Watu wa asili ya Bara la Asia
9.Watu wa asili ya Bara la Asia
10.Watu wa asili ya Bara la Asia

11. Watu wa asili la Bara la Ulaya
12. Watu wa asili ya Bara la Amerika kusini
13. Watu wa asili ya bara la Amerika kaskazini
14. Watu wa asili ya Bara la Austlaria
15. Watu wa asili ya Bara la Afrika
( ambao siyo Wabantu)
 
Hakuna wakristo wanaoua watu?
Wapo wengi tu. Ila waarabu wana asili ya ukatili sana. NB: nimesema waarabu na sikusema waislam. Waarabu wana utamaduni wa utumwa na ubwana. Na wanaamini kuwa tajiri anaweza kumuua mtumwa muda wowote akimkosea. Kama umewahi kusoma vitabu vya hadithi kutoka uarabuni unakubali ninachosema.
 
Kwani Iraq, Syria, Yemeni sio ndugu wale.
Unasahau hata Germany alivamia France, Belgium, nk na kuua ndugu zake Wazungu?

Ugomvi wa ndugu Kwa ndugu sio sawa na ubaguzi na hate za race to race.
Sio mimi muulize mwamba hapo juu.ndo qliyesema.mzungu ndugu yake mzungu,mwarabu ndugu yake mwarabu, mwafrica ndugu yake mwafrica
 
Niliona simulizi yake. Inasikitisha sana. Waarabu ni makatili kweli kweli. Kuna mwingine alisema yeye alifungua friji ya chumba ambacho alikuwa amekatazwa kwenda, akakuta kiwiliwili cha mwanamke.
Malizia hiki kisa...iliishiaje?!
 
Wapo wengi tu. Ila waarabu wana asili ya ukatili sana. NB: nimesema waarabu na sikusema waislam. Waarabu wana utamaduni wa utumwa na ubwana. Na wanaamini kuwa tajiri anaweza kumuua mtumwa muda wowote akimkosea. Kama umewahi kusoma vitabu vya hadithi kutoka uarabuni unakubali ninachosema.
kuua mtu bila sababu dini hairuhusu.hizo ni mila zao za kiarabu.sio kiislam
 
Huo ni mfumo rasmi kabisa. Nenda kajifunze kuhusu contract za kazi za wageni yaani immigrants zilizopo. Wanaita Kafir contracts kama sikosei.

Ni contracts ambazo zinamnyonya muajiriwa na kumdhurumu haki zake ikibidi kudhurumiwa uhai wake.

Hizi contract zinampa muajiri haki ya kumnyanyasa muwajiriwa. Me nashangaa sana hawa wakenya namna wapo very obsessed na kwenda huko.

Katika kitu ambacho mimi siwezi ni kufanya kazi chini ya watu wa Uarabuni, wachina au Asia yoyote yule unless awe ni mtu mwenye exposure ameishi sana ulaya so anajua haki na stahiki za raia wengine.

Ila hawa takataka hawana akili hata kidogo, ukikaa chini yao maana yake umechagua wakutreat kama takataka. Na ndivyo watakutreat hivyo.
Kuna habari ilitoka BBC kuwa Saudi Arabia wakikuta wahamiaji haramu mipakani mwa nchi yao wanawapiga risasi na kuua na kuwachimbia kwa siri. Mijitu katili kabisa hii. Halafu inalindwa na serikali yao. Mfanyakazi wa ndani akiuawa na mwarabu, hawachukui hatua. Pia wanatoa kafara za kuua.
 
Halafu bado hawa dada zetu hawakomi kwenda, hakuna watu wabaguzi chini ya jua kama waarabu na wahindi.
Kuna m'moja hadi ilibidi nimtukane ndipo akanielewa. Demu m'moja wa Kinyaturu alitaka kwenda huko, ikabidi nimpe makavu kwa kutumia lugha kali na mwisho wa kauli nikamwambia kama unakwenda nenda na upumbavu wako akili utaikuta huko kwa hao mabwana zao unaowatetemekea.
 
Muislamu ndugu yake muislamu
Walisikika walevi wa dini wakisema.

Whites wote mtu mweusi kwao ni kama nzi tu,
Tukiwapanga nani anaongoza kwa ukatili kwa mweusi itakuwa hivi.
1: Mwarabu
2: Muhindi
3:Mchina
4: mzungu
5: whites wengineo.

Ila hapo kwenye 2 na 3 inaweza tatu ikawa mbili au mbili ikawa tatu.

Blacks tuache Shobo na hao watu
Sisi tupo na wakorea sikuhizi full stop
 
Back
Top Bottom