Inafikirisha sana wataalamu wa sheria waje watupe darasa katika hili..kama ikionekana mwanaume ni mzima hana matatizo yoyote wanafanyaje kupata ushahidi ?Duh kwenye hili mashahidi ni wao wenyewe, ila huyu mama Adela atakuwa na ushahidi wakutosha
Yani michepuko iwe ruksa?Kumbe sio wanaume tu hata wanawake wananyimwa
Inabidi mkioana mpeane space kidogo mmisiane
Hivi age hiyo mwanamke hamu inatokea sehem gan jaman..?duh...Ndoa zimekuwa na utata kila kukicha, sasa mtu ana miaka 62 anataka kumuaacha kwa nini? Au ndio kutaka kugawana mali mapema?
View attachment 1745639
Kwa hisani ya Dar Mpya.
Kukosa busara tu sijui kama mwanamke anawaka tamaa kias hicho..duh...Dooh mambo ya kuaibishana haya ,juzi tu tumeona mtu hana korodani leo adela kapindua meza kibabe.
Nimeuliza...sijasema iwe lazima..maana wengine chin ya hapo hawana hamu kbs...wewe mwanamke mwenzangu hamu ipo au haipo?Mwanamke wa 42 hana hamu? Acha uongo.
Kosa langu nn sasa jamani...mie nimeuliza...jibu tu...maana umesema mm muongo .Toa ukahaba wako hapa, pumbavu mkubwa.
42? Wewe una umri gani?Hivi age hiyo mwanamke hamu inatokea sehem gan jaman..?duh...