Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti hapelekewi motoDooh mambo ya kuaibishana haya ,juzi tu tumeona mtu hana korodani leo adela kapindua meza kibabe.
Mtu menopause bado,kwanini asiwe na hamu?..ushafika miaka 42 ukaona hilo?Kukosa busara tu sijui kama mwanamke anawaka tamaa kias hicho..duh...
Uko vizuri alogwe sioHAPO KINACHOTAFTWA NI KUGAWANA MALI WALA SI TENDO LA NDOA!
Na ukichunguza sana unakuta huyo mwanamke ndo alianza kuchepuka mzee akaamua kutokumpa talaka kuhofia Mali,
Huenda mzee Mali kaona azihamishe taratibu kwa watoto!
Huyo mwanamke kagundua mchezo kaona aje na ombi la talaka kwa kukosa unyumba!
LAKINI LENGO NI MALI NA NYUMBA!
Kama watoto wa huyo mzee ni wakubwa wanajitambua;
Dawa ni kupita naye hivi huyo mwanamke mapema sana! Kosakosa aokote hata makopo potelea mbali
Halafu we dada unajiona mkubwa sana,juzi tu umeniita dogoKosa langu nn sasa jamani...mie nimeuliza...jibu tu...maana umesema mm muongo .
Tena ndio kwanza zimeshika motoMwanamke wa miaka 42 hana hamu? Acha uongo.
Sasa mm mtoto?Halafu we dada unajiona mkubwa sana,juzi tu umeniita dogo
ha ha ha haaaaaah
Dah bas kuna wengine wagonjwaMtu menopause bado,kwanini asiwe na hamu?..ushafika miaka 42 ukaona hilo?
we wanawake wa 40s watamu sana mkuuHivi age hiyo mwanamke hamu inatokea sehem gan jaman..?duh...
Eti hapelekewi moto
Ana ushahidi gani pasi na shaka kwamba kanyimwa kwa miaka mi5 na si wiki moja?Ndoa zimekuwa na utata kila kukicha, sasa mtu ana miaka 62 anataka kumuaacha kwa nini? Au ndio kutaka kugawana mali mapema?
View attachment 1745639
Kwa hisani ya Dar Mpya.
Na kwa nini mnyimwe?Wanaume ndio wanaongoza kunyimwa.
Yes probably huyo mzee ameugua akashindwa kuendelea na michakato ya chumbani.Age difference ya miaka 20 anategemea mzee wa miaka 62 si ajabu na kisukari kimo ndani awe anafunga goli kila asubuhi.
Mkuu this is too much, ungemjibu vizuri tu.Utakuwa umemaliza hamu za kuliwa mbele, nyuma unakamuliwa mpaka unatoa kinyesi.
Ni wazi kuwa anakamuliwa nje, ila anataka wapewe talaka wagawane mali.Yes probably huyo mzee ameugua akashindwa kuendelea na michakato ya chumbani.
Angeoa angalau wanaeendana nae umri hizi fedheha zingempitia mbali maana ingekuwa rahisi kumvumilia. Sasa huyu 42 anajiona bado ana muda mrefu wa kula maisha.