Afungwa miaka 30 kwa kosa la kuingilia kinyume na maumbile

Huko inabidi woteeee wafungwe.maana inaeleweka
 
Huko ni kama kumtoa Samaki kutoka bahari moja na kumtupa bahari nyingine! Kwa maswala ya Ushoga Zanzibar, maisha ya gerezani hayafofautiani na maisha ya uraiani!
Ndiyo kwanza nasikia kesi kama hii Zanzibar! Sijui kesi ya namna hii ilikatwa lini Zanzibar!
Hata huyo nadhani alikosa fedha ya kuhonga wazazi wa mtoto ili kumaliza mambo kimyakimya!
Kwa Zanzibar bado hakuna Mahakama ilichofanya!
 
Sasa Unguja si ipo Zanzibar?

Kwani hilo ni jambo la ajabu kwa huko Zanzibar?

Huyo ataachiwa tu, wameshazoea
 
Mkuu kosa halilipwi kwa kosa!

Maw ni mfano wa wazazi wakikuwa watoto wanagombana, utasikia: 'mpige na wewe'!
Badala ya kuwaamua, yeye anaogeza wigo wa tatizo!

Ingelikuwa ni hukumu za kibabe hivyo, basi wezi wangelihukumiwa kuibiwa, wachawi wangelihukumiwa kurogwa, wanaume wazinzi, wangelihukumiwa kuziniwa wake zao nk nk na dunia pasingelikuwa ni mahali salama tena pa kuishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…