Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
KiarabuNi neno la kiarabu au la kiislam?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KiarabuNi neno la kiarabu au la kiislam?
Khaaa ukisikia mambo na vijambo ndio hiiMuwege mnatoa habari iliyo kamilika amehukumiwa kwa kula kitimoto ya aina gani ? Roast au kavu? Alikula na ugali au ndizi?
Kumbe kutumia lugha ya kiarabu ni kosa? Ningeeleweshwa zaidi ningefurahiKiarabu
Unajua shida ipo hivi hawa watu wamekremu maisha hawajajua nini maana ya kiarabu , maneno mengi ya kiarabu sio ya kislamu ila kwa maana mtume wao katumia lugha hiyo ndio wa mekremu kuwa ndio maneno ya dini yao . Hata kuvaa kanzu wameweka ni kislam tena kuvaa ijabu ni kislamu ila nikiarabu tokea mavazi,lugha na kila kitu
Nipo karibu nikaribishe basiNiko hapa Mianzini ARUSHA ndio nanunua pork chopsView attachment 2757291
IpoKazi ipo nakwambia
[emoji1787]Muwege mnatoa habari iliyo kamilika amehukumiwa kwa kula kitimoto ya aina gani ? Roast au kavu? Alikula na ugali au ndizi?
huyo dada ni mwarabu ila sio muisilamu?Staa wa TikTok kutoka nchini Indonesia, Lina Mukherjee amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela kutokana na video aliyo-post inayomuonesha akisema neno linalotumiwa na Waislamu la ‘Bismillah’ kabla ya kula nyama ya nguruwe, jambo ambalo limelaaniwa vikali nchini humo.
Neno hilo hutumiwa na Waumini wa Dini ya Kiislamu wanapoanza Dua, kula au shughuli mbalimbali wakimaanisha wanaanza ‘Kwa jina la Mungu/Allah’, ambapo katika video hiyo, Lina alionekana akisema Bismillah kabla ya kula chakula kisha akaanza kula nyama ya nguruwe ambayo kwa mafundisho ya Dini hiyo, ni kitu kilichopigwa marufuku (Haram).
Lina aliripotiwa na Jirani yake na video hiyo imekusanya mamilioni ya Watu waliotazama mtandaoni, amepatikana na hatia ya 'kueneza habari zinazolenga kuchochea chuki dhidi ya Watu wa Dini na makundi maalum' katika Mahakama moja iliyopo Mji wa Palembang nchini Indonesia.
Mukherjee, ambaye anasema yeye ni Muumini wa Dini ya Kiislamu pia amepigwa faini ya Rupiah milioni 250 (Tsh Mil 40), Indonesia ndio Taifa kubwa zaidi lenye Waislamu wengi duniani na lina sheria kali dhidi ya makosa ya kukiuka mafundisho ya Dini hiyo
[emoji1787]Muwege mnatoa habari iliyo kamilika amehukumiwa kwa kula kitimoto ya aina gani ? Roast au kavu? Alikula na ugali au ndizi?
Kuna sehemu panaitwa vibanda vya CCM, 😋😋😋, Ni special kwa 🐽🐖🐷,Akichomwa ni wa moto balaa.
Maulamaa wana matatizoKumbe kutumia lugha ya kiarabu ni kosa? Ningeeleweshwa zaidi ningefurahi
Duuu yan nikikanyaga iringan lazima nihudhulie ccm vibandani kuna mdudu amazingKuna sehemu panaitwa vibanda vya CCM, [emoji39][emoji39][emoji39], Ni special kwa [emoji201][emoji241][emoji200],
Sijui waliwaza nini mpaka paitwe hivyo [emoji848][emoji848]