Afungwa miaka miwili kwa kutamka "Bismilallahi" huku akila nyama ya nguruwe

Afungwa miaka miwili kwa kutamka "Bismilallahi" huku akila nyama ya nguruwe

Huna baya
FB_IMG_1695279074715.jpg
 
Watu waliokufuru kila kukicha huwa wanawaza kuchokoza waislam

Mkae mtafakari sana, huyo muarabu aliwaingiza mkenge na kuwapiganisha na dunia, mara mjilipue mabomu mara mchinje watu vichwa, mara mkamate mtu na kumfunga jela kisa kala chakula mlichokatazwa na huyo muarabu.
 
Nataka nianze kufuga hutu tusamaki ivi kwa mwanza vipapi navipata wapi na ni bei ghan
 
Naenda kufungwa kwa niaba yake,yaani kula mbuzi katoliki ndio iwe nongwa..!!
Waache ukhanithi wao.
 
Back
Top Bottom