Afungwa miaka miwili kwa kutamka "Bismilallahi" huku akila nyama ya nguruwe

Kazi ipo nakwambia
 
UCHOCHEZI wa kueneza chuki dhidi ya Waislamu

Indonesia yote Waislamu. Sasa nani kachochewa kumchukia nani ???

UCHOCHEZI limebaki kuwa kosa nchi za third world tu.

Wakili Maalum Jack Smith alikataa kumshitaki Rais Trump kosa la KUCHOCHEA wapinga matokeo ya uchaguzi kwenda kuvamia ofisi za bunge kinyume na ushauri wa Kamati ya Uchunguzi ya Bunge. Aijua wangefanana na third world...
 
huyo dada ni mwarabu ila sio muisilamu?

hebu saidi kidogo hivi angesemaje kwa lugha ya kiarabu kwa mfano?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…