Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
Wandishi wa siku hizi ovyo sana. Mtu hujui kama ugali ni dona au sembe. Kama ni ndizi, ziliminywa?Muwege mnatoa habari iliyo kamilika amehukumiwa kwa kula kitimoto ya aina gani ? Roast au kavu? Alikula na ugali au ndizi?
Watu waliokufuru kila kukicha huwa wanawaza kuchokoza waislam
Kwa mama nyau IringaKuna sehemu panaitwa vibanda vya CCM, [emoji39][emoji39][emoji39], Ni special kwa [emoji201][emoji241][emoji200],
Sijui waliwaza nini mpaka paitwe hivyo [emoji848][emoji848]
Baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu ni WAPUMBAVUWakijilipua na kujua watu wanatamka ilo neno sijasikia wakitoa tamko kali
Mimi ni nani mpaka nibishe hili πππDuuu yan nikikanyaga iringan lazima nihudhulie ccm vibandani kuna mdudu amazing
π π πWanamuonea tuu, yuke mdudu ni mtamu sana hapo si alikuwa anasifia uumbaji wa Allah au? ππ
Hiki kimenona vizuri,kitakufaa sana dear Demi wanguπππBehaviourist nina hamu na kitimoto kavu my dear. Au mwenzangu ni haram kwako?
Msogeze pande hizi basi. Mida ya lunch hiiHiki kimenona vizuri,kitakufaa sana dear Demi wanguπππView attachment 2762764
Mnyama aliyebarikiwa na Mungu kuliko wanyama wote duniani.Yule mdudu, Dini zote wanatafuna.. Ila isiwe na mafuta kivile πππ
Dear Demi wangu namleta na glass ya wine,wewe tu ujilie tani yakoMsogeze pande hizi basi. Mida ya lunch hii
Ni neno la kiislamu linalotamkwa kwa lugha ya kiarabu.Ni neno la kiarabu au la kiislam?