Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Hii sehemu ni Ifakara, mpakani na shule ya Jongo. Hiyo nyumba naijua toka nipo mdogo sana. Bushmamynapenda sana avator yako, ni wap hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii sehemu ni Ifakara, mpakani na shule ya Jongo. Hiyo nyumba naijua toka nipo mdogo sana. Bushmamynapenda sana avator yako, ni wap hapo?
Ushauri wa muhasibu💪🔥Hizo issue waachie wanawake wenzake, wewe jikite kwenye shughuli za uzalishaji
Hata sina cha kuchangia simjui wala hanijui..Hivi wakuu afya ya akili ya diva mnaiona ipo sawa kweli?
Ana utoto mwingi sana ,juzi kati watu wamemzodoa aliyekuwa mume wake kapata chombo kipya na ni mrembo haswa, eti Diva naye kaona wivu aka download picha ya mkaka mtanashati akaposti kwamba ndo mpenzi wake kwa sasa hivyo hatishiki wala hateseki na ex wake
Kama hiyo haitoshi eti akawa anaturingishia kiasi cha pesa alichonacho kwenye account yake, pesa yenyewe milioni 23 ndo anavimbia nayo mjini
Ukianza kulisifia ujinga kwamba yeye ni mzuri bongo nzima hakuna kama yeye linaingia kwenye mfumo mzima mzima.
Nina wasiwasi maisha yake ya utotoni alikuwa mpenda katuni sana , maana maisha yake na katuni havina tofauti.
Anaishi ndotoni sana ,,mara aote ana date na mzungu ,kichwa kikivurugika ana download picha anapost insta anatutangazia ndio shemeji yetu
Awahiwe huyu kabla mambo hayajaharibika.
Huyo hakosi miaka 43ana umri gan sasa huyo mwanamke
HakikaTena kubwa mno.
kwanin hana mumeHuyo hakosi miaka 43
Kuna Mwanaume timamu anaweza Kuoa Mwanamke mpenda show off kama yule?kwanin hana mume
jamanKuna Mwanaume timamu anaweza Kuoa Mwanamke mpenda show off kama yule?
Anahitaji maombi yulejaman
CHAIHivi wakuu afya ya akili ya diva mnaiona ipo sawa kweli?
Ana utoto mwingi sana ,juzi kati watu wamemzodoa aliyekuwa mume wake kapata chombo kipya na ni mrembo haswa, eti Diva naye kaona wivu aka download picha ya mkaka mtanashati akaposti kwamba ndo mpenzi wake kwa sasa hivyo hatishiki wala hateseki na ex wake
Kama hiyo haitoshi eti akawa anaturingishia kiasi cha pesa alichonacho kwenye account yake, pesa yenyewe milioni 23 ndo anavimbia nayo mjini
Ukianza kulisifia ujinga kwamba yeye ni mzuri bongo nzima hakuna kama yeye linaingia kwenye mfumo mzima mzima.
Nina wasiwasi maisha yake ya utotoni alikuwa mpenda katuni sana , maana maisha yake na katuni havina tofauti.
Anaishi ndotoni sana ,,mara aote ana date na mzungu ,kichwa kikivurugika ana download picha anapost insta anatutangazia ndio shemeji yetu
Awahiwe huyu kabla mambo hayajaharibika.
Halafu wewe bado unamfuatilia tu!Hivi wakuu afya ya akili ya diva mnaiona ipo sawa kweli?
Ana utoto mwingi sana ,juzi kati watu wamemzodoa aliyekuwa mume wake kapata chombo kipya na ni mrembo haswa, eti Diva naye kaona wivu aka download picha ya mkaka mtanashati akaposti kwamba ndo mpenzi wake kwa sasa hivyo hatishiki wala hateseki na ex wake
Kama hiyo haitoshi eti akawa anaturingishia kiasi cha pesa alichonacho kwenye account yake, pesa yenyewe milioni 23 ndo anavimbia nayo mjini
Ukianza kulisifia ujinga kwamba yeye ni mzuri bongo nzima hakuna kama yeye linaingia kwenye mfumo mzima mzima.
Nina wasiwasi maisha yake ya utotoni alikuwa mpenda katuni sana , maana maisha yake na katuni havina tofauti.
Anaishi ndotoni sana ,,mara aote ana date na mzungu ,kichwa kikivurugika ana download picha anapost insta anatutangazia ndio shemeji yetu
Awahiwe huyu kabla mambo hayajaharibika.
Kimfaacho mtu chake,Hivi wakuu afya ya akili ya diva mnaiona ipo sawa kweli?
Ana utoto mwingi sana ,juzi kati watu wamemzodoa aliyekuwa mume wake kapata chombo kipya na ni mrembo haswa, eti Diva naye kaona wivu aka download picha ya mkaka mtanashati akaposti kwamba ndo mpenzi wake kwa sasa hivyo hatishiki wala hateseki na ex wake
Kama hiyo haitoshi eti akawa anaturingishia kiasi cha pesa alichonacho kwenye account yake, pesa yenyewe milioni 23 ndo anavimbia nayo mjini
Ukianza kulisifia ujinga kwamba yeye ni mzuri bongo nzima hakuna kama yeye linaingia kwenye mfumo mzima mzima.
Nina wasiwasi maisha yake ya utotoni alikuwa mpenda katuni sana , maana maisha yake na katuni havina tofauti.
Anaishi ndotoni sana ,,mara aote ana date na mzungu ,kichwa kikivurugika ana download picha anapost insta anatutangazia ndio shemeji yetu
Awahiwe huyu kabla mambo hayajaharibika.