Afya ya akili ya "Diva" wa Wasafi ipo mashakani

Afya ya akili ya "Diva" wa Wasafi ipo mashakani

Umri na matendo kutoendana haimaanishi ni kuzeeka. Kuna vitu akifanya mtu wa 20s unaona ni sawa ila akifanya mtu mwenye 30s na kuendelea unaona kabisa kua sio sawa. Ndio diva sasa
Akifanya zuchu na wema Sepetu ni sawa ila bibi mwenzenu hamkubali....?? Tafadhali weka picha ya huyo bibi mwenzako nithaminishe..... Asante in advance.
 
Hivi wakuu afya ya akili ya diva mnaiona ipo sawa kweli?

Ana utoto mwingi sana ,juzi kati watu wamemzodoa aliyekuwa mume wake kapata chombo kipya na ni mrembo haswa, eti Diva naye kaona wivu aka download picha ya mkaka mtanashati akaposti kwamba ndo mpenzi wake kwa sasa hivyo hatishiki wala hateseki na ex wake

Kama hiyo haitoshi eti akawa anaturingishia kiasi cha pesa alichonacho kwenye account yake, pesa yenyewe milioni 23 ndo anavimbia nayo mjini

Ukianza kulisifia ujinga kwamba yeye ni mzuri bongo nzima hakuna kama yeye linaingia kwenye mfumo mzima mzima.

Nina wasiwasi maisha yake ya utotoni alikuwa mpenda katuni sana , maana maisha yake na katuni havina tofauti.

Anaishi ndotoni sana ,,mara aote ana date na mzungu ,kichwa kikivurugika ana download picha anapost insta anatutangazia ndio shemeji yetu


Awahiwe huyu kabla mambo hayajaharibika.
Nipo Dodoma karibu na Mirembe!
 
Hivi wakuu afya ya akili ya diva mnaiona ipo sawa kweli?

Ana utoto mwingi sana ,juzi kati watu wamemzodoa aliyekuwa mume wake kapata chombo kipya na ni mrembo haswa, eti Diva naye kaona wivu aka download picha ya mkaka mtanashati akaposti kwamba ndo mpenzi wake kwa sasa hivyo hatishiki wala hateseki na ex wake

Kama hiyo haitoshi eti akawa anaturingishia kiasi cha pesa alichonacho kwenye account yake, pesa yenyewe milioni 23 ndo anavimbia nayo mjini

Ukianza kulisifia ujinga kwamba yeye ni mzuri bongo nzima hakuna kama yeye linaingia kwenye mfumo mzima mzima.

Nina wasiwasi maisha yake ya utotoni alikuwa mpenda katuni sana , maana maisha yake na katuni havina tofauti.

Anaishi ndotoni sana ,,mara aote ana date na mzungu ,kichwa kikivurugika ana download picha anapost insta anatutangazia ndio shemeji yetu


Awahiwe huyu kabla mambo hayajaharibika.
Akili za wanawake wote ndivyo zilivyo. Ni nani huyu lakini mkuu?
 
Akifanya zuchu na wema Sepetu ni sawa ila bibi mwenzenu hamkubali....?? Tafadhali weka picha ya huyo bibi mwenzako nithaminishe..... Asante in advance.
Zuchu na wema wametokea wapi? Uzi unamuhusu diva hao wanawake zako unawataja wa nini. Bundle unalo ingia google msearch utakutana na picha zake. Hata bibi alikuaga binti
 
Zuchu na wema wametokea wapi? Uzi unamuhusu diva hao wanawake zako unawataja wa nini. Bundle unalo ingia google msearch utakutana na picha zake. Hata bibi alikuaga binti
Weka picha.... Acha porojo.
 
Back
Top Bottom